wanaharakati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Mzozo Taasisi vs Wanaharakati

    Kinachowatesa wafuasi wa CHADEMA wale wanaodhani wana ushawishi ni kuingia kwenye mfumo wa Wanaharakati, hivyo kuna mambo yanapaswa kwenda kitaasisi ila wanajikuta wanaogopa kupoteza support ya Wanaharakati. Watakuja kustuka kumekucha. Jana mmembeza na kumtukana Freeman Mbowe, Leo huyu...
  2. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Kabla JK hajajitokeza kwenye shughuli yoyote lazima zitangulie kwanza taarifa za ugonjwa au msiba fake

    Hii si mara ya kwanza, Kabla JK hajajitokeza kwenye shughuli yoyote lazima zitangulie kwanza taarifa za ugonjwa au msiba fake. Wito kwa wanaharati akina Hilda, Maria na wengine: Wawe makini na taarifa kama hizi, kwani huenda wanafanya maksudi ili kuwabaini wavujisha taarifa wenzao. Mfano...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaharakati wa Nairobi wataka Besigye na Lissu kutoka gerezani na kuachiliwa huru

    Wanaharakati nchini Kenya wameongeza shinikizo la kutaka kuachiliwa kwa viongozi wa upinzani wa Uganda na Tanzania, Dkt. Kizza Besigye na Tundu Lissu, wanaoshikiliwa katika nchi zao kwa tuhuma zinazohusiana na uhaini. Katika maandamano yaliyofanyika Nairobi Alhamisi, Septemba 3, 2026...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati Kenya waandamana wakitaka Besigye, Lissu na wapinzani wengine waachiliwe

    Nairobi, Kenya. Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Kenya wameandamana katika mitaa ya Nairobi wakitaka Serikali ya Uganda kumuachilia mara moja kiongozi mkongwe wa upinzani, Dk Kizza Besigye, huku wakitaka pia Tanzania na nchi nyingine za Afrika Mashariki kuwaachilia viongozi wa upinzani...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania WANAHARAKATI, MBONA HAMSEMI KINACHOENDELEA KWA “MWALIMU” WENU HH?

    Na: Chris Bwaya Chilumba 31.08 2026 Mwaka 2017, HH akiwa mpinzani nchini Zambia, alikamatwa na kushtakiwa kwa uhaini. Kesi hiyo ilizua mjadala mkubwa kuhusu matumizi ya sheria dhidi ya wapinzani na hatimaye mashtaka yakaondolewa. Mwaka 2021, baada ya Hichilema kushinda urais, baadhi ya...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati, kabla ya kudai-ulizeni kwanza! Deogratius John Ndejembi ni kijana wa Dodoma

    WANAHARAKATI, KABLA YA KUDAI-ULIZENI KWANZA! DEOGRATIUS JOHN NDEJEMBI NI KIJANA WA DODOMA. Wanaharakati, kama hamjui jambo fulani, ni vyema kuuliza. Kuna watu wako tayari kuwasaidia kupata taarifa sahihi badala ya kukurupuka na kutoa hitimisho lisilo na msingi. Jambo dogo kama kutokujua asili...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tukisema msiue watu kwenye uchaguzi tunaonekana wanaharakati, hatuoni shida kuitwa wanaharakati

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara, John Heche, amesema chama hicho kimeamua kuendelea kudai mabadiliko ya kweli badala ya kufanya siasa kwa ajili ya kuonekana pekee. Heche amesema wanapozungumzia masuala yanayowagusa wananchi na kudai mabadiliko, baadhi ya watu wamekuwa wakiwaita...
  8. min -me

    JamiiForums Tanzania Wanahakati wa siasa bongo jau sana

    Wanaharakati wa siasa wa bongo, yani wanatupigisha fantasy ya ajabu sana😅 Oooohh mahakama ya the hegi😁 Cc Bufa. Eti Marekani wanasikia kilio chetu, gademitt, wapi ulisikia Marekani anajali nyumbu yeyote zaidi ya maslai yake? Hatuwezi jipambania wenyewe, sisi tutabaki kama washika...
  9. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watu Wazuri Wanaendelea Kutushauri wa-Tanzania Juu ya Mkwamo Ulioko Nchini

  10. B

    JamiiForums Tanzania hivi kwa nini wanaharakati uchwara hawajawaomba msamaha watanzania kwa yaliyotokea M29?

    Kuwaambia vijana maskini wanadamane M29 Ilikuwa upumbavu uliyopitiliza sana .kwa sababu hizi zifuatazo: 1.unawezaje kuzuia uchaguzi siku ya uchaguzi? yani watu wametumia muda wao ,peza zao kuandaa uchaguzi harafu wewe unakuja kufanya fujo za kuzuia uchaguzi?kama kuzuia uchaguzi ilitakiwa...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati na Wapinzani, hubirini sana 'Suala la Ugaidi ' kwa sauti kubwa Dunia ijuue Tanzania kuna Ugaidi, Mbona mmepoa katika hili?

