Watanzania waliosoma Havard

Watanzania waliosoma Havard

Kuwa jua tu haisaidii bali tungetambua mchango wa wale ambao wameleta michango chanya katika nchi hii.
 
Mohammed Dewji au Yusuf manji mmojawapo nadhani alisoma havard
 
Kwa kusema ukweli ulio moyoni kwangu Sioni Kama kuna faida ya Taifa kuwajua. Kuna Watanzania kadhaa ni Maprofesa wa vyuo vikubwa Marekani na Canada. Kuna Watanzania wanafanya kazi sehemu nyeti akiwamo mmoja ni namfahamu personal yuko pale Cape Canaveral ( NASA) pale Florida. Kuna vichwa viko IBM n.k. Kama Taifa halikutambua au halitambui hivi Vichwa basi Taifa linastahili kutopata faida ya michango Yao kwa Jamii na Ulimwengu kwa ujumla. Asante mkuu.

hii serikali yetu huwa ikiwatoa huko nje watu kama hao wanaishia kuwatelekeza au kudhalilisha taaluma zao, kumbuka ya Tido, Prof Sarungi na wengine. Sarungi ndie alianzisha taasisi ya MOI leo si kitu kabisa ingawa walimtoa nje kwa jitihada nyingi
 
Justinian Rweyemamu

Hawa wawili wa chini nilikutana nao Maryland near Washington DC.

Somebody Daghar, Orijino Tanga.

Dr. Ahmed M. (B/M and PhD) zote Harvard. USA hawamwachii huyu hata kidogo yupo NSA, Orijino Dodoma.

mkuu hyo taarifa yako sio kweli,NSA hawaajili mtu kama sio mmarekani,secret service yoyote haiajili mtu km sio mmarekan vngnevyo akane uraia wake maana atakua anafanya double agenting,labda km n special agent,na special agent awe anafanyia kaz zake nje ya usa sasa km yuko pale pale usa jambo hlo haliwezekan.
 
mkuu hyo taarifa yako sio kweli,NSA hawaajili mtu kama sio mmarekani,secret service yoyote haiajili mtu km sio mmarekan vngnevyo akane uraia wake maana atakua anafanya double agenting,labda km n special agent,na special agent awe anafanyia kaz zake nje ya usa sasa km yuko pale pale usa jambo hlo haliwezekan.

Sasa wewe unajuaje kuwa siyo mmarekan?,. Maana hapo tumeoneshwa tu kuwa origin yake ni dodoma bt utaifa wake wa sasa hatujaambiwa.
 
Profesa Mwesiga BAREGU.
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...

kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?
 
Hupo dogo fulani hivi yupo sasa kwenye US NAVY anapiga mzigo km marine engineer naye kasoma hapo harvard!
 
somebody matechi,he's quite good,ni kijana mdogo tu from kilimanjaro!
 
Ni kweli vyema wakafahamika,ninaye rafiki yangu kijana mdogo kama 36 years old kamaliza 2 years past level ya Phd School of med. hapo Havard ameniambia jana wanajamvi wa jf wanapenda kuwajua wote waliosoma huko,akaniomba ni si expose jina lake hapa.Ni kijana wa kanda ya .......
 
Mbona hamsemi hamjadili watanzania waliohitimu tanzania na sasa ni wakutegemewa sana ulaya na marekani?
 
Mimi nimesoma KWA MFUGA MBWA primary school. Huko havard ni mtaa gani jamani hapa jijini?mimi mgeni mjini jamani....by the way sioni haja ya kuwajua kwa sababu hata hao waliosoma na wanaojulikana ni majanga matupu!...tufanye yetu , wao washafanya yao kwa jasho letu
 
Justinian Rweyemamu

Hawa wawili wa chini nilikutana nao Maryland near Washington DC.

Somebody Daghar, Orijino Tanga.

Dr. Ahmed M. (B/M and PhD) zote Harvard. USA hawamwachii huyu hata kidogo yupo NSA, Orijino Dodoma.


Nikisikia Maryland, namkumbuka Prof. John Mtembezi.
Hivi wa wapi yule mzee?
 
Mkuu - nimefuatilia mada na litamani nipate lengo la search hii lakini bado sijaipata labda niulize tu uniambie wewe nina hamu ya kujua na sikutaka niassume
 
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...

kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?

Nyani ngabu
 
Back
Top Bottom