Dada yangu mwanaume wa kweli mjini ni kazi yako

Goliath mfalamagoha

JF-Expert Member
Aug 3, 2012
602
2,505
DADA ZANGU,MWANAUME WA KWELI MJINI NI KAZI YAKO, MAKOSA WANAYOFANYA WANAWAKE KUANZIA MIAKA 20-28 na 28-35 KABLA NA BAADA KUOLEWA.

samahani lakini

Kuoa au kuolewa siyo LAZIMA japo kuoa au kuolewa kunaleta HESHIMA.

kuna utofauti mkubwa kati ya nyota na jua japo jua pia ni nyota lakini kila kimoja kinafanya kazi kwa wakati wake pasipo kuingiliana kwa namna moja ama nyingine , PESA SIYO KILA KITU, tunakumbushwa kwamba TUISHI MAISHA YETU namaanisha ishi ISHI MAISHA YAKO usiishi MAISHA YA WATU WENGINE, Ni ngumu sana kuwa tajiri katika kundi la watu masikini , nakukumbusha tena WATOTO WA MASIKINI NDIYO WANAOSOMA , na kama unajitambuaa vyemaa na una akili sawasawa utagundua kwamba hakuna uhusiano wowote kati ya ELIMU NA UTAJIRI , na hivyo hivyo kwako dada yangu kwako kaka yangu KUWA NA PESA SIYO KIGEZO CHA KUPATA MKE MWEMA AU MWANAUME MWEMA .

Tunachagua sana mpaka tunajikuta tunaokota makapi na kupiga busu mtungi wa nyuki ,kuchagua ni kupanga na kupanga ni kuchagua ukishindwa kuchagua maana yake umeshindwa kupanga ,uchawi ungekuwa dili basi sumbawanga ingekuwa kama New york au Tokyo japani , mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe , ukishindwa kuwa na misimamo ni ngumu sana kufanikiwa bali utabaki kuwa mchoraji na mpenzi mtazamaji wenzako wanakula kwa mirija wewe unakula kwa kutumia kope za macho, katika maisha kila mtu anapenda kuwa na maisha bora lakini maisha mazuri huwa yanaandaliwa tena siyo ndani ya siku moja , unaweza ukatamani kuwa na jumba la bei mbaya lakini usije kulijenga maana unajua kutamani lakini mipango yako ni hewa na utekelezaji wa mambo yako ni hewa vile vile.

Sasa mdada una miaka 20 au 25 unataka kuolewa na mwanaume mwenye nyumba na pesa za kutoksha ,kwanza kabla hujaolewa na mtu mwenye pesa je wewe una una nini ..?? Acha kuwa mvivu jitathimini kwa nini unataka kuolewa na mwanaume mweny pesa na majumba..? ni kitu gani kinakufanya utake kuolewa na mwanaume mwene pesa .?? kuolewa na msakatonge au masikini kwako ni zambi wakati mwenyewe hauna hata banda la bata mda mwingi unashinda snapchart na whatspp afu unataka kuolewa na mwanaume mwenye pesa, na kwa mnaongozwa na tamaa mnajikuta mmemtega tembo lakini amenasa panya japokuwa nawasifu sana katika kipengere cha uvumilivu japokuwa uvumilivu wenu unakikomo juilize unataka kuolewa ili upate watoto au unataka kuolewa ili uepukane na ukapera au unataka kuelewa kwa sababu mwanahawa kaolewa au unataka kuolewa ili kupata vitu au pengine unaolewa kwa sababu umri wa kuolewa umefika, tafakari unaolewa ili iweje au unaolewa ili upewe heshima mtaani , kuoa kuolewa ni heshima lakini siyo lazima .

Cheza na whatapp au Instgaram cheza na wake za watu cheza na wanaume za watu shinda club , nenda beach kujiachia badirisha wanaume , chezesha makalio yako , badirisha nguo kila siku , kura kuku sana maana bata ni wachafu lakini tambua fainali uzeeni , kuwa makini sana usicheze na umri wako na usicheze na muda wako , tambua muda wako ndiyo maisha yako , ukija kuishi maisha ya kuomba omba hapo baadae usije kuwalaumu watu jilaumu mwenyewe , ukiendelea kuishi kwa wasiwasi kama umeme wa luku tambua kuwa mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe, punguza mambo ya kijinga na ya kipumbavu kuwa mjanja acha kuwa yule yule wa kila siku , jitambue jithamini jione wewe wa kipee epuka kuwa mtu wa kawaida, thamini mwili wako , thamini muda wako kabla hujageuka kuwa historia , kama ni wakike usikubali kutumika ovyo ovyo kama punda , thamani ya mwili wako ni kubwa mno hata kama una umasikini au hujasoma tambua mwili wako ni zaidi ya utajiri , katika hii dunia kuna watu wapo kwa ajili ya kuwatajirisha wengine , katika hii dunia kuna watu wapo kwa ajili ya kuwapa raha wengine , wapo watu ambao ni binadamu lakini wanatumika kama misukule lakini wao hawatambui hilo kama wanatumika na wanakuja kusanuka giza tayari limeshangia , usikubali mtu akacheza na maisha yako pasipo sababu za msingi na usikubali kutumika ivyo kwa vitu vidogo vidogo tena vya kipumbavu.

Badirika usikubali kutumika kijinga ujali mwili wako maana mwili wako ndiyo nguzo muhimu ya kuyafikia malengo yako, sasa ukiwachia wahuni wafanye wanavyotaka wao watachakachua na utakuwa hutamaniki tena kama mchuzi wa maharage yaliyochacha ishi na watu kijanja, acha kuishi na watu ambao siyo wabunifu na wagumu wa kubadirika ,epuka kuishi na vilaza maana watakukatisha tamaa na kushindwa kusonga mbele, ogopa kuishi na wavivu watakulaza njaa , epuka kuishi na watu wabishi na wagumu kuchukua hatua maana watakukwamisha , sifa kubwa ya watu wa chini au wasakatonge ni wanapenda kulalamika , wasakatonge wanaongea mambo mengi ya msingi lakini utekelezaji ni kizungu mkuti , acha kuamini katika vitu vya kipuuzi , unakuwa na chembechembe za uzwaza na upumbavu kama bado utaendelea kukaa na mtu ambaye ana mawazo yale yale miaka yote , ndugu yangu kuwa wa tofauti kadri siku zinavyokwenda , kama maisha magumu kuwa mgumu na wewe kama maisha yanabadirika badirika na wewe , kubali kukemewa na kukosolewa maana kutakupa nguvu ya kusonga mbele kutambua makosa yako na kujiisahihisha na kusonga mbele ishi kijanja usiangalie maisha ya watu angalia maisha yako na epuka kukaa kindezi ndezi .

Anayekwambia mapenzi hayana umri anakudanganya , chelewa kuolewa uone changamoto zake, chelewa kuoa uone uchungu , chelewa kuzaa uone maumivu yake na raha yake , kila kitu kina hasara na faida zake na kila unachokifanya na kugusa hakikisha faida ni kubwa na hasara ni chache , chelewa kutafuta maisha uone ugumu wake baadae, usipende kufata fata mkumbo anayekwambia mapenzi hayana umri mwambie akupe sababu 30, kama mwanamke jitahidi sana ucheze na step ndege wanaofanana huruka pamoja ukiona kunguru anaruka kwenye kundi la mwewe basi jua huyo kunguru amekoroga zege kwa kutumia matope . Mtaalamu na mtetezi wa watu weusi mwenye asili ya afrika bwana MARTIN LUTHER JR aliwa kusema "Time have never been wrong, time is alwyz right to do the right things?" Ni makosa kusema hiki kitu nitafanya nikifikisha miaka 30 ni makosa makubwa mno , kusema utaanza kufanya kitu fulani bada ya miaka kadha wakati unayo nafasi na nguvu ya kufanya hivyo inaonesha ni jinsi gani ubongo wako umechoka kufikiri ,Diamond angesema ataimba akifikisha miaka 30 asingekuwa hapo leo , Chriss brown angesubiri afikishe anze mziki akiwa na miaka 28 asingekuwa hapo leo , Dangote angesema atafute utajiri akiwa mzee usingemsikia leo jack ma angesema afocus akiwa na miaka 40 asingekuwa tajiri namba moja barani asia na wala usingemsikia leo .

