Pist_Sr
Member
- Mar 6, 2020
- 31
- 60
Hello!
Kuna jibu huwa najibiwa sana na washika-dini kila ninapowauliza kwanini wao wanaamini uwepo wa Mungu. They are like, "Unaamini uchawi upo?" Nikimjibu, anakuja na hii, "Kama unaamini uchawi upo, kwanini huamini Mungu yupo?".
Yaani hapo huwa wana nadharia yao kuwa, everything is two sided, akiwa na maana kwamba kuwepo kwa nguvu za giza ni kigezo tosha kabisa cha uwepo wa Mungu. Mimi sio suala la naamini au siamini, la hasha! ni kwamba uchawi nishawahi kuushuhudia kabisa mara kadhaa. Kwangu, sio kitu cha kifikirika kabisa, ila kitu cha kufikirika ni nadharia juu ya huyo Mungu wenu.
Nikimuuliza mfia-dini, "Ushawahi kumshuhudia huyo Mungu?".. jibu lao maarufu ni hili hapa, "ndio! nishawahi kumtoa mtu mapepo kwa jina lake au kushuhudia mtu akiponywa kwa jina lake".
Well! Hivi ni kwa nini watu wanaoponywa matatizo yao kwa njia ya maombezi huwa ni watu ambao wana matatizo ambayo hayadhihiriki kwa macho ya kawaida?
Mara zote utasikia ushuhuda wa kuponywa mapepo, mara maumivu sugu ya tumbo, uti wa mgongo, n.k.. yaani ni matatizo ambayo anayajua mgonjwa mwenyewe tu! Sijawahi kusikia kuna mtu ana liuvimbe, likidonda, au tatizo lolote ambalo linaonekana wazi na kila mtu ameponywa kwa nguvu za huyo Mungu, yeye si muweza wa kila kitu! ama kuna vitu vinamshinda?
Kama yupo shuhuda wa hayo tatizo dhahiri aseme hapa. Kwanini mnakimbiliaga kwenye mapepo tu? Au ndio dawa ya moto ni moto!? Mimi hadi kuna wakati huwa nawaza kuwa hawa wachungaji, masheikh na mapadri huwa nao pia ni wachawi tu.
Kwanza, nyie wafia-dini kwanini mnaabudu kitu hakionekani? Jitu limejificha mnateseka na matatizo ya maisha, mnaliomba na hakuna kitu linawasaidia..! Una akili wewe? Hapo wewe mwenyewe ukijiuliza huyo Mungu kakusaidia nini, hauna cha kujibu zaidi ya kuanza kututajia mambo uliyoyafanya ukafanikiwa.
Tukikuuliza mambo ambayo yamekuendea kombo na ulimuomba huyo Mungu wako, utakuja na jibu la, "ni majiribu ya Mungu".. hapo ndio napoonaga wafia-dini ni wajinga kuliko hata wanyama tunaowafuga.
Kwanza nyie washika-dini ndio watu wenye matatizo mengi kuliko hata watu wanaosali. Umasikini, magonjwa, mapepo sijui majini na matakataka mengi ya ulimwengu mnayo ninyi.. lakini huwa hamshtuki kabisa. Huwa nakasirika sana pale nipo kwenye mazungumzo ya maana halafu jitu linaingiza habari za Mungu, huwa natamani hata nilizabue makofi.
Kuna jibu huwa najibiwa sana na washika-dini kila ninapowauliza kwanini wao wanaamini uwepo wa Mungu. They are like, "Unaamini uchawi upo?" Nikimjibu, anakuja na hii, "Kama unaamini uchawi upo, kwanini huamini Mungu yupo?".
Yaani hapo huwa wana nadharia yao kuwa, everything is two sided, akiwa na maana kwamba kuwepo kwa nguvu za giza ni kigezo tosha kabisa cha uwepo wa Mungu. Mimi sio suala la naamini au siamini, la hasha! ni kwamba uchawi nishawahi kuushuhudia kabisa mara kadhaa. Kwangu, sio kitu cha kifikirika kabisa, ila kitu cha kufikirika ni nadharia juu ya huyo Mungu wenu.
Nikimuuliza mfia-dini, "Ushawahi kumshuhudia huyo Mungu?".. jibu lao maarufu ni hili hapa, "ndio! nishawahi kumtoa mtu mapepo kwa jina lake au kushuhudia mtu akiponywa kwa jina lake".
Well! Hivi ni kwa nini watu wanaoponywa matatizo yao kwa njia ya maombezi huwa ni watu ambao wana matatizo ambayo hayadhihiriki kwa macho ya kawaida?
Mara zote utasikia ushuhuda wa kuponywa mapepo, mara maumivu sugu ya tumbo, uti wa mgongo, n.k.. yaani ni matatizo ambayo anayajua mgonjwa mwenyewe tu! Sijawahi kusikia kuna mtu ana liuvimbe, likidonda, au tatizo lolote ambalo linaonekana wazi na kila mtu ameponywa kwa nguvu za huyo Mungu, yeye si muweza wa kila kitu! ama kuna vitu vinamshinda?
Kama yupo shuhuda wa hayo tatizo dhahiri aseme hapa. Kwanini mnakimbiliaga kwenye mapepo tu? Au ndio dawa ya moto ni moto!? Mimi hadi kuna wakati huwa nawaza kuwa hawa wachungaji, masheikh na mapadri huwa nao pia ni wachawi tu.
Kwanza, nyie wafia-dini kwanini mnaabudu kitu hakionekani? Jitu limejificha mnateseka na matatizo ya maisha, mnaliomba na hakuna kitu linawasaidia..! Una akili wewe? Hapo wewe mwenyewe ukijiuliza huyo Mungu kakusaidia nini, hauna cha kujibu zaidi ya kuanza kututajia mambo uliyoyafanya ukafanikiwa.
Tukikuuliza mambo ambayo yamekuendea kombo na ulimuomba huyo Mungu wako, utakuja na jibu la, "ni majiribu ya Mungu".. hapo ndio napoonaga wafia-dini ni wajinga kuliko hata wanyama tunaowafuga.
Kwanza nyie washika-dini ndio watu wenye matatizo mengi kuliko hata watu wanaosali. Umasikini, magonjwa, mapepo sijui majini na matakataka mengi ya ulimwengu mnayo ninyi.. lakini huwa hamshtuki kabisa. Huwa nakasirika sana pale nipo kwenye mazungumzo ya maana halafu jitu linaingiza habari za Mungu, huwa natamani hata nilizabue makofi.