wanaharakati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Baadhi ya Wanaharakati walitumia changamoto za wananchi kuwachochea wananchi kushiriki vurugu za Oktoba 29

    Akizungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam Soma Pia: Jaji Chande: Kauli za wanasiasa kama 'No Reforms No Election'...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tanzania siyo nchi ya kuamuliwa na Wanaharakati

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, wakati wa mahojiano na Bongo FM Mei 15, 2026, amesisitiza kuwa Tanzania ni nchi huru inayojiongoza kwa mujibu wa katiba, sheria na kanuni zake, na haitakubali kuendeshwa au...
  3. 100 others

    JamiiForums Tanzania Mawakili Vijana wa Bongo Wanabaki Kuwa Maskini, Wakati Wenzao wa nchi zilizoendelea Wanaogelea Kwenye Ukwasi Mkubwa

    Nimekaa na kutafakari maisha ya mawakili wetu vijana nchini hawa tunaowaita wakili msomi. Siku hizi fani hii imepoteza hadhi yake kiasi kwamba vijana wengi mtaani wanaiona kama kazi ya kawaida tu ya kusaka tonge. Tofauti kabisa na nchi zilizoendelea ambako vijana wa sheria wanaishi maisha ya...
  4. Camilo Cienfuegos

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wamshuku Faortunatus Buyobe kuwa anawa-snitch

    Baadhi ya wanaharakati huko kwenye mtandao wa X wanadai mwandishi wa habari za uchunguzi bwana Fortunatus Buyobe ni mtu wa system anatumika kuwauza. Mmoja ya wanaharakati hao ni Mshabaha ambaye alinusurika kutekwa siki kadhaa zilizopita huko Nairobi. Wameenda mbali zaidi, wanadai alikuwa ni...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati Afrika Mashariki Wambana Samia Kuhusu Mikwaju Yake

    https://m.youtube.com/watch?v=sYN-FCrYapU Watoa waraka mzito kulaani matamshi ya hivi karibuni kuhusu kuwashughulikia raia wa Afrika ya Mashariki watakaotumia uhuru wao kupinga tawala Hii inakuja baada ya Samia Hassan kuchagiza kuwa lazima kuwepo na mikono ya sheria ya serikali haramu...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania CHADEMA waikosoa vikali kauli ya Rais Samia ya "kukamatwa na kuwachapa mikwaju wanaharakati"

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesikitishwa na kauli ya ndugu Samia Suluhu Hassan aliyoitoa hivi karibuni kwa Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mheshimiwa William Samoei Ruto. Ndugu Samia alimtaka Rais Ruto awakamate na kuwachapa mikwaju wanaharakati mwanaotoka Tanzania na akasema kuwa...
  7. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati Kenya: Hatutishwi na matamshi ya Rais Samia

    Mwanaharakati wa Kenya, Hussein Khalidi amesema kuwa wanaharakati wa Afrika Mashariki hawatishwi na kauli ya Rais wa Tanzania, Saia Suluhu Hassan ya kuwaonya Gen-Z wa Afrika Mashariki kuwa watachapwa viboko kila watakapokwenda. Soma Pia: Rais Samia: Tusikubali kuchochewa na wanasiasa...
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Kaburi la Halaiki Kwa Kondo: Porojo za Wanaharakati

    SUALA LA KABURI LA HALAIKI KWA KONDO NI POROJO ZA WANAHARAKATI NA LARRY MIDOWO WA CNN 📌 💡Kufuatia vurugu na machafuko ya kupangwa na kuratibiwa na wanaharakati na baadhi ya vyama vya siasa ikiwemo CHADEMA kulitokea uzushi wa mambo mengi sana ikiwemo kuwapo kwa kaburi la halaiki huko Kunduchi...
  9. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Huenda vibaka wa kisiasa na wanaharakati uchwara waliotajwa kuchochea ghasia za Oct.2025, wakatimkia ughaibuni kabla ya kunaswa na mkono wa sheria

    Sote ni mashahidi kwamba, hali ya kisiasa nchini hasa baada ya tume ya jaji chande kuwasilisha ripoti yake kwa rais Dr.Samia Suluhu Hassan, tayari kuna kila dalili na mipango kwa hasa hawa vibaka wa kisiasa na wanaharakati uchwara nchini, ambao kwa namna moja ama nyingine wametajwa kushiriki...
  10. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tusikubali kuchochewa na wanasiasa, wanaharakati, wahalifu, wenye maslahi binafsi kuvuruga tunu ya amani