Ujumbe mubashasha kwa kina dada na wakina mama, kubali kukosolewa ili ufikie malengo yako , Hii duniaa siyo yako na haya maisha ni formularless , kama umeifikisha miaka 24-25 na umepata mtu wa kukuoa ulewa naye sasa acha mapicha picha na vituko, kama unahitaji watoto au mtoto kwa nini usizae ukiwa una nguvu na nafasi ya kufanya ivo , na kama hutaki kuolewa kwa sasa basi jikite kwenye mambo yenye manufaa , dada zangu ni bora ukapata changamoto ukiwa kijana mwenye umri wa miaka 24-30 kuliko kupata changamoto uzeeni ukiwa una miaka 35-40 , kamaa umeamua kufanya kitu fanya sasa ,Martin Luther junior hakujua kwamba ipo siku atakuja kuchapwa risasi na katika ujana wake alifanya mambo makubwa ya kuhakikisha ubaguzi unakoma na watu weusi wanaishi kama ndugu bila kujari rangi zao lakini mwaka 1968 Martin Luther jr alichapwa risasi na jamaa mmoja anaitwa James wales , ambapo miaka 7 nyuma Tanzania kupata uhuru wake na miaka 8 nyuma mataifa yaliyokuwa yakitawaliwa na mfaransa kupata uhuru wao ndani ya siku moja na miaka 7 nyuma patrice emili Lumumber alichapwa risasi na mwaka 1967 mwanaharakati Che Guevara alichapwa risasi zaidi ya 12 kifuani , lakini hawa watu walifanya mambo makubwa katika umri wao usisubiri kesho dunia ya sasa inaenda kasi muno fanya vitu mapema , fanya vitu ukiwa bado una nguvu usisubiri baadae .

Makosa ambayo hufanywa na wakina dada na wakina mama na kujikuta wamepoteza na kuharibu maisha yao yote , hutaki kuolewa lakini unataka wanaume na ukiolewa unataka kuwa single na ukiwa single unatafuta wanaume tena, hutaki kuolewa lakini unajiuza , hutaki kuwa na mtoto lakini unataka kuliwa , huwaamini wanaume lakini unatembea na mabwana za watu malengo mengi kuliko kipimo , unalikoroga afu unalinywa mwenyewe ,hutaki kuolewa lakini unataka mtoto , ni vyema mkasoma na mkatambua alama za nyakati , kuweni na misimamo na mtambue ni nin mnataka na kwa wakati gani , msiisji Wakina dada wadogo walio katika umri wa miaka 20-28 huwa wanafanya makosa pasipo wao kujua kama wanafanya makosa , anayekwambia ukweli na kukukosoa huyo mtu anakusaidia wanayafanya makosa na baadae kujikuta wamepoteza muelekeo , na kuna wengine kuanzia miaka 28-35 wanakwambia wanakula maisha , kwanza ukikutana nao utafikiri wachina walivyojipigilia marumaru,yaani unakuta wapendeza utafikiri huwa hawapigagi chafya, ukikutana nao siku zote wanaishi maisha ya watu wengine , sasa unajiuliza ni maisha gani wanakula katika hali hii ya magu na Trump , unajiuliza kesho yake itakuaje hupati jibu na katika kipindi hiki anapendeza utafikiri hakuna kufa .

Katika umri huo dada zangu wanakuwa wana mambo mengi kichwAni kuliko computer au cctv Camera, yaani wako online muda wote , katika kipindi hiki wako ative kuliko walinzi wa bank kuu, katika umri huo wengi huongozwa na tamaa , katika umri huo wakina dada wengi wanajikuta wanatumia macho zaidi kuliko akili , hawa huwa wanaamka saa 6 au 7 wengine saa 8 mchana maana wanakesha kuliko popo maana usiku kwao ni mchana , ukikutana na wanawake wa namna hii utakuta wako bize mno unaweza ukawaza huyu asipojenga gorofa mwaka 2020 sijui kwa ubize alio nao , hawa ndiyo wale ukiingia kwenye gari headfon masikioni na huwa ni wajanja na wanajua kila kitu , hawa ndiyo wale usipompa hela ya saloon kosa , usipomtumia vocha kosa, usipomtafuta kosa usipoenda kwenye HAPPBIRTHDAY yake na zawadi kubwa mmeachana,hawa wanaakiri fupi zaidi ya njiti ya kibiriti na usipokuwa makini anakufirisi na huwa siyo watafutaji ukijidanganya ukamwambia unampenda anakuomba hela kila siku anakugeuza CRDB , ukimwambia nakupenda basi atakuomba hela utafikiri anakuda ni kundi la wasichana ambao huwa wanataka mambo yao yafanyike wanavyotaka wao bila kujali ugumu au historia za maisha familia zao , katika umri huo wakina dada hawa wanakosa MISIMAMO .

katika umri huo wa miaka 20-28 ni rahisi kubadilisha wanaume au mabwana , maana wakina dada wengi huwa hawajui ni nini wanataka katika misha yao , kipindi hiki vichwa vyao vinakuw vya moto mno , anaweza akatembea na wanaume zaidi ya 15 kwa mwaka au pengine pungufu asipopata kile anachokitaka japokuwa siyo wote wanaweza kuwa na tabia hii ya kishetani ila wengine huweza kutembea na wanaume zaidi ya 20 ndani ya siku 600 asipopata anachokitaka , katika umri huo wasichana wengi wanajikuta wamezalishwa , wasichana wamepewa mimba na wanalea watoto wao kabla hata hawajafikia malengo yao, kuna wasichana wengi mno mtaani wana watoto wasiokuwa na baba na hata kama wanao basi baba zao hawaeleweki , kuna wengine wameolewa na kuachika katika umri huo huo na wamepoteza utamu wao wa asili ,
ukirogwa ukaachana naye yeye anafanya bifu ya atakuandikia mabango kwa stutus mpaka ukome na kwa hizo tabia zao za kuazima wanajikuta wanaachika na kuachana na wanaume ambao pengine walifaa kuwa waume zao lakini wanakuta wanahesabu mbaramwezi mpaka wanafikisha miaka 27/30 bado hawajielewie elewi .

Mara nyingi huwa hawana malengo makubwa ya kimaisha katika 100 unaweza kuta 1 katika 1000 utawakuta 10 na kati ya 10000 ni 100 , hata kama yupo chuo na ana elimu nzuri tu lakini bado hajui anataka nini..?? ,huwa wanaishi kwa matukio na wanakuwa na visherehe vingi mnoo , wamejaa mitandaoni na mtaani , hawa utakuta wamepost "AM BLESSED" utawakuta wamepost "NO ONE CAN JUDGE ME " na kwenye stutus zao kumejaa majungu na mabango mengi lakini pia unaweza ukakuta wameandika "I LOVE JESUS , lakini pia ni Wanashinda sana kwenye maombi , utakuwakuta wamepost wamebinua makalio juu mfano wa kasuku na mara nyingi wana majina feki , utawakuta wanajiita rockgirl , wanajiita badgirl Na de cute au cute baby na ukimfatilia kwa kina unashangaa anaitwa MWANAHAWA au ATUPELE , ANGANILE, HALIMA , NYASIGE au NYANGOSO , lakini kwenye mtadao anajiita CUTE BABY au De Cutest , wanamajina ya ajabu ajabu na wanaishi maisha ya watu wengine , ukienda mbali zaidi wengi wao wanajiita Role model , disgner na mafashionist wengine video queen, wao wanataka kuvaa kila nguo inayoingia sokoni, wanataka simu kali, wanataka kupendeza na kwenda sehemu za starehe kujivinjali mara nyingi huwa wanapanda na kushika mwezi huu kapendeza mwezi huu ovyoo na asipokuwa na nguo mpya basi haendi popote .

kuolewa siyo kipaumbele chao , japo wengine wanataka kuolewa ndiyo lakini miili yao haitaki ,wengi wao wakifikisha umri fulani wanatamani kuwa na watoto lakini kulea hawataki na akipata mimba anatoa kisa ati mda bado hataki kujizehesha anagopa atachekwa akionekana na mimba, kujijenga au kufanya biashara siyo kipaumbele chao , kupanga maisha siyo kipaumbele chao , wao wanaangalia leo tu kesho hawaitambui , siku zote huwa wanatembea na watu waliowazidi umri ,wanatembea na baba zao , hawaangilii umri wala sura wao wanangalia pesa na vitu maana siku zote wanaongozwa na tamaa na matamanio, wapo bize na ukimuuliza unaolewa au unazaa lini atakwambia anakula maisha, hawa waliowengi wanaishia kuwa machangu na wengine ma bar made na wengine wadangaji wakubwa mjini , wengine wanazalishwa ovyoo na wengine wanakuwa wadangaji na matapeli wa mapenzi maisha yao yote , hata kama wakiolewa ni ugomvi kila siku maana bado wanahitaji uhuru wao na wakiwa kwenye ndoa inawachukua mda mrefu kuzoea maisha ya ndoa, ukimfatilia kwa macho ya kawaida utagundua siyo kwamba anakula maisha bali analiwa na mmaisha, wanataka simu za bei mbaya na hapo hapo hata banda la nyanya hana , dada yangu unanijidanganya hakuna anayekula maisha bali maisha ndiyo yanakula watu,na hawa ndiyo wale wanaogopa kuzaa , wanaogopa kuolewa utawasikia mimi siwezi kuolewa wanaume wenyewe wako wap ..? Ngoja kwa nitaolewa nikiamua na hawa hata kama wakiolewa wanaachika , anakwambia anakula maisha unashangaa ndani ya siku kadhaa kadungwa mimba tena yupo kwao .

