Watanzania wanaotumia LinkedIn ni washamba

Watanzania wanaotumia LinkedIn ni washamba

Habarini za leo wakuu,

Leo nimeona niwaletee mada hii wakuu.

Katika uchunguzi wangu niliofanya Linkedln nimegundua watanzania wenye akaunti LinkedIn

1. Ni washamba kwa maana kwamba hawajui maana ya mtandao wa LinkedIn

2. Profile zao za kitoto kwa maana kwamba hazivutii kabisa. Hawaja zipambanua vya kutosha, sijui wanakwama wapi.

3. Ukiwaomba urafiki hawakubali ni washamba sana. Wanadhani ule mtandao ni sawa na facebook.

4. Hasa hawa wanaofanya kazi kwenye vikampuni na vitaasisi vizuri ndio wanao jidai zaidi kwa vile wapo makazini basi hawaoni haja ya kutumia LinkedIn zaidi. Ila siku wakitumbuliwa ndio wanaanza kukuru kakara za kutafuta connection LinkedIn

5. Wanajiona sana na ndio sababu hawakubali kuwa na connection na watu wengine. Ndio sababu utakuta jitu lina connection ya watu 10 kwenye LinkedIn yake. Huu ni ushamba wa hali ya juu na ni aibu.
Wewe unadhani mtu akikuomba urafiki anakuomba kazi sio, acheni ushamba dunia imebadirika hii.

Mtu kama Bill gates tajiri wa dunia ana connect hadi na wakulima waliopo afrika wala hajali anaelewa nini maana ya LinkedIn.

6. Sijui shida iko wapi kwa watanzania wenzangu. Nyie mlio makazini mnakwama wapi kujipambanua kwenye account zenu za LinkedIn.

Wakuu nisaidie kuwaponda hawa watu mimi nimeishia hapa.

Watanzania wa LinkedIn wanaboa sana.

Utakuta kijamaa kinafanya kikazi cha mshahara laki saba basi kinavimba kichwwaaaaaaaa. Ukikiomba urafiki hakikujibu kinakaa kimya tu.

Je ungekuwa na mishahara kama ya kwetu ungefika wapi wewe.

Funguka acha ushamba wenzako tunachati na akina Jenifer Lopez Linkedln tunashauriana mambo mbalimbali.

Acheni ushamba na vikazi vyenu vya mishahara ya mboga.
Usiwe negative sana, kama kuna Watanzania wawili watatu wako Linkedin wamekufanyia hivyo, ila usi generalize kwamba Watanzania wote walioko Linkedin wako hivyo. Hiyo ni generalization mbaya sana. Mimi ni mmojawapo ambao nipo Linkedin na nipo active sana kule, hadi sasa nina connections zaidi ya 3500; wengi wao wakiwa ni Watanzania na wapo active tuu na baadhi yao huwa nachati nao issues za kazi na opportunities zingine.
Meneja Wa Makampuni
 
Usiwe negative sana, kama kuna Watanzania wawili watatu wako Linkedin wamekufanyia hivyo, ila usi generalize kwamba Watanzania wote walioko Linkedin wako hivyo. Hiyo ni generalization mbaya sana. Mimi ni mmojawapo ambao nipo Linkedin na nipo active sana kule, hadi sasa nina connections zaidi ya 3500; wengi wao wakiwa ni Watanzania na wapo active tuu na baadhi yao huwa nachati nao issues za kazi na opportunities zingine.
Meneja Wa Makampuni
Kama jina lako ndio hili hili ngoja nikutafute nikuombe koneksheni
 
Habarini za leo wakuu,

Leo nimeona niwaletee mada hii wakuu.

Katika uchunguzi wangu niliofanya Linkedln nimegundua watanzania wenye akaunti LinkedIn

1. Ni washamba kwa maana kwamba hawajui maana ya mtandao wa LinkedIn

2. Profile zao za kitoto kwa maana kwamba hazivutii kabisa. Hawaja zipambanua vya kutosha, sijui wanakwama wapi.

3. Ukiwaomba urafiki hawakubali ni washamba sana. Wanadhani ule mtandao ni sawa na facebook.

4. Hasa hawa wanaofanya kazi kwenye vikampuni na vitaasisi vizuri ndio wanao jidai zaidi kwa vile wapo makazini basi hawaoni haja ya kutumia LinkedIn zaidi. Ila siku wakitumbuliwa ndio wanaanza kukuru kakara za kutafuta connection LinkedIn

5. Wanajiona sana na ndio sababu hawakubali kuwa na connection na watu wengine. Ndio sababu utakuta jitu lina connection ya watu 10 kwenye LinkedIn yake. Huu ni ushamba wa hali ya juu na ni aibu.
Wewe unadhani mtu akikuomba urafiki anakuomba kazi sio, acheni ushamba dunia imebadirika hii.

