passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,599
- 3,234
Mkuu,Mkuu, unataka kutuaminisha kuwa Polisi, diwani, na mkuu wa wilaya nao ni waigizaji?
Polisi walikuwepo kipindi binti anafariki? Na kwenye maziko yake?
Mkuu wa wilaya alijuaje binti huyo kafariki na kuzikwa?
Kuna autopsy yoyote iliyofanyika? Zipo wapi document za kitabibu?