Hawa mara nyingi siyo wa kweli , siku zote ni waongo waongo , wanaishi maisha ya kwenye movie , hawaishi maisha yao , atakwambia mimi ugali silagi bali nakulaga baga na piza , atakwambia bia huwa hanywagi yeye anakunywa red wine , atakwambia hawawezi kutembea kwa mguu mpaka kwa gari au pikipiki , hawa ndiyo wale ukimpelekea zawadi ndogo atakwambia hii zawadi haiendani na hadhi yake , mda mwingi wanapenda kutumia zaidi kutafuta , maisha yao kwenye mitandao ni tofauti kabisa na mtaani , kwanza hawajiamini kila saa wamevaa mawigi , hawawezi kutembea bila wigi , kwao kuna shida lakini yeye anataka kuishi kama mbele , hawa ni wale wanajiita Expensive bitches anajua huna uwezo wa kununua gari atakwambie umnunulie gari maana amechoka kutembea kwa miguu ,kuna wengine usipokuwa makini anakugeuza baba wa familia , hata pete hujamvisha lakini matatizo yote yakwake na familia yake atayahamishia kwako ,siku zote katika umri huo ni wavivu wa kufikiri na kufanya kazi ,kingine ambacho ni mapungufu makubwa kwao ni kwamba wanadanganyika mapema mno yaani wanachezewa na kutumika katika kitu kidogo sana , piaa wanamatumizi mabaya ya muda na pesa na ni wepesi wa kutukana na kutoa lawama endapo tu watakosa wanachokitaka , wanakuwa wapole na watu wema na wazuri sana wanapokuwa hawana kitu pia wanakuwa wakorofi na nidhamu mbovu wanapokuwa wamepata kitu pia wengine wanakuwa na adabu na heshima pale wanapokuwa na kitu .

Anaweza akapata 200000 ikakatika ndani ya wiki moja au siku moja ,hawa ndiyo wale ukimwita muende mkapate Lunch mahala atakwambia anakuja na marafiki zake, siku zote wao hawako sawa na hawajiamini kama wao ni wazuri na mara nyingi hawajikubali kabisa na ndiyo maana siku hizi wanaongeza makalio yao kwa madawa ya kichina , wanaongeza matiti yao ili waonekane wazuri kuliko fulani wanasahau kwamba Mungu alivyowaumba hivyo hakukosea , yaani akiangalia kucha zake anaona haziko sawa , akiangaliaa kichwa chake anaona hakipo sawa akicheki kope anaona zinahitaji marekebisho , akijiangali midomo yake anaona inahitaji lipshiner , akiangalia nyusi zake anaona anahitaji kuchonga , akicheki nguo zake anaona anahitaji mpya , ukijicheki vizuri anaona amekosa saa nzuri mkononi , akicheki vizuri anaona ngozi yake ni nyeusi sana anahitaji kujichubua kidogo na kujipiga mapoda poda ili akae sawa , sasa wao hivyo ndiyo vitu muhimu hawajawahi kujikubali maisha yao yote huwa wanaishi kwa wasiwasi kila apitapo, huwa hawajikubali kabisa na pia kujiamini kwao ni mtihani wa hisabati .

Madhara yake ni makubwa mno , kwa kuwa hakuna kiumbe kitakachoishi milele isipokuwa NENO LA MUNGU PEKEE na vile vile hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho lakini pia tambua hakuna hali ya kudumu hapa duniani na pia historiaa inatabia ya kujirudia siku zote , ukimfanyia mtu wema utalipwa kwa wema , ukimfanyia mtu mabaya utalipwa kwa baya , mkumbukeni Mungu daima lakini tunakumbushwa kuwapenda maadui zetu , dada zangu wanajikuta kuwa sugu wa maisha yao wenyewe na kujikuta wamezalishwa hivyo wanaishia nyumbani kwao na kuolewa inakuwa mtihani kwao , wengine wanapoteza vizazi vyao hivyo uwezo wa kuzaa tenaa unakosekana na kujuta maisha yao yote , wengine wanakuwa wadangaji wakubwa mjini kuolewa imeshindikana hivyo wanabaki hivyo hivyo mpaka kuzeeka kwao, wengine wanageuka kuwa wafanyabiashara ili kujitafutia riziki maana unakuta hana chaguo lingine tena na umri umesoge , kulingana na maisha waliyokuwa wakiishi wanajikuta wameambulia magonjwa au kupoteza heshima na utamu wa mwanamke .

Wapo ambao wanafanikiwa kuolewa lakini pia wanafanikiwa kuolewa na kuachika baada ya mda fulani kwani hawajazoea kuishi maisha ya ndoa hawawezi kuvumilia shida , huwezi kuishia hapo kuna wengine wanageuka kuwa malaya na machangu walikubuhu na kushindikana mjini maana wanageuza miili yao kama ndiyo kitega uchumi chao pekee kilichobakia , madhara yake ni makubwa maana wengine wanaachika zaidi ya mara mbili au mara tatu na kupoteza heshima kwa familia na taifa kwa ujumla , wapo wengi mtaani wanaamua kutafuta mtoto hata mmoja ili asije kufa bila kuacha chata , tatizo lingine ni kwamba wanageuka kuwa mizigo kwa wazazi wao maana wanakuwa wamekata tamaa lakini wengine wanapoteza uaminifu na imani kwa wanaume na ndiyo hawa utawasikia wanaume wote ni mambwa tu , ndiyo hawa utawasikia wanadai wanaume wote ni mang'ombe tu , huwa wanakuwa na lugha chafu kwa wanaume , kuna ambao pia wanaamua kuolewa na wazee waliowazidi umri au wanaaumua kuwa wake wa pili, kunaa wengine wanapambana na kujikwamua kiuchumi ili maisha yaendelee ili wasikose pa kushika.

Siku zote daima maisha yako ni vile unavyoishi , ukileta mzaha maisha yako yatakuwa na kimzaha mzaha , ukishindwa kujisimamia mwenyewe basi hakuna atakaye kusimamia , mafanikio yako ni kipimo cha akili yako , hivyo ulivyo leo ni matokeo ya mienendo yako ni matokeo ya maamuzi yako ambayo iliyachukua miaka 5 au 10 iliyopita , ukishindwa kutambua kwamba kuna kesho basi yako ya baadae yatakuwa ya ovyo sana kumbuka ukipandacho ndicho utakachokivunaa , katika haya maisha kuwa mtu wa kujifunza na kujirekebisha pia , usipende kutaka mafanikio ya haraka haraka maana yana gharama na hutaweza kuikwepa hapo baadae , maisha ni mchakato wa miaka mingi sana mafanikio hayaji ndani usiku mmoja ndugu yangu , tembea na mda bila kusahau umri wako , watumie watu waliokuzunguka kuyafikiq mafanikio yako , ishi kwa amani iwezekanavyo usimuhukumu mtu usiye mjuaa na hata kama unamjua pia huna malmlaka ya kutoa hukumu , usimdhurumu wala kumdhuru mtu yoyote yule , usilipize kisasi kwa chochote kwa mtu yoyote yule maana MUNGU WETU HACHELEWI KUJIBU .
 
Natamani hii post niwatumie dada zangu, tunao share ukoo mmoja, najua wataniona sina adabu, ila upumbavu wao unawaumiza wazazi wao ila hawajui tu.
 
Mzee wa risala ambao hamjasoma au mmesoma kiparagraph cha kwanza au nusu gongeni like twende sawa huku kauli mbiu yetu ile ile mleta mada atafute pesa.
 
DADA ZANGU,MWANAUME WA KWELI MJINI NI KAZI YAKO, MAKOSA WANAYOFANYA WANAWAKE KUANZIA MIAKA 20-28 na 28-35 KABLA NA BAADA KUOLEWA.

samahani lakini

Kuoa au kuolewa siyo LAZIMA japo kuoa au kuolewa kunaleta HESHIMA.

kuna utofauti mkubwa kati ya nyota na jua japo jua pia ni nyota lakini kila kimoja kinafanya kazi kwa wakati wake pasipo kuingiliana kwa namna moja ama nyingine , PESA SIYO KILA KITU, tunakumbushwa kwamba TUISHI MAISHA YETU namaanisha ishi ISHI MAISHA YAKO usiishi MAISHA YA WATU WENGINE, Ni ngumu sana kuwa tajiri katika kundi la watu masikini , nakukumbusha tena WATOTO WA MASIKINI NDIYO WANAOSOMA , na kama unajitambuaa vyemaa na una akili sawasawa utagundua kwamba hakuna uhusiano wowote kati ya ELIMU NA UTAJIRI , na hivyo hivyo kwako dada yangu kwako kaka yangu KUWA NA PESA SIYO KIGEZO CHA KUPATA MKE MWEMA AU MWANAUME MWEMA .