Mtu kama Bill gates tajiri wa dunia ana connect hadi na wakulima waliopo afrika wala hajali anaelewa nini maana ya LinkedIn.

6. Sijui shida iko wapi kwa watanzania wenzangu. Nyie mlio makazini mnakwama wapi kujipambanua kwenye account zenu za LinkedIn.

Wakuu nisaidie kuwaponda hawa watu mimi nimeishia hapa.

Watanzania wa LinkedIn wanaboa sana.

Utakuta kijamaa kinafanya kikazi cha mshahara laki saba basi kinavimba kichwwaaaaaaaa. Ukikiomba urafiki hakikujibu kinakaa kimya tu.

Je ungekuwa na mishahara kama ya kwetu ungefika wapi wewe.

Funguka acha ushamba wenzako tunachati na akina Jenifer Lopez Linkedln tunashauriana mambo mbalimbali.

Acheni ushamba na vikazi vyenu vya mishahara ya mboga.
LinkedIn is a security vulnerability.

Siku hizi kuna wasiojulikana wanatafuta habari za watu wawafanye vibaya.

Waache na ushamba wao, kwani lazima wakukubali urafiki mtu hata hawakujui?

Unataka kumpangia mtu jinsi ya kutumia account yake?
 
Waambie waambie 'watu mnabadilishana mawazo ya love dont cost a thing nk' halafu wanaleta nyodo.
 
Huo ndio ushamba wenyewe tunaozungumzia hapa.
Wasiojulikana wakutafute wewe kapuku ili iweje?Watafaidika nini wakikupata?Na hata kama wakikuhitaji kuna haja gani waumie kichwa wakitaka wanakupata kama panya tu nyumbani kwako mbagala mbande.
LinkedIn is a security vulnerability.

Siku hizi kuna wasiojulikana wanatafuta habari za watu wawafanye vibaya.

Waache na ushamba wao, kwani lazima wakukubali urafiki mtu hata hawakujui?

Unataka kumpangia mtu jinsi ya kutumia account yake?
 
Huo ndio ushamba wenyewe tunaozungumzia hapa.
Wasiojulikana wakutafute wewe kapuku ili iweje?Watafaidika nini wakikupata?Na hata kama wakikuhitaji kuna haja gani waumie kichwa wakitaka wanakupata kama panya tu nyumbani kwako mbagala mbande.
Sasa kama mtu kapuku kakaa na ukapuku wake hataki kusumbuliwa wewe tatizo lako liko wapi?

Unataka kumlazimisha kutumia account yake ya LinkedIn asivyotaka yeye?

Na ushajua huyu kapuku, kwa nini unataka kuwa na urafiki na kumfuatilia mtu kapuku?

Kwa nini usijiunge na wajanja wenzako uachane na makapuku?
 
Ndio maana tukasema watanzania hawajui matumizi ya Linkedin.
Kwa hayo majibu unayotoa ndio inadhihirisha wazi kwamba maneno ya mtoa mada ni kweli.
Haiwezekani niwaombe connections Directors/CEOs wa nchi mbalimbali wa Kenya,Dubai,Pakistan,Oman,Qatar na wana accept requests bila mashaka halafu wewe kapuku umeajiriwa sijui ni office clerk/administrator ndio uniogope kukubali request yangu na kuanza kunata kwa kipi cha maana ulichonacho au una kitu gani cha kuibiwa/kutapeliwa?
Sasa kama mtu kapuku kakaa na ukapuku wake hataki kusumbuliwa wewe tatizo lako liko wapi?

Unataka kumlazimisha kutumia account yake ya LinkedIn asivyotaka yeye?

Na ushajua huyu kapuku, kwa nini unataka kuwa na urafiki na kumfuatilia mtu kapuku?

Kwa nini usijiunge na wajanja wenzako uachane na makapuku?
 
Nilimpa mtu pesa kuniandali profile kule ambayo imekaa kama dunia ya kwanza
Wewe naye ni mshamba mwingine unampaje mtu pesa akuandikie profile wakati kila kitu kinajieleza mle?
Kama hata kuandika profile hujui kule sio mahala kwako ishia facebook tu.
 
