Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,195
Mbona dhumuni nishasema huko juu kunilipua mkuuEndapo una Elimu inaweza kukubeba kwa namna fulani.
Lakini inategemea dhumuni ni nini kama utaweza, unaweza kwenda kitalii then mengine yataendelea.
Elimu sina mkuu...
Acha nifanye ya kitalii kuna vin'gombe vya mzee nitaomba gawio nipate fwedha.