Tunachagua sana mpaka tunajikuta tunaokota makapi na kupiga busu mtungi wa nyuki ,kuchagua ni kupanga na kupanga ni kuchagua ukishindwa kuchagua maana yake umeshindwa kupanga ,uchawi ungekuwa dili basi sumbawanga ingekuwa kama New york au Tokyo japani , mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe , ukishindwa kuwa na misimamo ni ngumu sana kufanikiwa bali utabaki kuwa mchoraji na mpenzi mtazamaji wenzako wanakula kwa mirija wewe unakula kwa kutumia kope za macho, katika maisha kila mtu anapenda kuwa na maisha bora lakini maisha mazuri huwa yanaandaliwa tena siyo ndani ya siku moja , unaweza ukatamani kuwa na jumba la bei mbaya lakini usije kulijenga maana unajua kutamani lakini mipango yako ni hewa na utekelezaji wa mambo yako ni hewa vile vile.

Sasa mdada una miaka 20 au 25 unataka kuolewa na mwanaume mwenye nyumba na pesa za kutoksha ,kwanza kabla hujaolewa na mtu mwenye pesa je wewe una una nini ..?? Acha kuwa mvivu jitathimini kwa nini unataka kuolewa na mwanaume mweny pesa na majumba..? ni kitu gani kinakufanya utake kuolewa na mwanaume mwene pesa .?? kuolewa na msakatonge au masikini kwako ni zambi wakati mwenyewe hauna hata banda la bata mda mwingi unashinda snapchart na whatspp afu unataka kuolewa na mwanaume mwenye pesa, na kwa mnaongozwa na tamaa mnajikuta mmemtega tembo lakini amenasa panya japokuwa nawasifu sana katika kipengere cha uvumilivu japokuwa uvumilivu wenu unakikomo juilize unataka kuolewa ili upate watoto au unataka kuolewa ili uepukane na ukapera au unataka kuelewa kwa sababu mwanahawa kaolewa au unataka kuolewa ili kupata vitu au pengine unaolewa kwa sababu umri wa kuolewa umefika, tafakari unaolewa ili iweje au unaolewa ili upewe heshima mtaani , kuoa kuolewa ni heshima lakini siyo lazima .

Cheza na whatapp au Instgaram cheza na wake za watu cheza na wanaume za watu shinda club , nenda beach kujiachia badirisha wanaume , chezesha makalio yako , badirisha nguo kila siku , kura kuku sana maana bata ni wachafu lakini tambua fainali uzeeni , kuwa makini sana usicheze na umri wako na usicheze na muda wako , tambua muda wako ndiyo maisha yako , ukija kuishi maisha ya kuomba omba hapo baadae usije kuwalaumu watu jilaumu mwenyewe , ukiendelea kuishi kwa wasiwasi kama umeme wa luku tambua kuwa mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe, punguza mambo ya kijinga na ya kipumbavu kuwa mjanja acha kuwa yule yule wa kila siku , jitambue jithamini jione wewe wa kipee epuka kuwa mtu wa kawaida, thamini mwili wako , thamini muda wako kabla hujageuka kuwa historia , kama ni wakike usikubali kutumika ovyo ovyo kama punda , thamani ya mwili wako ni kubwa mno hata kama una umasikini au hujasoma tambua mwili wako ni zaidi ya utajiri , katika hii dunia kuna watu wapo kwa ajili ya kuwatajirisha wengine , katika hii dunia kuna watu wapo kwa ajili ya kuwapa raha wengine , wapo watu ambao ni binadamu lakini wanatumika kama misukule lakini wao hawatambui hilo kama wanatumika na wanakuja kusanuka giza tayari limeshangia , usikubali mtu akacheza na maisha yako pasipo sababu za msingi na usikubali kutumika ivyo kwa vitu vidogo vidogo tena vya kipumbavu.

Badirika usikubali kutumika kijinga ujali mwili wako maana mwili wako ndiyo nguzo muhimu ya kuyafikia malengo yako, sasa ukiwachia wahuni wafanye wanavyotaka wao watachakachua na utakuwa hutamaniki tena kama mchuzi wa maharage yaliyochacha ishi na watu kijanja, acha kuishi na watu ambao siyo wabunifu na wagumu wa kubadirika ,epuka kuishi na vilaza maana watakukatisha tamaa na kushindwa kusonga mbele, ogopa kuishi na wavivu watakulaza njaa , epuka kuishi na watu wabishi na wagumu kuchukua hatua maana watakukwamisha , sifa kubwa ya watu wa chini au wasakatonge ni wanapenda kulalamika , wasakatonge wanaongea mambo mengi ya msingi lakini utekelezaji ni kizungu mkuti , acha kuamini katika vitu vya kipuuzi , unakuwa na chembechembe za uzwaza na upumbavu kama bado utaendelea kukaa na mtu ambaye ana mawazo yale yale miaka yote , ndugu yangu kuwa wa tofauti kadri siku zinavyokwenda , kama maisha magumu kuwa mgumu na wewe kama maisha yanabadirika badirika na wewe , kubali kukemewa na kukosolewa maana kutakupa nguvu ya kusonga mbele kutambua makosa yako na kujiisahihisha na kusonga mbele ishi kijanja usiangalie maisha ya watu angalia maisha yako na epuka kukaa kindezi ndezi .

Anayekwambia mapenzi hayana umri anakudanganya , chelewa kuolewa uone changamoto zake, chelewa kuoa uone uchungu , chelewa kuzaa uone maumivu yake na raha yake , kila kitu kina hasara na faida zake na kila unachokifanya na kugusa hakikisha faida ni kubwa na hasara ni chache , chelewa kutafuta maisha uone ugumu wake baadae, usipende kufata fata mkumbo anayekwambia mapenzi hayana umri mwambie akupe sababu 30, kama mwanamke jitahidi sana ucheze na step ndege wanaofanana huruka pamoja ukiona kunguru anaruka kwenye kundi la mwewe basi jua huyo kunguru amekoroga zege kwa kutumia matope . Mtaalamu na mtetezi wa watu weusi mwenye asili ya afrika bwana MARTIN LUTHER JR aliwa kusema "Time have never been wrong, time is alwyz right to do the right things?" Ni makosa kusema hiki kitu nitafanya nikifikisha miaka 30 ni makosa makubwa mno , kusema utaanza kufanya kitu fulani bada ya miaka kadha wakati unayo nafasi na nguvu ya kufanya hivyo inaonesha ni jinsi gani ubongo wako umechoka kufikiri ,Diamond angesema ataimba akifikisha miaka 30 asingekuwa hapo leo , Chriss brown angesubiri afikishe anze mziki akiwa na miaka 28 asingekuwa hapo leo , Dangote angesema atafute utajiri akiwa mzee usingemsikia leo jack ma angesema afocus akiwa na miaka 40 asingekuwa tajiri namba moja barani asia na wala usingemsikia leo .

Ujumbe mubashasha kwa kina dada na wakina mama, kubali kukosolewa ili ufikie malengo yako , Hii duniaa siyo yako na haya maisha ni formularless , kama umeifikisha miaka 24-25 na umepata mtu wa kukuoa ulewa naye sasa acha mapicha picha na vituko, kama unahitaji watoto au mtoto kwa nini usizae ukiwa una nguvu na nafasi ya kufanya ivo , na kama hutaki kuolewa kwa sasa basi jikite kwenye mambo yenye manufaa , dada zangu ni bora ukapata changamoto ukiwa kijana mwenye umri wa miaka 24-30 kuliko kupata changamoto uzeeni ukiwa una miaka 35-40 , kamaa umeamua kufanya kitu fanya sasa ,Martin Luther junior hakujua kwamba ipo siku atakuja kuchapwa risasi na katika ujana wake alifanya mambo makubwa ya kuhakikisha ubaguzi unakoma na watu weusi wanaishi kama ndugu bila kujari rangi zao lakini mwaka 1968 Martin Luther jr alichapwa risasi na jamaa mmoja anaitwa James wales , ambapo miaka 7 nyuma Tanzania kupata uhuru wake na miaka 8 nyuma mataifa yaliyokuwa yakitawaliwa na mfaransa kupata uhuru wao ndani ya siku moja na miaka 7 nyuma patrice emili Lumumber alichapwa risasi na mwaka 1967 mwanaharakati Che Guevara alichapwa risasi zaidi ya 12 kifuani , lakini hawa watu walifanya mambo makubwa katika umri wao usisubiri kesho dunia ya sasa inaenda kasi muno fanya vitu mapema , fanya vitu ukiwa bado una nguvu usisubiri baadae .

