Kinapatikana wapi ?
1. Wakati unapojiandaa kimawazo (me / ke ) hapo unakuwa umeandaa "raw material" malighafi
2. Unapopiga hatua kwenda kwenye miadi -unachakata malighafi.
3.Mnapoanza kushiriki tendo - mnaanza kutengeneza kiumbe
4. Mnapomaliza kuzini -Tayari uumbaji umekamilika (kiumbe-kamili.
5. Mara tu Mnapo achanishana "vikojoleo" kinatoka pembeni yenu (NJE) Huku kikiwa kimefyonza "energy" zenu na kuwaachia uchafu (balaa,nuksi na mkosi)
Umbile la kiumbe "zinaa" ni kama vile unavyomuona nungunungu kote amezungukwa na miba mikali yenye sumu.
USHAURI;
Acheni kutengeneza kiumbe hicho duniani kwani Kwa sasa , kimesha tengenezwa 37% kote duniani.
Kwani chakula chao ni ubongo wa binadamu -ndio maana utakuta mtu- hakuna analowaza zaidi ya ngono tena zembe.
Hatari na nusu !!!
Home -work
Kwa nini mume na mke halali hawawezi kuteneneza/kuzalisha hicho kiumbe !?
1. Wakati unapojiandaa kimawazo (me / ke ) hapo unakuwa umeandaa "raw material" malighafi
2. Unapopiga hatua kwenda kwenye miadi -unachakata malighafi.
3.Mnapoanza kushiriki tendo - mnaanza kutengeneza kiumbe
4. Mnapomaliza kuzini -Tayari uumbaji umekamilika (kiumbe-kamili.
5. Mara tu Mnapo achanishana "vikojoleo" kinatoka pembeni yenu (NJE) Huku kikiwa kimefyonza "energy" zenu na kuwaachia uchafu (balaa,nuksi na mkosi)
Umbile la kiumbe "zinaa" ni kama vile unavyomuona nungunungu kote amezungukwa na miba mikali yenye sumu.
USHAURI;
Acheni kutengeneza kiumbe hicho duniani kwani Kwa sasa , kimesha tengenezwa 37% kote duniani.
Kwani chakula chao ni ubongo wa binadamu -ndio maana utakuta mtu- hakuna analowaza zaidi ya ngono tena zembe.
Hatari na nusu !!!
Home -work
Kwa nini mume na mke halali hawawezi kuteneneza/kuzalisha hicho kiumbe !?