Watanzania wote wapenda HAKI na amani ni muda sasa wa kuamka kudai kuachiliwa kwa Lissu tena kwa nguvu zote na mamlaka kutwambia yuko wapi Polepole

Watanzania wote wapenda HAKI na amani ni muda sasa wa kuamka kudai kuachiliwa kwa Lissu tena kwa nguvu zote na mamlaka kutwambia yuko wapi Polepole

baz kaiza

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
11,489
Reaction score
12,095
Ni mda watanzania wote bila kujali itikadi za vyama na dini zetu kutoka na kushinikiza mamlaka kumwachia Tundu Lissu bila masharti yoyote. Na mamlaka kutoka na kusema Polepole yuko wapi hii nchi sio mali ya mtu hii ni nchi ya wananchi wote au Mamlaka mnataka kuona Nguvu ya Umma ile ya October inaweza kua cha mtoto narudia tena ni mda sasa mamlaka zitoke ziseme Polepole yuko wapi ?

Watu ambao walitakiwa kua Jela wako uraiani alafu watu wa kua uraini wako jela huu Unyanyasaji mpaka lini kwenye nchi yetu?
 
Kuna tetesi kuwa Lisu is at the blink of death
Labda kama wamemlisha sumu ama wamemnyima chakula, wiki tatu alipokuja mahakamani hakuwa dhaifu hivyo. Hakuna namna anaweza kuwa kwenye mazingira ya kufa kwa muda mfupi hivyo kama sio kwa sumu ama njaa.
 
Ni mda watanzania wote bila kujali itikadi za vyama na dini zetu kutoka na kushinikiza mamlaka kumwachia Tundu Lissu bila masharti yoyote. Na mamlaka kutoka na kusema Polepole yuko wapi hii nchi sio mali ya mtu hii ni nchi ya wananchi wote au Mamlaka mnataka kuona Nguvu ya Umma ile ya October inaweza kua cha mtoto narudia tena ni mda sasa mamlaka zitoke ziseme Polepole yuko wapi ?

Watu ambao walitakiwa kua Jela wako uraiani alafu watu wa kua uraini wako jela huu Unyanyasaji mpaka lini kwenye nchi yetu?
Utanisamehe; lakini mada za aina hii ni 'generic' mno; hazitoi mapendekezo yoyote!

Sasa watu watafanya nini kwa namna hii, mbali ya kupiga tu soga mwanzo hadi mwisho!


Mimi napendekeza, CHADEMA waanze kuweka ratiba ya mambo yanayomhusu Tundu Lissu na kesi yake mahakamani.

Ratiba hiyo iainishe wazi kuwa baada ya muda huo na hapajatokea lolote katika uendeshaji wa kesi; basi chama kitaanza kuwaendea waTanzania nje ya taratibu za mahakama.

Hatua yoyote inayoweza kufanyika hata bila ya vurugu zozote kuhusu swala la Tundu Lissu, baada ya muda huo litakuwa ni halali kufanyika kuhakikisha kuwa umma wa waTanzania wanatambua juhudi hizo

Huu utakuwa ni mwanzo wa kwenda mbele ya safari; kuliko kunyamaza tu kama ilivyo sasa.

Samia na Genge lake wamesubiri waTanzania wanyamaze na kusahau uovu wao ili waendelee kutawala kwa nguvu. Wasipewe nafasi hiyo.
 
Hongera kupaza sauti, AIBU kama taifa kujidai hatuoni (japo nafahamu hofu inayoletwa na kukosekana uhuru wa kutoa maoni tofauti na kusifia).

Kama balozi tu na kiongozi aliyeshika nafasi nzito kwenye chama chake, kachukuliwa na haijulikani alipo, mwananchi wa kawaida itakuwaje?

Mungu MKUU tunaomba shuka na UTUNUSURU🤲🏾, taifa linatoa harufu ya uvundo mkali mno, giza tupu!
 
Naunga mkono hoja. Mheshimiwa Tundu Lissu ndiye Rais ajaye wa Tanganyika huru. Hivyo tunatakiwa tumpambanie mwanzo mwisho ili aweze kutoka mikononi mwa wahuni wanaomshikilia gerezani kwa takribani mwaka mmoja sasa, pasipokiwa na hatia yoyote ile.
 
Back
Top Bottom