Makosa ambayo hufanywa na wakina dada na wakina mama na kujikuta wamepoteza na kuharibu maisha yao yote , hutaki kuolewa lakini unataka wanaume na ukiolewa unataka kuwa single na ukiwa single unatafuta wanaume tena, hutaki kuolewa lakini unajiuza , hutaki kuwa na mtoto lakini unataka kuliwa , huwaamini wanaume lakini unatembea na mabwana za watu malengo mengi kuliko kipimo , unalikoroga afu unalinywa mwenyewe ,hutaki kuolewa lakini unataka mtoto , ni vyema mkasoma na mkatambua alama za nyakati , kuweni na misimamo na mtambue ni nin mnataka na kwa wakati gani , msiisji Wakina dada wadogo walio katika umri wa miaka 20-28 huwa wanafanya makosa pasipo wao kujua kama wanafanya makosa , anayekwambia ukweli na kukukosoa huyo mtu anakusaidia wanayafanya makosa na baadae kujikuta wamepoteza muelekeo , na kuna wengine kuanzia miaka 28-35 wanakwambia wanakula maisha , kwanza ukikutana nao utafikiri wachina walivyojipigilia marumaru,yaani unakuta wapendeza utafikiri huwa hawapigagi chafya, ukikutana nao siku zote wanaishi maisha ya watu wengine , sasa unajiuliza ni maisha gani wanakula katika hali hii ya magu na Trump , unajiuliza kesho yake itakuaje hupati jibu na katika kipindi hiki anapendeza utafikiri hakuna kufa .

Katika umri huo dada zangu wanakuwa wana mambo mengi kichwAni kuliko computer au cctv Camera, yaani wako online muda wote , katika kipindi hiki wako ative kuliko walinzi wa bank kuu, katika umri huo wengi huongozwa na tamaa , katika umri huo wakina dada wengi wanajikuta wanatumia macho zaidi kuliko akili , hawa huwa wanaamka saa 6 au 7 wengine saa 8 mchana maana wanakesha kuliko popo maana usiku kwao ni mchana , ukikutana na wanawake wa namna hii utakuta wako bize mno unaweza ukawaza huyu asipojenga gorofa mwaka 2020 sijui kwa ubize alio nao , hawa ndiyo wale ukiingia kwenye gari headfon masikioni na huwa ni wajanja na wanajua kila kitu , hawa ndiyo wale usipompa hela ya saloon kosa , usipomtumia vocha kosa, usipomtafuta kosa usipoenda kwenye HAPPBIRTHDAY yake na zawadi kubwa mmeachana,hawa wanaakiri fupi zaidi ya njiti ya kibiriti na usipokuwa makini anakufirisi na huwa siyo watafutaji ukijidanganya ukamwambia unampenda anakuomba hela kila siku anakugeuza CRDB , ukimwambia nakupenda basi atakuomba hela utafikiri anakuda ni kundi la wasichana ambao huwa wanataka mambo yao yafanyike wanavyotaka wao bila kujali ugumu au historia za maisha familia zao , katika umri huo wakina dada hawa wanakosa MISIMAMO .

katika umri huo wa miaka 20-28 ni rahisi kubadilisha wanaume au mabwana , maana wakina dada wengi huwa hawajui ni nini wanataka katika misha yao , kipindi hiki vichwa vyao vinakuw vya moto mno , anaweza akatembea na wanaume zaidi ya 15 kwa mwaka au pengine pungufu asipopata kile anachokitaka japokuwa siyo wote wanaweza kuwa na tabia hii ya kishetani ila wengine huweza kutembea na wanaume zaidi ya 20 ndani ya siku 600 asipopata anachokitaka , katika umri huo wasichana wengi wanajikuta wamezalishwa , wasichana wamepewa mimba na wanalea watoto wao kabla hata hawajafikia malengo yao, kuna wasichana wengi mno mtaani wana watoto wasiokuwa na baba na hata kama wanao basi baba zao hawaeleweki , kuna wengine wameolewa na kuachika katika umri huo huo na wamepoteza utamu wao wa asili ,
ukirogwa ukaachana naye yeye anafanya bifu ya atakuandikia mabango kwa stutus mpaka ukome na kwa hizo tabia zao za kuazima wanajikuta wanaachika na kuachana na wanaume ambao pengine walifaa kuwa waume zao lakini wanakuta wanahesabu mbaramwezi mpaka wanafikisha miaka 27/30 bado hawajielewie elewi .

Mara nyingi huwa hawana malengo makubwa ya kimaisha katika 100 unaweza kuta 1 katika 1000 utawakuta 10 na kati ya 10000 ni 100 , hata kama yupo chuo na ana elimu nzuri tu lakini bado hajui anataka nini..?? ,huwa wanaishi kwa matukio na wanakuwa na visherehe vingi mnoo , wamejaa mitandaoni na mtaani , hawa utakuta wamepost "AM BLESSED" utawakuta wamepost "NO ONE CAN JUDGE ME " na kwenye stutus zao kumejaa majungu na mabango mengi lakini pia unaweza ukakuta wameandika "I LOVE JESUS , lakini pia ni Wanashinda sana kwenye maombi , utakuwakuta wamepost wamebinua makalio juu mfano wa kasuku na mara nyingi wana majina feki , utawakuta wanajiita rockgirl , wanajiita badgirl Na de cute au cute baby na ukimfatilia kwa kina unashangaa anaitwa MWANAHAWA au ATUPELE , ANGANILE, HALIMA , NYASIGE au NYANGOSO , lakini kwenye mtadao anajiita CUTE BABY au De Cutest , wanamajina ya ajabu ajabu na wanaishi maisha ya watu wengine , ukienda mbali zaidi wengi wao wanajiita Role model , disgner na mafashionist wengine video queen, wao wanataka kuvaa kila nguo inayoingia sokoni, wanataka simu kali, wanataka kupendeza na kwenda sehemu za starehe kujivinjali mara nyingi huwa wanapanda na kushika mwezi huu kapendeza mwezi huu ovyoo na asipokuwa na nguo mpya basi haendi popote .

kuolewa siyo kipaumbele chao , japo wengine wanataka kuolewa ndiyo lakini miili yao haitaki ,wengi wao wakifikisha umri fulani wanatamani kuwa na watoto lakini kulea hawataki na akipata mimba anatoa kisa ati mda bado hataki kujizehesha anagopa atachekwa akionekana na mimba, kujijenga au kufanya biashara siyo kipaumbele chao , kupanga maisha siyo kipaumbele chao , wao wanaangalia leo tu kesho hawaitambui , siku zote huwa wanatembea na watu waliowazidi umri ,wanatembea na baba zao , hawaangilii umri wala sura wao wanangalia pesa na vitu maana siku zote wanaongozwa na tamaa na matamanio, wapo bize na ukimuuliza unaolewa au unazaa lini atakwambia anakula maisha, hawa waliowengi wanaishia kuwa machangu na wengine ma bar made na wengine wadangaji wakubwa mjini , wengine wanazalishwa ovyoo na wengine wanakuwa wadangaji na matapeli wa mapenzi maisha yao yote , hata kama wakiolewa ni ugomvi kila siku maana bado wanahitaji uhuru wao na wakiwa kwenye ndoa inawachukua mda mrefu kuzoea maisha ya ndoa, ukimfatilia kwa macho ya kawaida utagundua siyo kwamba anakula maisha bali analiwa na mmaisha, wanataka simu za bei mbaya na hapo hapo hata banda la nyanya hana , dada yangu unanijidanganya hakuna anayekula maisha bali maisha ndiyo yanakula watu,na hawa ndiyo wale wanaogopa kuzaa , wanaogopa kuolewa utawasikia mimi siwezi kuolewa wanaume wenyewe wako wap ..? Ngoja kwa nitaolewa nikiamua na hawa hata kama wakiolewa wanaachika , anakwambia anakula maisha unashangaa ndani ya siku kadhaa kadungwa mimba tena yupo kwao .

Hawa mara nyingi siyo wa kweli , siku zote ni waongo waongo , wanaishi maisha ya kwenye movie , hawaishi maisha yao , atakwambia mimi ugali silagi bali nakulaga baga na piza , atakwambia bia huwa hanywagi yeye anakunywa red wine , atakwambia hawawezi kutembea kwa mguu mpaka kwa gari au pikipiki , hawa ndiyo wale ukimpelekea zawadi ndogo atakwambia hii zawadi haiendani na hadhi yake , mda mwingi wanapenda kutumia zaidi kutafuta , maisha yao kwenye mitandao ni tofauti kabisa na mtaani , kwanza hawajiamini kila saa wamevaa mawigi , hawawezi kutembea bila wigi , kwao kuna shida lakini yeye anataka kuishi kama mbele , hawa ni wale wanajiita Expensive bitches anajua huna uwezo wa kununua gari atakwambie umnunulie gari maana amechoka kutembea kwa miguu ,kuna wengine usipokuwa makini anakugeuza baba wa familia , hata pete hujamvisha lakini matatizo yote yakwake na familia yake atayahamishia kwako ,siku zote katika umri huo ni wavivu wa kufikiri na kufanya kazi ,kingine ambacho ni mapungufu makubwa kwao ni kwamba wanadanganyika mapema mno yaani wanachezewa na kutumika katika kitu kidogo sana , piaa wanamatumizi mabaya ya muda na pesa na ni wepesi wa kutukana na kutoa lawama endapo tu watakosa wanachokitaka , wanakuwa wapole na watu wema na wazuri sana wanapokuwa hawana kitu pia wanakuwa wakorofi na nidhamu mbovu wanapokuwa wamepata kitu pia wengine wanakuwa na adabu na heshima pale wanapokuwa na kitu .