    Suala la Serikali kupitia KATAMBI kuzuia Mikutano ya Kisiasa kwa maelezo kwamba Kuna VIASHIRIA VYA UGAIDI. Ilikua ni Lazima Katambi huyohuyo, kuliondoa Zuio Hilo na sio Jeshi la Polisi kujifanya kutangaza Ruhusa ya Mikutano. Suala la UGAIDI ni jambo ambalo, Dunia hasahasa US,ULAYA ...
  12. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Nchimbi wanaharakati tunakushukuru siyo yule alituita sisi ni magaidi, Asante kwa kumtaja Maria Sarungi

    Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Nchimbi anadai kuwa anawaheshimu Wana harakati kwa uwezo wao wa kujenga hoja Amkumbuka dada yangu maria sarungi Asante Sana sisi ni wapigania Khaki sisi siyo magaidi LONDON BOY
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wajigawe wanapomlenga adui hiyo ni medani ya vita. Walihamasisha watu kususia show ya wanamuziki. Kiko wapi

    WANAHARAKA WAJIGAWE WANAPOMLENGA ADUI HIYO NI MEDANI YA VITA. WALIHAMASISHA WATU KUSUSIA SHOW YA WANAMUZIKI. KIKO WAPI! Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Ni kweli kwa sasa wamefanikiwa kupata ushawishi mitandaoni kwa mbinu mbalimbali. Hilo kwao ni jambo kubwa. Changamoto ninayoiona kwao ni...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kiliba: Wanaharakati na wakosoaji tajeni pia mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia

    Mwenyekiti wa Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Bw. Geofrey Kiliba, amewataka wanaharakati na wakosoaji wa Serikali kuwa na usawa wanapotoa tathmini ya utendaji wa Serikali ya awamu ya sita kwa kutaja pia mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Soma Pia...
  15. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania ICC yakunjua Makucha, Waliohamasisha Vurugu Mo 29 Wakiwemo Wanaharakati Matumbo Joto.Hati ya Mashtaka Yawasilishwa

    My Take Waliokuwa wanawatumia wenzao kupata pesa Sasa ni wakati wa kwenda kujitetea. Kwa mujibu wa andiko linalosambaa mitandaoni, viongozi wa CHADEMA, wanaharakati na wahamasishaji katika mitandano ya kijamii wameshtakiwa mbele ya Mahakama ya ICC kwa tuhuma za makosa ya uhalifu dhidi ya...
  16. L

    JamiiForums Tanzania Naandaa Video Inayoonyesha Mkusanyiko Wa Kauli Tata Za Viongozi wa CHADEMA na wanaharakati Zilivyochochea Vurugu wakati na baada ya Uchaguzi

    Ndugu zangu Watanzania, Nipo Nafanya Maandalizi Mazito kwelikweli ya Kutoa video itakayoonyesha Mkusanyiko wa Kauli Tata na za kichochezi zilizokuwa zikitolewa na viongozi wa CHADEMA na wanaharakati kabla ,wakati na baada tu ya zoezi la uchaguzi kufanyika. Ambazo kwa kiasi kikubwa zilionyesha...
  17. R

    JamiiForums Tanzania From the Chief Conforter: Nilitegemea reconciliatory tone, kumbe wapinzani, wanaharakati ni Magaidi? The worst is still to come

    Kwa hali tuliyonayo na international outlook on us, wenye akili timamu tulitegemea kupata hakikisho kuwa maridhiano yako njiani. Kwa kauli ya kuwaita wapinzania na wanaharakati magaidi, tujiandae kwa mauti makubwa mbele yetu! Yaliyotokea 29.10.2025 ni cha mtoto kwa tone kama hii ya kuwaita...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Kauli ya Rais kuhusisha wanaharakati na ugaidi wakati viongozi CHADEMA wanakamatwa ni hatari

    "Ile ile kauli ya Rais ambaye sisi hatutambui uchaguzi wake ya kusema kwamba wanaharakati wanafanya ugaidi. Ni kauli hatari sana ikiachwa ilivyo na watetezi wa haki kote nchini. Na mimi nasema haya kwa sababu kutokana na taarifa za maandamano ya tarehe 7 mwezi wa 7 yaliyotangazwa huko mitandao...
  19. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ukweli unaoogopwa na kufichwa na watawala; Wanaharakati ni bora kuliko wanasiasa.

    Unaweza kujiuliza nini kinasababisha tabaka tawala kushambulia na kuchukia sana wanaharakati. Jibu ni rahisi sana, wanaharakati wanatishia "status quo" ya watawala, popote pale Dunia katika Karne ya 20 na 21 hakuna mabadiliko makubwa ya kubadilisha au mageuzi ya utawala yaliyowezekana bila...
  20. Inside10

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Mwl Nyerere, Karume Walikuwa Wanaharakati tunaanzaje kushetanisha uwanaharakati

    Nyerere, Amani Karume wote walikuwa wanaharakati na ndio Mababa wa Taifa letu, tunaanzaje kushetanisha uwanaharakati wakati Taifa letu limejengwa na wanaharakati." Askofu Bagonza akichangia kwenye kongamano la Demokrasia linaloendelea muda huu Zanzibar.
Back
Top Bottom