    "...Watanzania tusikubali kurubuniwa kuharibu nchi yetu. Tusikubali kuchochewa, iwe na wanasiasa, wanaharakati, wahalifu au watu wenye chuki na wenye maslahi binafsi kwa njia yoyote ile kuvuruga tunu ya amani yetu. Tusimame imara na kwa umoja tulijenge taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande: Baadhi ya Wanasiasa na wanaharakati walishawishi Wananchi kushiriki ghasia

    Jaji Chande amesema baadhi ya Wanasiasa na wanaharakati walishawishi Wananchi kushiriki ghasia
  12. britanicca

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CHADEMA na wanaharakati leo ikibidi msilale majumbani kwenu

    Top mmoja kateleza katika maongezi kavujisha Taarifa sehemu kwamba Report ya Chande Tayari imewataja watu fulan na wanaweza wakapotea hivo wakamatwe kabla ya Juma kuisha na ikibidi wakamatwe leo usiku hivi inabidi mkae kwa rada sana !!! Najiuliza kwani kumbe report haikuwa ya maana yeyote ni...
  13. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Mnyika: Wanaharakati waanzishe chama chao wasitutegemee CHADEMA

  14. M

    JamiiForums Tanzania Iran imetufunza jambo kama taifa

    Kwamba umoja, mshikamano na kujipanga kiteknojia na kijeshi ni jambo muhimu sana. Wananchi kukataa Propaganda za wanaharakati na nchi za magharibi ndio msingi wa uzalendo. Tujifunze kwamba sote ni binaadam, hakuna mwenye nguvu wala mdogo, umoja na mshikamano hakuna lisilowezekana
  15. M

    JamiiForums Tanzania Swali kwa wanaharakati. Masharti anayopewa Iran kama Tanzanian watayakubali?

    Asiwe na silaha Asiwe na nyuklia Asiwe na rafiki Huku wao vyote wakiwa navyo na wanataka waviongeze zaidi.
  16. M

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wengi wa Tanzania hawajitambui

    Wanataka Marekani aingilie Tanzani. Wanasahau wakiingilia kama Iran majengo ya chadema na afisi za wanaharakati nyingi zitapigwa drone
  17. K

    JamiiForums Tanzania Tanganyika itahitaji wanaharakati wao

    Wenzetu zanzabar wamefanikiwa kubadili katiba yao, wamefanikiwa kuondoa vifungu ambavyo vipo kwenye katiba ya muungano ambavyo hawavipendi lakini hakuna mtu au watu wanaopigania Tanganyika kwenye Muungano huu. Hadi mkuu wa majeshi Tanzania naye kawa chawa tu yaani Watanganyika ukiacha majembe...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wa Tanzania wanashangaza sana. Wana chembe ya udini katika harakati zao

    Leo wanasherehekea Isreal na Marekani kuishambulia Iran. Hawaoni watoto wadogo wanaouliwa Hawaoni Isreal na marekani uhuru wa wananchi wao una binywa. Leo ukipost picha ya jengo la Isreal limeshambuliwa, raia huyo anaweza kupotezwa. Hawaoni jinsi gani nchi hizi zinavyovuka mipaka ya...
  19. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mkiambiwa kuwa hamna akili msiwe wabishi. Kila kukicha wanaharakati wenu wajinga wanazusha mambo halafu mnataka serikali itoe majibu

    Hakuna serikali ya kijinga namna hiyo. Mange Kimambi anazusha Mafwele kabakwa halafu anasema serikali ikanushe na Mafwele ajitokeze. Kigogo 2014 anazusha Rais kafa, mnafurahi na kujifariji. Mkiona kimya anatokea Lema na Maria Sarungi mjaa laana wanasema serikali iseme Rais yuko wapi. Anatokea...
  20. Q

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere aomba radhi viongozi wa CHADEMA na Wanaharakati aliowatuhumu kuhongwa na Amnesty International

    Ni baada ya wahanga kutishia kumpeleka mahakamani. Yericko Nyerere: IMEDHIHIRIKA TAARIFA HII HAIKUWA SAHIHI. Kwa msingi huo, Naomba nitumie nafasi hii kuomba radhi juu ya maoni yangu kwenye post ya juzi kuhusu nyaraka hii ambayo imethibitika ilikuwa ni ya uzush wa mitandaoni, maoni yangu kwa...
Back
Top Bottom