Anaweza akapata 200000 ikakatika ndani ya wiki moja au siku moja ,hawa ndiyo wale ukimwita muende mkapate Lunch mahala atakwambia anakuja na marafiki zake, siku zote wao hawako sawa na hawajiamini kama wao ni wazuri na mara nyingi hawajikubali kabisa na ndiyo maana siku hizi wanaongeza makalio yao kwa madawa ya kichina , wanaongeza matiti yao ili waonekane wazuri kuliko fulani wanasahau kwamba Mungu alivyowaumba hivyo hakukosea , yaani akiangalia kucha zake anaona haziko sawa , akiangaliaa kichwa chake anaona hakipo sawa akicheki kope anaona zinahitaji marekebisho , akijiangali midomo yake anaona inahitaji lipshiner , akiangalia nyusi zake anaona anahitaji kuchonga , akicheki nguo zake anaona anahitaji mpya , ukijicheki vizuri anaona amekosa saa nzuri mkononi , akicheki vizuri anaona ngozi yake ni nyeusi sana anahitaji kujichubua kidogo na kujipiga mapoda poda ili akae sawa , sasa wao hivyo ndiyo vitu muhimu hawajawahi kujikubali maisha yao yote huwa wanaishi kwa wasiwasi kila apitapo, huwa hawajikubali kabisa na pia kujiamini kwao ni mtihani wa hisabati .

Madhara yake ni makubwa mno , kwa kuwa hakuna kiumbe kitakachoishi milele isipokuwa NENO LA MUNGU PEKEE na vile vile hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho lakini pia tambua hakuna hali ya kudumu hapa duniani na pia historiaa inatabia ya kujirudia siku zote , ukimfanyia mtu wema utalipwa kwa wema , ukimfanyia mtu mabaya utalipwa kwa baya , mkumbukeni Mungu daima lakini tunakumbushwa kuwapenda maadui zetu , dada zangu wanajikuta kuwa sugu wa maisha yao wenyewe na kujikuta wamezalishwa hivyo wanaishia nyumbani kwao na kuolewa inakuwa mtihani kwao , wengine wanapoteza vizazi vyao hivyo uwezo wa kuzaa tenaa unakosekana na kujuta maisha yao yote , wengine wanakuwa wadangaji wakubwa mjini kuolewa imeshindikana hivyo wanabaki hivyo hivyo mpaka kuzeeka kwao, wengine wanageuka kuwa wafanyabiashara ili kujitafutia riziki maana unakuta hana chaguo lingine tena na umri umesoge , kulingana na maisha waliyokuwa wakiishi wanajikuta wameambulia magonjwa au kupoteza heshima na utamu wa mwanamke .

Wapo ambao wanafanikiwa kuolewa lakini pia wanafanikiwa kuolewa na kuachika baada ya mda fulani kwani hawajazoea kuishi maisha ya ndoa hawawezi kuvumilia shida , huwezi kuishia hapo kuna wengine wanageuka kuwa malaya na machangu walikubuhu na kushindikana mjini maana wanageuza miili yao kama ndiyo kitega uchumi chao pekee kilichobakia , madhara yake ni makubwa maana wengine wanaachika zaidi ya mara mbili au mara tatu na kupoteza heshima kwa familia na taifa kwa ujumla , wapo wengi mtaani wanaamua kutafuta mtoto hata mmoja ili asije kufa bila kuacha chata , tatizo lingine ni kwamba wanageuka kuwa mizigo kwa wazazi wao maana wanakuwa wamekata tamaa lakini wengine wanapoteza uaminifu na imani kwa wanaume na ndiyo hawa utawasikia wanaume wote ni mambwa tu , ndiyo hawa utawasikia wanadai wanaume wote ni mang'ombe tu , huwa wanakuwa na lugha chafu kwa wanaume , kuna ambao pia wanaamua kuolewa na wazee waliowazidi umri au wanaaumua kuwa wake wa pili, kunaa wengine wanapambana na kujikwamua kiuchumi ili maisha yaendelee ili wasikose pa kushika.

Siku zote daima maisha yako ni vile unavyoishi , ukileta mzaha maisha yako yatakuwa na kimzaha mzaha , ukishindwa kujisimamia mwenyewe basi hakuna atakaye kusimamia , mafanikio yako ni kipimo cha akili yako , hivyo ulivyo leo ni matokeo ya mienendo yako ni matokeo ya maamuzi yako ambayo iliyachukua miaka 5 au 10 iliyopita , ukishindwa kutambua kwamba kuna kesho basi yako ya baadae yatakuwa ya ovyo sana kumbuka ukipandacho ndicho utakachokivunaa , katika haya maisha kuwa mtu wa kujifunza na kujirekebisha pia , usipende kutaka mafanikio ya haraka haraka maana yana gharama na hutaweza kuikwepa hapo baadae , maisha ni mchakato wa miaka mingi sana mafanikio hayaji ndani usiku mmoja ndugu yangu , tembea na mda bila kusahau umri wako , watumie watu waliokuzunguka kuyafikiq mafanikio yako , ishi kwa amani iwezekanavyo usimuhukumu mtu usiye mjuaa na hata kama unamjua pia huna malmlaka ya kutoa hukumu , usimdhurumu wala kumdhuru mtu yoyote yule , usilipize kisasi kwa chochote kwa mtu yoyote yule maana MUNGU WETU HACHELEWI KUJIBU .
Asante mkuu
 
DADA ZANGU,MWANAUME WA KWELI MJINI NI KAZI YAKO, MAKOSA WANAYOFANYA WANAWAKE KUANZIA MIAKA 20-28 na 28-35 KABLA NA BAADA KUOLEWA.

samahani lakini

Kuoa au kuolewa siyo LAZIMA japo kuoa au kuolewa kunaleta HESHIMA.

kuna utofauti mkubwa kati ya nyota na jua japo jua pia ni nyota lakini kila kimoja kinafanya kazi kwa wakati wake pasipo kuingiliana kwa namna moja ama nyingine , PESA SIYO KILA KITU, tunakumbushwa kwamba TUISHI MAISHA YETU namaanisha ishi ISHI MAISHA YAKO usiishi MAISHA YA WATU WENGINE, Ni ngumu sana kuwa tajiri katika kundi la watu masikini , nakukumbusha tena WATOTO WA MASIKINI NDIYO WANAOSOMA , na kama unajitambuaa vyemaa na una akili sawasawa utagundua kwamba hakuna uhusiano wowote kati ya ELIMU NA UTAJIRI , na hivyo hivyo kwako dada yangu kwako kaka yangu KUWA NA PESA SIYO KIGEZO CHA KUPATA MKE MWEMA AU MWANAUME MWEMA .

Tunachagua sana mpaka tunajikuta tunaokota makapi na kupiga busu mtungi wa nyuki ,kuchagua ni kupanga na kupanga ni kuchagua ukishindwa kuchagua maana yake umeshindwa kupanga ,uchawi ungekuwa dili basi sumbawanga ingekuwa kama New york au Tokyo japani , mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe , ukishindwa kuwa na misimamo ni ngumu sana kufanikiwa bali utabaki kuwa mchoraji na mpenzi mtazamaji wenzako wanakula kwa mirija wewe unakula kwa kutumia kope za macho, katika maisha kila mtu anapenda kuwa na maisha bora lakini maisha mazuri huwa yanaandaliwa tena siyo ndani ya siku moja , unaweza ukatamani kuwa na jumba la bei mbaya lakini usije kulijenga maana unajua kutamani lakini mipango yako ni hewa na utekelezaji wa mambo yako ni hewa vile vile.

Sasa mdada una miaka 20 au 25 unataka kuolewa na mwanaume mwenye nyumba na pesa za kutoksha ,kwanza kabla hujaolewa na mtu mwenye pesa je wewe una una nini ..?? Acha kuwa mvivu jitathimini kwa nini unataka kuolewa na mwanaume mweny pesa na majumba..? ni kitu gani kinakufanya utake kuolewa na mwanaume mwene pesa .?? kuolewa na msakatonge au masikini kwako ni zambi wakati mwenyewe hauna hata banda la bata mda mwingi unashinda snapchart na whatspp afu unataka kuolewa na mwanaume mwenye pesa, na kwa mnaongozwa na tamaa mnajikuta mmemtega tembo lakini amenasa panya japokuwa nawasifu sana katika kipengere cha uvumilivu japokuwa uvumilivu wenu unakikomo juilize unataka kuolewa ili upate watoto au unataka kuolewa ili uepukane na ukapera au unataka kuelewa kwa sababu mwanahawa kaolewa au unataka kuolewa ili kupata vitu au pengine unaolewa kwa sababu umri wa kuolewa umefika, tafakari unaolewa ili iweje au unaolewa ili upewe heshima mtaani , kuoa kuolewa ni heshima lakini siyo lazima .

