UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
- Thread starter
- #121
Jipange tafuta visa njoo uswiss LucerneHapa mnazungumzia nchi gani mkuu?
Nipe taarifa acha uchoyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jipange tafuta visa njoo uswiss LucerneHapa mnazungumzia nchi gani mkuu?
Nipe taarifa acha uchoyo.
Visa ya namna gani mkuu.... sina passport nikishachukua passport pale kurasini viza nitaitoa wapi au imeambatana na passpot?
Daby unazingua.Visa ya namna gani mkuu.... sina passport nikishachukua passport pale kurasini viza nitaitoa wapi au imeambatana na passpot?
Nipo serious kiongozi...
Kwa Switzerland experience kwanza jifunze atleast kijerumani,after, tafuta passport then visa ingawa kupata sio issue sana kama unakuja kama mtalii,kama umesoma angalia namna utapata fursa kuja kusoma hapa ukifka sasa kazi ni kwako. But kwanza jikamilishe financial uje kama mtalii baada sasa mengine yafateNipo serious kiongozi...
Nataka kuja Ulaya kaka nami nichakarike.
Sasa hiyo kazi na hayo mataifa nitaipata wapi mkuu!Kwa Switzerland experience kwanza jifunze atleast kijerumani,after, tafuta passport then visa ingawa kupata sio issue sana kama unakuja kama mtalii,kama umesoma angalia namna utapata fursa kuja kusoma hapa ukifka sasa kazi ni kwako. But kwanza jikamilishe financial uje kama mtalii baada sasa mengine yafate
But njia pekee itayokufikisha Europe kirahisi kama mtafutaji ni kufanya kazi na mashirika ya kimataifa UN, UNESCO etc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo hapa nimetoka kupokea mchana parcel yangu kutoka Mars supermarket.
Upo jimbo gani mkuu.






😂😂😂😂Uzuri wa ulaya unaweza kupiga kazi yoyote bila kuona aibu kwasababu hakuna ndugu au marafiki wanaokuona ndo maana napazimia. Bi mkubwa akikuuliza unafanya kazi gani huko unamwambia ni mfamasia mkuu wa BERN case closed.
Well kama mtalii atleast uwe na kazi hapa nchini,pili uwe na bank statement 6-7 months nyuma(sikumbuki vizuri).Sasa hiyo kazi na hayo mataifa nitaipata wapi mkuu!
Tuje hiyo njia ya juu. Kuja kama mtalii...natakiwa niwe kama na shilingi ngapi?
Wapi nipe linkKuna lijamaa limemuanika leo kwenye uzi fulani daah mpaka basi
Wivu tu itakuwa,huyu jamaa atawafaidisha wabongo wengiKuna lijamaa limemuanika leo kwenye uzi fulani daah mpaka basi
Nope unahitaji VisaHivi nikiwa na passport tu basi napanda Swiss au?Coronavirus iishe ili nizame Geneva.
Ohoooooo.
Well kama mtalii atleast uwe na kazi hapa nchini,pili uwe na bank statement 6-7 months nyuma(sikumbuki vizuri).
Huwe hujawah kunasa kwenye any criminal case (hati ya Tabia njema)
Ujue utafukia hotel gani
Uwe sure utakaa siku ngapi(vizuri kusema utakaa atleast 1-4 weeks kuonesha huna nia ya kuishobokea nchi yao
Yellow fever is not a must
Taja specific place mfano kama unataka kwenda Canton flan uwaambie nini kimekusukuma kiutalii.
Uwe na cheti cha kuzaliwa sio chini ya miezi 6
Kilichokuwa confirmed lita
Uwe na flight ticket au booking sababu wanaamini taarifa ulizojaza ni honest
Ukimeet vigezo vyao Visa ni two weeks then karibu uswiss View attachment 1449022
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe maujanja basi. Wewe ulifanyaje ukapata ?
Mkuu hiyo njia ya pili unaeza kuelezea kidogo na sisi tupate uelewa.Kwa Switzerland experience kwanza jifunze atleast kijerumani,after, tafuta passport then visa ingawa kupata sio issue sana kama unakuja kama mtalii,kama umesoma angalia namna utapata fursa kuja kusoma hapa ukifka sasa kazi ni kwako. But kwanza jikamilishe financial uje kama mtalii baada sasa mengine yafate
But njia pekee itayokufikisha Europe kirahisi kama mtafutaji ni kufanya kazi na mashirika ya kimataifa UN, UNESCO etc.
Sent using Jamii Forums mobile app