Kwa hiyo na wewe ulishawahi kulipia pesa kuandikiwa profile?mbona umepaniki punguani mmoja wewe,usitumie kichwa chako kufugia meno.

Wewe unayehangaishwa na mambo ya kipumbavu pamoja na watu wa aina hiyo hamfai LinkedIn. Yawezekana hao uanowasema wameconnect na ninyi kwa kuwa hawawafahamu, lakini usishangae utakapoweka wazi upumbavu wako ukala block au ukawa ignored. Kama hapa tu mnaonekana kupwaya, itakuwaje LinkedIn?

Kwa watu wa aina yako na mtoa mada, hamtapata conncetions za Watanzania wengi ambazo ninyi mnaziita "kutaka urafiki" kwa sababu wanawafahamu viwango uchwara vyenu. Mtaconect na aho wasiowajua ambao hata hivyo hawatakuwa na airtime na ninyi.

Kwa moyo wa upendo na huruma, ninafeel namna mnafeel kwa kubaguliwa wakati pia mnandoto za kusonga mbele na kuwa na connections mbalimbali kwa aspirations tofauti zikiwemo mahusiano, taaluma, uchumi, elimu, biashara, n.k. n.k

Please try to transform your level of understanding and attitudes before finger pointing others for ignoring you. Siyo kila connection is worthy your time and dreams. Usilazimishe mahusiano. Hao wachache wanaokukubali, shirikiana nao kwa upendo katika kuboresha maisha na kutengeneza milango mingine kwa sasa na hata baadaye. Mtu asipokupokea usimtukane kwa kuwa humfahamu na hujui anamalengo gani na zaidi hujui kama ni wa msaada kwako au ni majuto yako.

Mungu anaweza kuwa amekupa mtu mmoja na pengine hata nje ya mitandao au nje ya nchi ambaye ni kiungo muhimu katika ndoto na juhudi zako za kusonga mbele kuliko hao unaolazimisha wakuunge. Kumbuka watu wapo na mipango n amalengo yao na si lazima wawe kwenye mipango yako. Hivyo ustaarabu si kuwalaumu na kuwatukana eti hawajakuunga. Kwa heri.
 
Habarini za leo wakuu,

Leo nimeona niwaletee mada hii wakuu.

Katika uchunguzi wangu niliofanya Linkedln nimegundua watanzania wenye akaunti LinkedIn

1. Ni washamba kwa maana kwamba hawajui maana ya mtandao wa LinkedIn

2. Profile zao za kitoto kwa maana kwamba hazivutii kabisa. Hawaja zipambanua vya kutosha, sijui wanakwama wapi.

3. Ukiwaomba urafiki hawakubali ni washamba sana. Wanadhani ule mtandao ni sawa na facebook.

4. Hasa hawa wanaofanya kazi kwenye vikampuni na vitaasisi vizuri ndio wanao jidai zaidi kwa vile wapo makazini basi hawaoni haja ya kutumia LinkedIn zaidi. Ila siku wakitumbuliwa ndio wanaanza kukuru kakara za kutafuta connection LinkedIn

5. Wanajiona sana na ndio sababu hawakubali kuwa na connection na watu wengine. Ndio sababu utakuta jitu lina connection ya watu 10 kwenye LinkedIn yake. Huu ni ushamba wa hali ya juu na ni aibu.
Wewe unadhani mtu akikuomba urafiki anakuomba kazi sio, acheni ushamba dunia imebadirika hii.

Mtu kama Bill gates tajiri wa dunia ana connect hadi na wakulima waliopo afrika wala hajali anaelewa nini maana ya LinkedIn.

6. Sijui shida iko wapi kwa watanzania wenzangu. Nyie mlio makazini mnakwama wapi kujipambanua kwenye account zenu za LinkedIn.

Wakuu nisaidie kuwaponda hawa watu mimi nimeishia hapa.

Watanzania wa LinkedIn wanaboa sana.

Utakuta kijamaa kinafanya kikazi cha mshahara laki saba basi kinavimba kichwwaaaaaaaa. Ukikiomba urafiki hakikujibu kinakaa kimya tu.

Je ungekuwa na mishahara kama ya kwetu ungefika wapi wewe.

Funguka acha ushamba wenzako tunachati na akina Jenifer Lopez Linkedln tunashauriana mambo mbalimbali.

Acheni ushamba na vikazi vyenu vya mishahara ya mboga.
Sasa kwanini ww mjanja usingue account yako ili hao washamba wajifunze kutoka kwako wewe mjanja.
 
Back
Top Bottom