Cheza na whatapp au Instgaram cheza na wake za watu cheza na wanaume za watu shinda club , nenda beach kujiachia badirisha wanaume , chezesha makalio yako , badirisha nguo kila siku , kura kuku sana maana bata ni wachafu lakini tambua fainali uzeeni , kuwa makini sana usicheze na umri wako na usicheze na muda wako , tambua muda wako ndiyo maisha yako , ukija kuishi maisha ya kuomba omba hapo baadae usije kuwalaumu watu jilaumu mwenyewe , ukiendelea kuishi kwa wasiwasi kama umeme wa luku tambua kuwa mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe, punguza mambo ya kijinga na ya kipumbavu kuwa mjanja acha kuwa yule yule wa kila siku , jitambue jithamini jione wewe wa kipee epuka kuwa mtu wa kawaida, thamini mwili wako , thamini muda wako kabla hujageuka kuwa historia , kama ni wakike usikubali kutumika ovyo ovyo kama punda , thamani ya mwili wako ni kubwa mno hata kama una umasikini au hujasoma tambua mwili wako ni zaidi ya utajiri , katika hii dunia kuna watu wapo kwa ajili ya kuwatajirisha wengine , katika hii dunia kuna watu wapo kwa ajili ya kuwapa raha wengine , wapo watu ambao ni binadamu lakini wanatumika kama misukule lakini wao hawatambui hilo kama wanatumika na wanakuja kusanuka giza tayari limeshangia , usikubali mtu akacheza na maisha yako pasipo sababu za msingi na usikubali kutumika ivyo kwa vitu vidogo vidogo tena vya kipumbavu.

Badirika usikubali kutumika kijinga ujali mwili wako maana mwili wako ndiyo nguzo muhimu ya kuyafikia malengo yako, sasa ukiwachia wahuni wafanye wanavyotaka wao watachakachua na utakuwa hutamaniki tena kama mchuzi wa maharage yaliyochacha ishi na watu kijanja, acha kuishi na watu ambao siyo wabunifu na wagumu wa kubadirika ,epuka kuishi na vilaza maana watakukatisha tamaa na kushindwa kusonga mbele, ogopa kuishi na wavivu watakulaza njaa , epuka kuishi na watu wabishi na wagumu kuchukua hatua maana watakukwamisha , sifa kubwa ya watu wa chini au wasakatonge ni wanapenda kulalamika , wasakatonge wanaongea mambo mengi ya msingi lakini utekelezaji ni kizungu mkuti , acha kuamini katika vitu vya kipuuzi , unakuwa na chembechembe za uzwaza na upumbavu kama bado utaendelea kukaa na mtu ambaye ana mawazo yale yale miaka yote , ndugu yangu kuwa wa tofauti kadri siku zinavyokwenda , kama maisha magumu kuwa mgumu na wewe kama maisha yanabadirika badirika na wewe , kubali kukemewa na kukosolewa maana kutakupa nguvu ya kusonga mbele kutambua makosa yako na kujiisahihisha na kusonga mbele ishi kijanja usiangalie maisha ya watu angalia maisha yako na epuka kukaa kindezi ndezi .

Anayekwambia mapenzi hayana umri anakudanganya , chelewa kuolewa uone changamoto zake, chelewa kuoa uone uchungu , chelewa kuzaa uone maumivu yake na raha yake , kila kitu kina hasara na faida zake na kila unachokifanya na kugusa hakikisha faida ni kubwa na hasara ni chache , chelewa kutafuta maisha uone ugumu wake baadae, usipende kufata fata mkumbo anayekwambia mapenzi hayana umri mwambie akupe sababu 30, kama mwanamke jitahidi sana ucheze na step ndege wanaofanana huruka pamoja ukiona kunguru anaruka kwenye kundi la mwewe basi jua huyo kunguru amekoroga zege kwa kutumia matope . Mtaalamu na mtetezi wa watu weusi mwenye asili ya afrika bwana MARTIN LUTHER JR aliwa kusema "Time have never been wrong, time is alwyz right to do the right things?" Ni makosa kusema hiki kitu nitafanya nikifikisha miaka 30 ni makosa makubwa mno , kusema utaanza kufanya kitu fulani bada ya miaka kadha wakati unayo nafasi na nguvu ya kufanya hivyo inaonesha ni jinsi gani ubongo wako umechoka kufikiri ,Diamond angesema ataimba akifikisha miaka 30 asingekuwa hapo leo , Chriss brown angesubiri afikishe anze mziki akiwa na miaka 28 asingekuwa hapo leo , Dangote angesema atafute utajiri akiwa mzee usingemsikia leo jack ma angesema afocus akiwa na miaka 40 asingekuwa tajiri namba moja barani asia na wala usingemsikia leo .

Ujumbe mubashasha kwa kina dada na wakina mama, kubali kukosolewa ili ufikie malengo yako , Hii duniaa siyo yako na haya maisha ni formularless , kama umeifikisha miaka 24-25 na umepata mtu wa kukuoa ulewa naye sasa acha mapicha picha na vituko, kama unahitaji watoto au mtoto kwa nini usizae ukiwa una nguvu na nafasi ya kufanya ivo , na kama hutaki kuolewa kwa sasa basi jikite kwenye mambo yenye manufaa , dada zangu ni bora ukapata changamoto ukiwa kijana mwenye umri wa miaka 24-30 kuliko kupata changamoto uzeeni ukiwa una miaka 35-40 , kamaa umeamua kufanya kitu fanya sasa ,Martin Luther junior hakujua kwamba ipo siku atakuja kuchapwa risasi na katika ujana wake alifanya mambo makubwa ya kuhakikisha ubaguzi unakoma na watu weusi wanaishi kama ndugu bila kujari rangi zao lakini mwaka 1968 Martin Luther jr alichapwa risasi na jamaa mmoja anaitwa James wales , ambapo miaka 7 nyuma Tanzania kupata uhuru wake na miaka 8 nyuma mataifa yaliyokuwa yakitawaliwa na mfaransa kupata uhuru wao ndani ya siku moja na miaka 7 nyuma patrice emili Lumumber alichapwa risasi na mwaka 1967 mwanaharakati Che Guevara alichapwa risasi zaidi ya 12 kifuani , lakini hawa watu walifanya mambo makubwa katika umri wao usisubiri kesho dunia ya sasa inaenda kasi muno fanya vitu mapema , fanya vitu ukiwa bado una nguvu usisubiri baadae .

Makosa ambayo hufanywa na wakina dada na wakina mama na kujikuta wamepoteza na kuharibu maisha yao yote , hutaki kuolewa lakini unataka wanaume na ukiolewa unataka kuwa single na ukiwa single unatafuta wanaume tena, hutaki kuolewa lakini unajiuza , hutaki kuwa na mtoto lakini unataka kuliwa , huwaamini wanaume lakini unatembea na mabwana za watu malengo mengi kuliko kipimo , unalikoroga afu unalinywa mwenyewe ,hutaki kuolewa lakini unataka mtoto , ni vyema mkasoma na mkatambua alama za nyakati , kuweni na misimamo na mtambue ni nin mnataka na kwa wakati gani , msiisji Wakina dada wadogo walio katika umri wa miaka 20-28 huwa wanafanya makosa pasipo wao kujua kama wanafanya makosa , anayekwambia ukweli na kukukosoa huyo mtu anakusaidia wanayafanya makosa na baadae kujikuta wamepoteza muelekeo , na kuna wengine kuanzia miaka 28-35 wanakwambia wanakula maisha , kwanza ukikutana nao utafikiri wachina walivyojipigilia marumaru,yaani unakuta wapendeza utafikiri huwa hawapigagi chafya, ukikutana nao siku zote wanaishi maisha ya watu wengine , sasa unajiuliza ni maisha gani wanakula katika hali hii ya magu na Trump , unajiuliza kesho yake itakuaje hupati jibu na katika kipindi hiki anapendeza utafikiri hakuna kufa .

