Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 16,692
- 30,970
Mkuu wewe ni mgeni sana mitandao kama hiyo na una attitude ya kishamba sana.Ndio maana tukasema watanzania hawajui matumizi ya Linkedin.
Kwa hayo majibu unayotoa ndio inadhihirisha wazi kwamba maneno ya mtoa mada ni kweli.
Haiwezekani niwaombe connections Directors/CEOs wa nchi mbalimbali wa Kenya,Dubai,Pakistan,Oman,Qatar na wana accept requests bila mashaka halafu wewe kapuku umeajiriwa sijui ni office clerk/administrator ndio uniogope kukubali request yangu na kuanza kunata kwa kipi cha maana ulichonacho au una kitu gani cha kuibiwa/kutapeliwa?
Kukubali ovyo ovyo hizo request bila mpangalio zinaleta noise sana kiasi unaweza kukosa kusoma au kufuatilia jumbe au habari muhimu toka kwenye connection zenye faida kibiashara kwako au mambo mengine muhimu kwako.
Zinajaa invitation za ajabu na matangazo ya kipuuzi mengi, huko inbox kuna jamaa wanatuma maombi kibao ya kazi kama wewe ni mtu wa recruitment. Unsolicited job applications kama takataka.
Labda profile yako in info very insignificant kiasi kwamba hupati kero hizi ndiyo maana huwaelewi watu wanachagua watu wa kuwakubalia request zao.
Kama haujui hata internet scammers wapo wengi huko Linkedin kama mitandao mingine.