Watanzania waliosoma Havard

Watanzania waliosoma Havard

Yeah Andrew Chenge ...pia nae ni mmoja wa wafadika wa hizo scholarships na wengine maprofesa mlimani ....

Hawa Kina Mohamed Dewji na Yusuf Manji ..wamesoma Geargetown UNI ...one of the best business schools in the world ..na inaweza kuona namna mikakati Yao ilivyo tofauti na hiz MBA zetu ..wamejisomesha na Wazazi wao .....Wakati MBA au UNI kwa mwaka bongo ni hadi dola 2'000 ..watu wanalipa hadi usd 120'000 kwa mwaka kwenye best universities .....

Hata Kama Serikali ikisema itapeleka vijana 5 kila mwaka ..mchakato wa wazi hatushindwi

Allen Iverson alisoma same class na Dewji ila cha kushangaza jamaa alishindwa simamia pesa zake.. He is broke ass nigga now
 
USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
 
Chenge inamlipa maana jinsi anavyotuzunga watanzania mpaka raha.
Ukitaja EPA mzee yumo, Chenji ya Rada yumo, Escrow yumo, juzi tena kumbe ametoa nakala za katiba pendekezwa milioni 2 kwa pesa ambayo ni bajeti ya nchi. Aiseee big up Havard.
 
Allen Iverson alisoma same class na Dewji ila cha kushangaza jamaa alishindwa simamia pesa zake.. He is broke ass nigga now

Atakuwa Mswahili mwenzetu ....mnaweza kufikiri watu Kama Dewji n Manji wamekuta kila kitu kwenye slaver plate ..lakini ukweli ni kuwa Elimu na exposure imewasaidia ku turn around family business to the next level ..

Wakati Manji anapokea kampuni kutoka kwa baba yake miaka 10 iliyopita ...ilikuwa na Quality Motors na Quality Garage ....lakini Leo Hii Ana kampuni karibu 50 ...property Za kumwaga ...Nyerere rd Ana property Zaidi ya 10 Za maana ...
Dewji Pamoja na kuwa baba yake ni mkritimba anayefanyaa biashara Kizamani mfumo wa kutoamini mtu ...na one man ....amesaidia ku devolve kampuni Zao na kupeleka baadhi ya maamuzi kufanywa na mameneja ...wa makampuni Yao yanayokaribia 100 ....though bado baba yake ni head figure n guru

Sisi waswahili Nadhani tuna culture barrier ..wachache Sana....wanapewa biashara zinaendelea wengi wanauwa hata upeleke Harvard au Georgetown ...Stanford etc
 
Atakuwa Mswahili mwenzetu ....mnaweza kufikiri watu Kama Dewji n Manji wamekuta kila kitu kwenye slaver plate ..lakini ukweli ni kuwa Elimu na exposure imewasaidia ku turn around family business to the next level ..

Wakati Manji anapokea kampuni kutoka kwa baba yake miaka 10 iliyopita ...ilikuwa na Quality Motors na Quality Garage ....lakini Leo Hii Ana kampuni karibu 50 ...property Za kumwaga ...Nyerere rd Ana property Zaidi ya 10 Za maana ...
Dewji Pamoja na kuwa baba yake ni mkritimba anayefanyaa biashara Kizamani mfumo wa kutoamini mtu ...na one man ....amesaidia ku devolve kampuni Zao na kupeleka baadhi ya maamuzi kufanywa na mameneja ...wa makampuni Yao yanayokaribia 100 ....though bado baba yake ni head figure n guru

Sisi waswahili Nadhani tuna culture barrier ..wachache Sana....wanapewa biashara zinaendelea wengi wanauwa hata upeleke Harvard au Georgetown ...Stanford etc

kaka naomba utaje walau kampun kumi za manji
 
Mkuu sikatai mawazo yako. Ni kweli juhudi zako na uwezo wako ndio kigezo bila kujalisha umesomea wapi.
Ila on the flip side, kumbuka Ivy league schools wana-admit best of the very best from all over the world.
Kwa mantiki hiyo utafundishwa na walimu wenye uwezo wa juu sana na utapata knowledge ya hali ya juu.
Proven track record ya vyuo kama Harvard ni pana mnoo.

1.) Jiulize ni kwa nini wapokee grants/research funds in terms of billions of $$$ na chuo kama Kennesaw State au UDSM kisipewe hizo funds?

2.) Kwa nini high profile employers wanaenda kuwasaka wahitimu wa vyuo kama hivi kila semester inapoisha na wasiende kwengine?

3.) Kwa nini majority ya wanaomaliza hivi vyuo hawatafuti kazi bali employers ndio wanawasaka kwa udi na uvumba graduates wao? Top employers wanapiga camp kusaka talent tena with good signing bonus ukikubali ajira!

4.) Ukifanya nao hata kazi makazini kuna elements za creativity na exceptional skills ambazo utaziona na hazijifichi ambazo zinawa-distinguish hawa wahitimu wa vyuo hivi ukilinganisha na wa UDSM

5.) Kwa nini maraisi wengi wa US ama hata PM wa India ni alumni wa Ivy league?

Sisemi kuwa wahitimu wa vyuo vingine ni vilaza. No. Lakini tukubali kuwa majority ya hawa jamaa wa hivi vyuo have gifted skills augmented by exceptional creativity, innovation etc.
Real Madrid haiwezi kufanana na Simba SC ingawa Amri Kiemba anacheza vema kuliko Benzema. Lakini Benzema atakuwa na chati sababu anachechea Madrid

Good analysis.
 
Chenge inamlipa maana jinsi anavyotuzunga watanzania mpaka raha.
Ukitaja EPA mzee yumo, Chenji ya Rada yumo, Escrow yumo, juzi tena kumbe ametoa nakala za katiba pendekezwa milioni 2 kwa pesa ambayo ni bajeti ya nchi. Aiseee big up Havard.
Sa hivi amekuja na slogan "nyoka wa makengeza" nimeupenda ubunifu wake. Na mkae mkijua yule joka la makengeza hatokaa akutikane na hatia kwa Mahakama za Tanzania labda huko kwa wenzetu, anajua jinsi ya kucheza na sheria zetu dhaifu kwa sababu either ameshiriki kuzitunga kwa makusudi ya hayo anayoyafanya au amezikuta zikiwa dhaifu na akaamua kuitumia hiyo loop hole ili kufanikisha deal zake.
 
[h=2]News & Events
[/h]


[h=5]PROGRAM HIGHLIGHTS[/h]

5

[h=1]Harvard University Seeks Tanzanian Students[/h][h=6]September 13, 2011[/h]
Dr. Robin Worth and Harvard Alumna Ms. Gloria Cheche address Tanzanian students.

On September 4, Embassy Dar es Salaam and the Tanzania Student Achievement Organization (TANSAO) hosted a program at the Golden Tulip Hotel in Dar es Salaam to promote study at Harvard University featuring a presentation to over 200 Tanzanian students and 60 parents by Dr. Robin M. Worth, the university's Director of International Admissions. Dr. Worth visited Tanzania from September 3-9 on a recruiting program through Dar es Salaam, Moshi, and Arusha. The event was attended by Mrs. Jacqueline Lenhardt, who underscored U.S. support for education and invited students to establish high goals in pursuit of their education.



 
ata mangi wapo!
 

Attachments

  • 1427111486564.jpg
    1427111486564.jpg
    49.6 KB · Views: 295
Hongereni mliosoma Havard sis wengine ndo tumebahatisha huku UDOM full stress
 
Back
Top Bottom