Ninachotaka wajitokeze,wasiwe na 'maringo' simply sababu 'wana soko all over the world'
wapiganie kulitumikia taifa kama wengine
Noted! Wewe ni mzalendo! Blessing!
Ninachotaka wajitokeze,wasiwe na 'maringo' simply sababu 'wana soko all over the world'
wapiganie kulitumikia taifa kama wengine
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...
kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?
Na Stanford je?Ni kweli. Lakini Harvard ndio Real Madrid ama NY Yankees of all universities.
Justinian Rweyemamu
Hawa wawili wa chini nilikutana nao Maryland near Washington DC.
Somebody Daghar, Orijino Tanga.
Dr. Ahmed M. (B/M and PhD) zote Harvard. USA hawamwachii huyu hata kidogo yupo NSA, Orijino Dodoma.
Alichukuwa PhD yake Harvard.
Matunda ya Nyerere hayo
Alichukuwa au alisoma? Kama ni kuchua tu mwambie Ponda na yeye akachukue
mi nilisikia Rweyemamu alikuwa anafundisha Harvard na sio kusoma
Matunda ya Nyerere hayo
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...
kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?
Mkuu Vuvuzela,
Sidhani kama tatizo ni access ya internet. Wengi wa wenye sifa za kusoma vyuo vya nje wana access lakini wala hawajisumbui kuomba. Tukubali ukweli kwamba ule mchakato wa kuomba shule kwa vyuo vyenye heshima kitaaluma huko Ughaibuni unahitaji uwe na nia thabiti na muda wa kutosha.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Sasa, Mimi Ndo Kwanza Nipo Certificate Of Law Pale UDSM, Nina Maswali Kidogo Hapa! Ni Vigezo Vp Na Procedures Zp Znafuatwa Kuingia Pale Havard Na Pengine Hata Oxfoard? Na Mtanzania Anae Soma Law Nje Nafikiri Atasoma Internation Law, Fikra Zangu Zimeishia Hapo. Sasa Kuna Corze Gani Ya Law Zaid Ya Hiyo Wanakwenda Kusoma? Je? Mara Nyingi Spounser Huwa Ni Nani?maana Serikali Yetu Haitili Mkazo Corze Za Art! Na Mwisho Kwa Miaka Kadhaa Prf. Tundu~lisu, Alikuwa Marekani, Maisha Yake Huko Hayana Uhusiano Na Chuo Hiki? Je, Alikuwa Akifanya Kaz Wapi? Kasomea Wapi Mtu Huyu?
Mkuu unachanganganya sana mambo sasa!
MIT ni chuo bora duniani kwenye engineering programs lkn Havard kinabaki kama chuo bora kwenye art programs!