Watanzania waliosoma Havard

Watanzania waliosoma Havard

Wapo wengi sana mkuu ,hata vijana wetu wa pale umenyeni (Iliboru ) walikuwa wanapata scholarship ila siku hizi naona watakuwa wanapewa vijana wa wazee wa chama . Wengine wamerudi bongo wanasaidia ujenzi wa taifa.
PAULSEN MRINA
STEVEN HABAKUKI
SARA CHECHE

Hata kipindi hicho bado ilikuwa ni siasa kwasababu huyo Habakuki alikuwa hatii mguu kwa mtu anaitwa Kasita na wengine wengi walikuwepo.
Scholarship zilikuwa zinatolewa na International School Moshi (ISM).Ila kwasasa hivi walivyo vunja shule za vipaji maalum sidhani kama kutatokea mlala hoi wa kuzipata hizo scholarships
 
Ni she not he,alikuwa anasoma Agakhan mzizima akapata scholarship kupitia International school of Tanganyika.Ni mtoto wa jaji mstaafu aliyesimamia kesi ya babu seya.She is bright hatari

he nilikua namzungumzia Rweyemamu not Kimberley...
hujafatilia vizuri convo yetu.
Kimberley najua ni SHE.
 
Kwani school fee kwa bachelor degree ya LLB ni sh.ngapi?maana matokeo yetu form six yameshatoka
Na qualification ni zipi?
 
Kwani school fee kwa bachelor degree ya LLB ni sh.ngapi?maana matokeo yetu form six yameshatoka
Na qualification ni zipi?

Hiyo bachelor degree ya LLB ni kozi mpya hiyo maana sisi tulisoma zamani
 
Sijui kweli! Huku mtaani kwetu kuna kijiwe, kila habari ya kipekuzi ya hapa nchini wanayo! wanasema BOSS wa Yanga amesoma HAVARD, tena wanataja course aliofanya, nimesahau jina la kozi lkn waliotafsiri wanasema inahusu mambo ya kukwepa kodi za serikali!

Walienda mbali zaidi, wakasema kwa hapa Tanganyika hiyo proffessional anayo yeye peke yake!
 
Kwa wale tulio Marekani tunaelewa kuwa KAMA HUNA KICHWA HATA APPLICATION YAKO HAIANGALIWI HAPO HARVARD! Kupata admission tu ni TABU lazima uwe na CV na vyeti vya shule zilizopita viwe vina misonge. Huku hakuna hongo hata kama nchi inakulipia if you can not meet their standards SORRY YOU ARE GONE. Hembu tuchambue mambo kwa kina na kujua habari kamili, ni kweli hawa watu waliosoma HARVARD NI VICHWA na wangesaidia sana nchi katika maamuzi yake.. Saying that nina maanisha kuwa AFRICA BADO TUNA MAWAZO FINYU tunadhania yale yanayoendelea AFRICA yapo dunia nzima huku HAKUNA MTOTO WA WAZIRI AU RAIS SHOW ME YOUR GPA AND I WILL GIVE A JOB OR EDUCATION. Ndo maana wengi wetu tuliokuja kusoma huku tulibaki cause the sysytem is clean otherwise tusingepata kazi za kiofisi kuna watanzania huku ni Directors wa makampuni, madaktari na wengi wanaongoza ofisi na wazawa wa nchi hii hakuna mjomba wala shangazi unaona kazi unaomba wanaagalia GPA yako au work history yako wanapiga simu kwa waajiri wako wa zamani if you are clean YOU GET A JOB... WAPENI SIFA WALE WANAOSTAHILI. HONGERENI MLIOSOMA HARVARD HATA HUKU MAREKANI UKISIKIA MTU KASOMA HUKO UNAONYESHA HESHIMA
 
Kwa sasa idadi ya watanzania katika vyuo mashuhuri duniani (the Harvards, Yales, Stanfords, Oxfords, Princetons etc) ni kubwa zaidi. Waliosaidia vijana wa Tanzania kufika katika anga hizo kwa masomo ya shahada ya kwanza ni shirika kama TANSAO, effort za Dr. Strato Mosha (kuhusiana scholarship za UWC), scholarship za IB za ISM, IST, MZIZIMA.

Ila ukweli uliopo ni kuwa, ni nadra sana kwenda kusoma Harvard moja kwa moja baada ya kupata shahada/vyeti za kitanzania, hata kama ukifunika entry exams zao (SAT/GRE). Yaani namaanisha, mtu atoke na BA au BSc ya vyuo vyetu na aende Grad school katika vyuo hivyo moja kwa moja, au mtu apige NECTA A level na kwenda huko moja kwa moja. Mitaala ya shule zetu hazimtayarishi mtu afanikiwe kule.
 
Kwa wale tulio Marekani tunaelewa kuwa KAMA HUNA KICHWA HATA APPLICATION YAKO HAIANGALIWI HAPO HARVARD! Kupata admission tu ni TABU lazima uwe na CV na vyeti vya shule zilizopita viwe vina misonge. Huku hakuna hongo hata kama nchi inakulipia if you can not meet their standards SORRY YOU ARE GONE. Hembu tuchambue mambo kwa kina na kujua habari kamili, ni kweli hawa watu waliosoma HARVARD NI VICHWA na wangesaidia sana nchi katika maamuzi yake.. Saying that nina maanisha kuwa AFRICA BADO TUNA MAWAZO FINYU tunadhania yale yanayoendelea AFRICA yapo dunia nzima huku HAKUNA MTOTO WA WAZIRI AU RAIS SHOW ME YOUR GPA AND I WILL GIVE A JOB OR EDUCATION. Ndo maana wengi wetu tuliokuja kusoma huku tulibaki cause the sysytem is clean otherwise tusingepata kazi za kiofisi kuna watanzania huku ni Directors wa makampuni, madaktari na wengi wanaongoza ofisi na wazawa wa nchi hii hakuna mjomba wala shangazi unaona kazi unaomba wanaagalia GPA yako au work history yako wanapiga simu kwa waajiri wako wa zamani if you are clean YOU GET A JOB... WAPENI SIFA WALE WANAOSTAHILI. HONGERENI MLIOSOMA HARVARD HATA HUKU MAREKANI UKISIKIA MTU KASOMA HUKO UNAONYESHA HESHIMA

Mbona wale mapacha wawili wa pinda wanasoma huko tena wanachukua PhD za neurology na astronomy tena wakiwa na miaka 24?
 
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...

kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?

Ndo best in the world so what? Hivi hiyo elimu ya dunia ndio inayowapa watu amani kutawala na kumiliki mwili na roho na kuwaandaa kuishi kama MUNGU anavyopenda?
 
Prof. Ng'wanapagi wengine nimewasahau. Tundu Lissu alitaka kunifuata pale akapigwa ban sababu za kuomba mwogozo mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom