Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Halafu majitu yaliyosoma hapo yakiongozwa na Chenge kwa kupiga dili usipime.
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...
kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?
hahahaaaa afu ndo anatuandikia katiba ya nchiHalafu majitu yaliyosoma hapo yakiongozwa na Chenge kwa kupiga dili usipime.
Mohammed Dewji au Yusuf manji mmojawapo nadhani alisoma havard
Kwa kusema ukweli ulio moyoni kwangu Sioni Kama kuna faida ya Taifa kuwajua. Kuna Watanzania kadhaa ni Maprofesa wa vyuo vikubwa Marekani na Canada. Kuna Watanzania wanafanya kazi sehemu nyeti akiwamo mmoja ni namfahamu personal yuko pale Cape Canaveral ( NASA) pale Florida. Kuna vichwa viko IBM n.k. Kama Taifa halikutambua au halitambui hivi Vichwa basi Taifa linastahili kutopata faida ya michango Yao kwa Jamii na Ulimwengu kwa ujumla. Asante mkuu.
mzizimkavu , le mutuzi,miss chaga,shy-land,mshana jr,pasco.n.k n,k
Kuna vijana wawili wa kimasai kutoka kijiji cha Arash Ngorongoro. Mmoja amemaliza udaktari na mwingine mambo ya engineering huko Harvard. Muulize JK maana ndio ka-support hao vijana kusoma huko! Hivi majuzi niliwaona Mandela University Arusha...sijafuatilia wanafanya nini
Ndo hapo xaxa .... Workdone zero ...