Mkuu sikatai mawazo yako. Ni kweli juhudi zako na uwezo wako ndio kigezo bila kujalisha umesomea wapi.
Ila on the flip side, kumbuka Ivy league schools wana-admit best of the very best from all over the world.
Kwa mantiki hiyo utafundishwa na walimu wenye uwezo wa juu sana na utapata knowledge ya hali ya juu.
Proven track record ya vyuo kama Harvard ni pana mnoo.
1.) Jiulize ni kwa nini wapokee grants/research funds in terms of billions of $$$ na chuo kama Kennesaw State au UDSM kisipewe hizo funds?
2.) Kwa nini high profile employers wanaenda kuwasaka wahitimu wa vyuo kama hivi kila semester inapoisha na wasiende kwengine?
3.) Kwa nini majority ya wanaomaliza hivi vyuo hawatafuti kazi bali employers ndio wanawasaka kwa udi na uvumba graduates wao? Top employers wanapiga camp kusaka talent tena with good signing bonus ukikubali ajira!
4.) Ukifanya nao hata kazi makazini kuna elements za creativity na exceptional skills ambazo utaziona na hazijifichi ambazo zinawa-distinguish hawa wahitimu wa vyuo hivi ukilinganisha na wa UDSM
5.) Kwa nini maraisi wengi wa US ama hata PM wa India ni alumni wa Ivy league?
Sisemi kuwa wahitimu wa vyuo vingine ni vilaza. No. Lakini tukubali kuwa majority ya hawa jamaa wa hivi vyuo have gifted skills augmented by exceptional creativity, innovation etc.
Real Madrid haiwezi kufanana na Simba SC ingawa Amri Kiemba anacheza vema kuliko Benzema. Lakini Benzema atakuwa na chati sababu anachechea Madrid