Wasichana huwa tunaoverlook

Wasichana huwa tunaoverlook

Hahahaa hakuna kitu kama hicho...ubaya na u-wife material havihusiani hata kidogo....tabia nzuri ipo popote kwa wabaya na wazuri na tabia mbaya vivyohivyo...mimi wala huwa sijifariji aisee

tupia pic yako tukuone, unaweza kuwa ni kimeo, kazi kusema wenzio.
 
Kwamba huyu au yule ni hand some au beautiful, is a subjective matter and so personal concern, yule unayemwona wewe handsome basically you must have criteria of which not necessary should conquer another person. The principle should be that, whom you love is beautiful or handsome to you!...I don't really accept your argument so far imaney. Waulize wanawake unaoamini kwamba waume zao sio handsome kama watakukubalia kuwa ni ugly, they will badly rebuke you guy, because they know their husbands are handsome even than you

Siku hizi wanakwambia hamna mbaya, ni pesa tu.

Kameremeta Mizengo Pinda na Oprah Winfrey itakuwa nani ashindwe?

Mambo ya fwedha.
 
Uzuri wa gari sio body lakini ni engine, ndio maana ukishiona gari kwa nje utataka uone na ingine kama haivujishi na ni imara na je ni 3, 4, 6, 8 au 12 cylinders?
 
Kila msichana ana chaguo lake, tatizo linakuja pale ambapo hupati chaguo lako na muda, umri unakukimbia.

Chagueni sana mwisho wa cku utajichagua mwenyewe.
 
Chances ni 50/50 mamito ukiolewa na mwanaume mzuri chances 50 percent utatoa mtoto mzuri, na sio 100 percent utatoa mtoto mzuri!...i mean sio DEFINATELY utatoa mtoto mzuri,ila ukiwa mbaya na mumeo mbaya,mtatoa mtoto mbaya,a coconut doesnt fall from mango tree!...ingawa kuna kuskip generation...

Uko sawa kabisa
 

Attachments

  • 1416167253676.jpg
    1416167253676.jpg
    72.4 KB · Views: 127
Mi nashangaa sana wanawake weng wanaosema wanataka wanaume wenye sura nzuri wengi wao wanasura ngumu zaidi hata ya sokwe.ndiyo nikaja kugundua mwanamke hata kama akiwa mbaya vipi wa sura atajiona mzuri tu Mbele ya mwanaume.
 
Mi nashangaa sana wanawake weng wanaosema wanataka wanaume wenye sura nzuri wengi wao wanasura ngumu zaidi hata ya sokwe.ndiyo nikaja kugundua mwanamke hata kama akiwa mbaya vipi wa sura atajiona mzuri tu Mbele ya mwanaume.

Sasa mkuu ukishajijua wewe ni sokwe,utataka sokwe tena?
 
Ha ha ha ha...asikudanganye mtu...mvuto kwanza...
Ingawa kila mtu ana kinachomvutia...
Lakini kuchagua muhimu kama tunavyochaguliwa...
Na si dhambi wala nini...
Mbona wanaume wanachagua...
 
Tukikutana na wanaume huwa often tunaangalia pochi,kazi,sura ya kime nk ...tunasahau kabisa kigezo cha UZURI/UHANDSOME.....matokeo yake ni kuzaa watoto wenye features/wasifu....wenye mushkeli kidogo,and as a result wanaishia kuwa BULLIED na kuwaondolea KUJIAMINI.....

wasichana tuna haki ya kchagua watu wenye wasifu kama wanaume wanavyotuchagua kwa SHAPE/SURA na kigezo cha 'UHANDSOME'...kisiwe OVERLOOKED tafadhali.....
Sio kweli hii kitu.....mfano hai ni hayati Remy Ongara(R.I.P) mcheki mwanae Kally Ongara(he is handsome man).....then what abt dully Sykes na baba ake mzee Sykes?.....Nina mashaka na uhudhuriaji wako class katika kipindi cha bios form 4(Topic:genetic).....
 
Sasa mkuu ukishajijua wewe ni sokwe,utataka sokwe tena?

Ni bora bora sokwe aende kwa sokwe mwenzake na kondoo aende kwa kondoo mwenzake inasaidia.mi nakumbuka kipindi nipo college kuna mwanamke nili m approach na kweli alikuwa anasura mbaya maana hata mi mwenyewe ninasura mbaya ndiyo maana nikaenda kumtongoza cha ajabu alinijibu eti takupeleka wapi mtu kama wewe mi nilimjibu tu we umejiona akajishtukia ikabidi apige kimya. Hapo ndiyo nikaja kugundua kumbe mwanamke yeye anapenda kuja kuolewa na mwanaume mwenye mvuto wa sura nzuri hata kama yeye ni kinyango.
 
Ha ha ha ha...asikudanganye mtu...mvuto kwanza...
Ingawa kila mtu ana kinachomvutia...
Lakini kuchagua muhimu kama tunavyochaguliwa...
Na si dhambi wala nini...
Mbona wanaume wanachagua...

wanaume wanachagua kwa sababu wao ni watongozaji chance ya kupata machaguo yao ni 100% sasa mwanamke je ukishachagua unakuta either ana mtu na ubavu wa kumtongoza unataka moyo wa chuma
 
Hapa mnaongelea photocopy machine au majaaliwa ya Muumba?

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
tupia pic yako tukuone, unaweza kuwa ni kimeo, kazi kusema wenzio.

We pimbi kweli hivi kuna mahali nimemsema mtu hapo huoni na mimi nimejiweka hapo kwamba huwa sijipi moyo katika hilo?
 
Back
Top Bottom