Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,286
Ingekuwa vizuri ungeweka wazi fursa zilizopo especially kwenye elimu ambazo Mtz awe za apply . Mfano aina ya masters, Ph.D. Scholarships n.k n.k
Khaaaa....
Miss u
Ndio Mkuu.ETH ya zurich au?
karibu sana mkuu nitakupa ushirikiano wa kutoshaNdio Mkuu.
Poa mkuu, siku moja tutaonana.karibu sana mkuu nitakupa ushirikiano wa kutosha
hebu weka sawa hili swali lako?Ingekuwa vizuri ungeweka wazi fursa zilizopo especially kwenye elimu ambazo Mtz awe za apply . Mfano aina ya masters, Ph.D. Scholarships n.k n.k
Hahaa,kwahiyo PhD za huku ni uchwalaSasa Phd miaka 7, ukirudi bongo unakuta dogo aliyeingia shamba kupiga jembe katoboa mbaya...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba nikujibu kwa niaba.
njia itakayokufaa ni ya kutumia masomo kwa kazi itakuwa ngumu na hiyo masters yako ya vyuo vya huko nyumbani, hawa jamaa huku hawaitilii maanani elimu inayozalishwa na baadhi ya nchi za afica na hutaweza kushindana na watu toka bara la ulaya, America na asia kwenye soko la ajira la kimataifa, hii itakuwia vigumu mno na utayaona maisha ya hapa kama jehenamu, lakini ukija kwa njia ya masomo utatakiwa usome baadhi ya kozi ili kuboost elimu yako atleast uweze kutambuliwa kwenye mifumo ya ajira na utakuwa unafanya part-time job kipindi uko masomoni na kuyasoma mazingira vizuri ya nchi kabla ya kujichanganya, hii njia itakuwa nzuri na itakusaidia sana
Kwa PHD kama utapata scholarship itakuwa ni jambo jema na kama utaweza kujigharamia pia ni vizuri, nina rafiki zangu wawili wanasoma PHD tuko nao huku Switzerland mmoja raia wa Nigeria anasoma chuo cha Geneva Bussiness School hapa mjini Geneva na chuo kinamlipa CHF 30,000 kwa mwaka,na atatumia miaka 4 tu kumaliza PhD yake, mwingine ni raia wa rwanda anasoma ETH Zurich Institute of science, Technology and policy PHD pia yeye analipwa CHF 35,000+ kwa mwaka
Ada za PHD kwa huku zinaanzia CHF2500 na kuendelea kutokana na chuo husika na kwa elimu ya PHD na mifumo ya elimu ya vyuo vya hapa itakuchukua miaka 4 mpaka 7 kumaliza na tambua Switzerland ni moja ya nchi ya ulaya wanayotoa elimu bora kabisa ulimwenguni na vyuo vyake ni vya hadhi ya juu kimataifa na hutojuta kusoma huku, Karibu mkuu tuwe pamoja huku lakini tambua maisha ya hapa ni ghali sana
angalia online mkuu thamani ya fedha inabadilika kila mda
inawezekana mkuu ila uwe umejiandaa kimpungaVp kama mtu anataka kuanzia huko bachelor ya science kama vile ya nursing ama ya maabara kwa kujisomesha mwenyewe vp inawezekana ?
Sawa nimekuelewa mkuu nikuombe kama inawezekana kupata taarifa za awali kujua ni bei gan ya ada kwa mwaka hasa bachelor ya nursing na michango mingne ya awali ama ikiwa unaweza kujua ni chuo kipi kinatoa coz hiyo itakiwa poa sana. Jaribu kuuliza tafadhari mkuu.inawezekana mkuu ila uwe umejiandaa kimpunga
Nisogee hapo?Mimi nipo Basel 🙈
Karibu.Upo wapi wewe?Nisogee hapo?
Winterthur - Uster - ZürichKaribu.Upo wapi wewe?