GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Walitaka "kumshughulikia" Mchungaji aliyekuwa akikwamisha kazi zao, lakini wakaishia kukutana na nguvu za Mungu na hatimaye kiongozi wao kudondoka na ungo.
"Atheist" atalichukuliaje tukio hilo?
Mungu Yupo, na watu wanaomwamini si wa kuchezewa na wachawi.
Video hiyo hapo.
Sheria inasemaje kuhusiana na masuala ya kichawi? Mtu anapokamatwa kwa tuhuma za kichawi hufanyweje? Itasaidia akipelekwa kituo cha Polisi?
"Atheist" atalichukuliaje tukio hilo?
Mungu Yupo, na watu wanaomwamini si wa kuchezewa na wachawi.
Video hiyo hapo.
Sheria inasemaje kuhusiana na masuala ya kichawi? Mtu anapokamatwa kwa tuhuma za kichawi hufanyweje? Itasaidia akipelekwa kituo cha Polisi?