Wasichana huwa tunaoverlook

Wasichana huwa tunaoverlook

Dada mwanaume hasifiwi sura!Pinda cheki chombo alicho nacho!Mcheki handsome Wasira bibie wake!
 
sio sura tu

ANGALIA KIPI KINAKUVUTIA KUWA NA MTU KABLA HUJAMPENDA

alafu si ajabu unaweza ukamuona ana sura nzuri kumbe ana genes ambazo zipo dominated za kisokwe sokwe

and viseversa
watu8
 
Last edited by a moderator:
Chances ni 50/50 mamito ukiolewa na mwanaume mzuri chances 50 percent utatoa mtoto mzuri, na sio 100 percent utatoa mtoto mzuri!...i mean sio DEFINATELY utatoa mtoto mzuri,ila ukiwa mbaya na mumeo mbaya,mtatoa mtoto mbaya,a coconut doesnt fall from mango tree!...ingawa kuna kuskip generation...

Sasa kama we mbaya unataka mwanaume mzuri utampatia wapi kama sio kujitafutia tu jela ya maisha?? Ndio maana mwanzo pale nikasema unapotafuta mwanaume mzuri na wewe uwe umejithibitisha. Olewa na mwanaume wa kiwango chako utapata raha nafsini mwako...
Na kama unajiamini we mzuri watoto si watafuata sura yako....watakuwa wazuri tu usihofu
 
Tukikutana na wanaume huwa often tunaangalia pochi,kazi,sura ya kime nk ...tunasahau kabisa kigezo cha UZURI/UHANDSOME.....matokeo yake ni kuzaa watoto wenye features/wasifu....wenye mushkeli kidogo,and as a result wanaishia kuwa BULLIED na kuwaondolea KUJIAMINI.....

wasichana tuna haki ya kchagua watu wenye wasifu kama wanaume wanavyotuchagua kwa SHAPE/SURA na kigezo cha 'UHANDSOME'...kisiwe OVERLOOKED tafadhali.....

Kati ya mtoto mzuri asiye na misuli na mbaya mwenye misuli nani atakuwa bullied hapo?

Sema jingine, si bullying.
 
Sasa kama we mbaya unataka mwanaume mzuri utampatia wapi kama sio kujitafutia tu jela ya maisha?? Ndio maana mwanzo pale nikasema unapotafuta mwanaume mzuri na wewe uwe umejithibitisha. Olewa na mwanaume wa kiwango chako utapata raha nafsini mwako...
Na kama unajiamini we mzuri watoto si watafuata sura yako....watakuwa wazuri tu usihofu

Sasa sisi wanawake wabaya,ndio 'wife material',,,,wanaume wanatutafuta😆😆😆nachagua nimpate handsome ili watoto wafuate kwa baba yao lols
 
There are some stupid thoughts you do not expect from a woman who is gonna be a mother some day.
 
Sasa sisi wanawake wabaya,ndio 'wife material',,,,wanaume wanatutafuta😆😆😆nachagua nimpate handsome ili watoto wafuate kwa baba yao lols

Hahahaa hakuna kitu kama hicho...ubaya na u-wife material havihusiani hata kidogo....tabia nzuri ipo popote kwa wabaya na wazuri na tabia mbaya vivyohivyo...mimi wala huwa sijifariji aisee
 
There are some stupid thoughts you do not expect from a woman who is gonna be a mother some day.

Jamii forums ni mjumuiko wa watu wenye mawazo tofauti,nayaheshimu mawazo yako,hata hao wamama unaowasemea hawawezi kuwa na akili moja!
 
niambie mpwa
upo pande zipi now

1416156438928.jpg alone n lonely mpya
 
Back
Top Bottom