Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,195
Poa poa kaka...wacha Corona ikiisha tu nianze harakati za pasipoti kisha viza...Uswiss sio cheap as most think naweza sema ni amongst most expensive places in Europe yaweza Kua namba moja.
Airport hawakuulizi yote yaliisha pale ulipoomba visa sasa umeshaipata utakutana na maswali mbuzi tu ambayo kimsingi hayana umuhimu.
Minimum amount ya kutumia hapa as tourist ambae huna mtu unafahamiana nae atleast uwe na pesa sio chini ya 700CHF which is equivalent to 1.5 ( kwa maisha ya AIR BNB) a week but kwa kusema hotel za kawaida andaa 1500CHF= a week sababu hotel ni gharama sijawah ona. But utakua salama sana kama unawana unajuana nao hapa. But unaweza kujipanga ukajibana sijui how.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema huwa naangalia tiiiviii naona askari wenye mbwa wanasimama pembeni na kuwaita abiria na kuwauliza maswali...kama unaenda wapi? Tuone pasipoti yako.
Wengine naona kabisa wanawadepoti (kwenye tivii lakini) nikajua nikifika wataniuliza maana kiingereza sipo vizuri kabisa naweza jichanganya.
Ila kama mambo yataishia Dar aah hawa tutaelewana.