Watanzania tulioko Switzerland

Watanzania tulioko Switzerland

Hapo ni Bern kama mtu wa kujichanganya na mtafutaji kweli panafaa na panatoa
kw32ub.jpg
20200508_160807.jpg
20200408_200829.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Details. Yaani hapa ukifanya mishe zipi unatoka ?
Zipo nyingi sana minimum salary kwa mtu wa chini ni 2500CHF by law chini ya hapo unamshtaki muajili wako
Ukiwa jobless kuna social fund 900CHF a month nyumba unapewa health insurance na serikali kwa masharti ya kawaida tu.

Kazi zipo nyingi sana but muhimu saaaana ni elimu ukiwa na elimu hapa utapapenda japo zipo dirty job zisizohitaji shule but risk sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zipo nyingi sana minimum salary kwa mtu wa chini ni 2500CHF by law chini ya hapo unamshtaki muajili wako
Ukiwa jobless kuna social fund 900CHF a month nyumba unapewa health insurance na serikali kwa masharti ya kawaida tu.

Kazi zipo nyingi sana but muhimu saaaana ni elimu ukiwa na elimu hapa utapapenda japo zipo dirty job zisizohitaji shule but risk sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu mimi na kidiploma changu cha pharmacy nikija uko naweza kupokelewa kweli?


Sent from iPhone 6s Plus
 
Back
Top Bottom