Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 9,293
- 12,875
Mnaangaikaga na Ulaya yaani miye wali nazi nimwachie nani, nendeni miye mpk kieleweke uko ntakujakutembea
Nimeutafuta siuoni nahisi utakuwa umefutwa
Uswiss sio cheap as most think naweza sema ni amongst most expensive places in Europe yaweza Kua namba moja.Sawa sawa now you are talking.
Kwa hiyo nikifika eyapoti wanahitaji kwa 2 weeks walau niwe na kiasi gani cha fedha mkuu cha kunisupport Uswizi?
Nikiruhusiwa kupita eyapoti niende wapi? Niianzie wapi?
Ya pili vipiMkuu hiyo njia ya pili unaeza kuelezea kidogo na sisi tupate uelewa.
Airport gani ukiruhusiwa babu mbona sikuelewi at allSawa sawa now you are talking.
Kwa hiyo nikifika eyapoti wanahitaji kwa 2 weeks walau niwe na kiasi gani cha fedha mkuu cha kunisupport Uswizi?
Nikiruhusiwa kupita eyapoti niende wapi? Niianzie wapi?
Naomba kujua tofauti ya Melted Cheese na Cheese Fondue. Juzi Parabora alisema anakula melted Cheese na Cheese Fondue. Tehtehteh
Ntakudanganya mimi sio mtu wa cheese tangu nipo hapa uswiss siku ya kwanza but hicho aluchokizungumzia jamaa hakijui ndio maana alikupanga. Hiyo kitu kimojaNaomba kujua tofauti ya Melted Cheese na Cheese Fondue. Juzi Parabora alisema anakula melted Cheese na Cheese Fondue. Tehtehteh
Don't be ashamed of your jobUzuri wa ulaya unaweza kupiga kazi yoyote bila kuona aibu kwasababu hakuna ndugu au marafiki wanaokuona ndo maana napazimia. Bi mkubwa akikuuliza unafanya kazi gani huko unamwambia ni mfamasia mkuu wa BERN case closed.
Mimi najua kifaransa. Fondu(e) kwa kiingereza ni melted. Sema Ufaransa melted Cheese wanaita Fromage fondu.Ntakudanganya mimi sio mtu wa cheese tangu nipo hapa uswiss siku ya kwanza but hicho aluchokizungumzia jamaa hakijui ndio maana alikupanga. Hiyo kitu kimoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia jukwaa la JF complain
Siyo kwamba umekimbia MEEEEE !!!!!! kweli ?Mimi nipo kwa mromboo siku hizi, nimehama Ngaramtoni kutokana na majungu.
He's fake nasubir anitafute mpaka leo kaingia mitiniMimi najua kifaransa. Fondu(e) kwa kiingereza ni melted. Sema Ufaransa melted Cheese wanaita Fromage fondu.
Ila jamaa kazingua sana sijui kwa faida ya naniHe's fake nasubir anitafute mpaka leo kaingia mitini View attachment 1449144
Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu @Parabora,kweli wewe upo Uswiz,maana majibu yako yote yamejaa "ustaarabu" wa Uswiz. Mungu akubariki sana.
Mkuu mjingamimi, kiukweli kwa majibu yake kwenye huu uzi,yaani ni bonge la mstaarabu.
Nimesoma nyuzi zote za Full evidence na ya utetezi,nami nikiri huyu jamaa kuna utata. Kama akitudhihirishia kuwa yupo huko Uswiz pasi na shaka,basi litamfutia tuhuma zote,ila mpaka athibitishe.
Siendi huko mimiMnaangaikaga na Ulaya yaani miye wali nazi nimwachie nani, nendeni miye mpk kieleweke uko ntakujakutembea
Siendi huko mimi
.
Mademu hamna huko. Unakuwa memba wa CHAPUTA wa kudumu. Ukikaa vibaya unageuzwa ww.


Si border control ya Uswizi kaka....au nisiogope nikifika tu eyapoti nitashuka kwa ndege kama hapa Ubungo kisha naingia mtaani?


Nipo hapa nimetoka kupokea mchana parcel yangu kutoka Mars supermarket.
Upo jimbo gani mkuu.