Katika umri huo dada zangu wanakuwa wana mambo mengi kichwAni kuliko computer au cctv Camera, yaani wako online muda wote , katika kipindi hiki wako ative kuliko walinzi wa bank kuu, katika umri huo wengi huongozwa na tamaa , katika umri huo wakina dada wengi wanajikuta wanatumia macho zaidi kuliko akili , hawa huwa wanaamka saa 6 au 7 wengine saa 8 mchana maana wanakesha kuliko popo maana usiku kwao ni mchana , ukikutana na wanawake wa namna hii utakuta wako bize mno unaweza ukawaza huyu asipojenga gorofa mwaka 2020 sijui kwa ubize alio nao , hawa ndiyo wale ukiingia kwenye gari headfon masikioni na huwa ni wajanja na wanajua kila kitu , hawa ndiyo wale usipompa hela ya saloon kosa , usipomtumia vocha kosa, usipomtafuta kosa usipoenda kwenye HAPPBIRTHDAY yake na zawadi kubwa mmeachana,hawa wanaakiri fupi zaidi ya njiti ya kibiriti na usipokuwa makini anakufirisi na huwa siyo watafutaji ukijidanganya ukamwambia unampenda anakuomba hela kila siku anakugeuza CRDB , ukimwambia nakupenda basi atakuomba hela utafikiri anakuda ni kundi la wasichana ambao huwa wanataka mambo yao yafanyike wanavyotaka wao bila kujali ugumu au historia za maisha familia zao , katika umri huo wakina dada hawa wanakosa MISIMAMO .

katika umri huo wa miaka 20-28 ni rahisi kubadilisha wanaume au mabwana , maana wakina dada wengi huwa hawajui ni nini wanataka katika misha yao , kipindi hiki vichwa vyao vinakuw vya moto mno , anaweza akatembea na wanaume zaidi ya 15 kwa mwaka au pengine pungufu asipopata kile anachokitaka japokuwa siyo wote wanaweza kuwa na tabia hii ya kishetani ila wengine huweza kutembea na wanaume zaidi ya 20 ndani ya siku 600 asipopata anachokitaka , katika umri huo wasichana wengi wanajikuta wamezalishwa , wasichana wamepewa mimba na wanalea watoto wao kabla hata hawajafikia malengo yao, kuna wasichana wengi mno mtaani wana watoto wasiokuwa na baba na hata kama wanao basi baba zao hawaeleweki , kuna wengine wameolewa na kuachika katika umri huo huo na wamepoteza utamu wao wa asili ,
ukirogwa ukaachana naye yeye anafanya bifu ya atakuandikia mabango kwa stutus mpaka ukome na kwa hizo tabia zao za kuazima wanajikuta wanaachika na kuachana na wanaume ambao pengine walifaa kuwa waume zao lakini wanakuta wanahesabu mbaramwezi mpaka wanafikisha miaka 27/30 bado hawajielewie elewi .

Mara nyingi huwa hawana malengo makubwa ya kimaisha katika 100 unaweza kuta 1 katika 1000 utawakuta 10 na kati ya 10000 ni 100 , hata kama yupo chuo na ana elimu nzuri tu lakini bado hajui anataka nini..?? ,huwa wanaishi kwa matukio na wanakuwa na visherehe vingi mnoo , wamejaa mitandaoni na mtaani , hawa utakuta wamepost "AM BLESSED" utawakuta wamepost "NO ONE CAN JUDGE ME " na kwenye stutus zao kumejaa majungu na mabango mengi lakini pia unaweza ukakuta wameandika "I LOVE JESUS , lakini pia ni Wanashinda sana kwenye maombi , utakuwakuta wamepost wamebinua makalio juu mfano wa kasuku na mara nyingi wana majina feki , utawakuta wanajiita rockgirl , wanajiita badgirl Na de cute au cute baby na ukimfatilia kwa kina unashangaa anaitwa MWANAHAWA au ATUPELE , ANGANILE, HALIMA , NYASIGE au NYANGOSO , lakini kwenye mtadao anajiita CUTE BABY au De Cutest , wanamajina ya ajabu ajabu na wanaishi maisha ya watu wengine , ukienda mbali zaidi wengi wao wanajiita Role model , disgner na mafashionist wengine video queen, wao wanataka kuvaa kila nguo inayoingia sokoni, wanataka simu kali, wanataka kupendeza na kwenda sehemu za starehe kujivinjali mara nyingi huwa wanapanda na kushika mwezi huu kapendeza mwezi huu ovyoo na asipokuwa na nguo mpya basi haendi popote .

kuolewa siyo kipaumbele chao , japo wengine wanataka kuolewa ndiyo lakini miili yao haitaki ,wengi wao wakifikisha umri fulani wanatamani kuwa na watoto lakini kulea hawataki na akipata mimba anatoa kisa ati mda bado hataki kujizehesha anagopa atachekwa akionekana na mimba, kujijenga au kufanya biashara siyo kipaumbele chao , kupanga maisha siyo kipaumbele chao , wao wanaangalia leo tu kesho hawaitambui , siku zote huwa wanatembea na watu waliowazidi umri ,wanatembea na baba zao , hawaangilii umri wala sura wao wanangalia pesa na vitu maana siku zote wanaongozwa na tamaa na matamanio, wapo bize na ukimuuliza unaolewa au unazaa lini atakwambia anakula maisha, hawa waliowengi wanaishia kuwa machangu na wengine ma bar made na wengine wadangaji wakubwa mjini , wengine wanazalishwa ovyoo na wengine wanakuwa wadangaji na matapeli wa mapenzi maisha yao yote , hata kama wakiolewa ni ugomvi kila siku maana bado wanahitaji uhuru wao na wakiwa kwenye ndoa inawachukua mda mrefu kuzoea maisha ya ndoa, ukimfatilia kwa macho ya kawaida utagundua siyo kwamba anakula maisha bali analiwa na mmaisha, wanataka simu za bei mbaya na hapo hapo hata banda la nyanya hana , dada yangu unanijidanganya hakuna anayekula maisha bali maisha ndiyo yanakula watu,na hawa ndiyo wale wanaogopa kuzaa , wanaogopa kuolewa utawasikia mimi siwezi kuolewa wanaume wenyewe wako wap ..? Ngoja kwa nitaolewa nikiamua na hawa hata kama wakiolewa wanaachika , anakwambia anakula maisha unashangaa ndani ya siku kadhaa kadungwa mimba tena yupo kwao .

Hawa mara nyingi siyo wa kweli , siku zote ni waongo waongo , wanaishi maisha ya kwenye movie , hawaishi maisha yao , atakwambia mimi ugali silagi bali nakulaga baga na piza , atakwambia bia huwa hanywagi yeye anakunywa red wine , atakwambia hawawezi kutembea kwa mguu mpaka kwa gari au pikipiki , hawa ndiyo wale ukimpelekea zawadi ndogo atakwambia hii zawadi haiendani na hadhi yake , mda mwingi wanapenda kutumia zaidi kutafuta , maisha yao kwenye mitandao ni tofauti kabisa na mtaani , kwanza hawajiamini kila saa wamevaa mawigi , hawawezi kutembea bila wigi , kwao kuna shida lakini yeye anataka kuishi kama mbele , hawa ni wale wanajiita Expensive bitches anajua huna uwezo wa kununua gari atakwambie umnunulie gari maana amechoka kutembea kwa miguu ,kuna wengine usipokuwa makini anakugeuza baba wa familia , hata pete hujamvisha lakini matatizo yote yakwake na familia yake atayahamishia kwako ,siku zote katika umri huo ni wavivu wa kufikiri na kufanya kazi ,kingine ambacho ni mapungufu makubwa kwao ni kwamba wanadanganyika mapema mno yaani wanachezewa na kutumika katika kitu kidogo sana , piaa wanamatumizi mabaya ya muda na pesa na ni wepesi wa kutukana na kutoa lawama endapo tu watakosa wanachokitaka , wanakuwa wapole na watu wema na wazuri sana wanapokuwa hawana kitu pia wanakuwa wakorofi na nidhamu mbovu wanapokuwa wamepata kitu pia wengine wanakuwa na adabu na heshima pale wanapokuwa na kitu .

Anaweza akapata 200000 ikakatika ndani ya wiki moja au siku moja ,hawa ndiyo wale ukimwita muende mkapate Lunch mahala atakwambia anakuja na marafiki zake, siku zote wao hawako sawa na hawajiamini kama wao ni wazuri na mara nyingi hawajikubali kabisa na ndiyo maana siku hizi wanaongeza makalio yao kwa madawa ya kichina , wanaongeza matiti yao ili waonekane wazuri kuliko fulani wanasahau kwamba Mungu alivyowaumba hivyo hakukosea , yaani akiangalia kucha zake anaona haziko sawa , akiangaliaa kichwa chake anaona hakipo sawa akicheki kope anaona zinahitaji marekebisho , akijiangali midomo yake anaona inahitaji lipshiner , akiangalia nyusi zake anaona anahitaji kuchonga , akicheki nguo zake anaona anahitaji mpya , ukijicheki vizuri anaona amekosa saa nzuri mkononi , akicheki vizuri anaona ngozi yake ni nyeusi sana anahitaji kujichubua kidogo na kujipiga mapoda poda ili akae sawa , sasa wao hivyo ndiyo vitu muhimu hawajawahi kujikubali maisha yao yote huwa wanaishi kwa wasiwasi kila apitapo, huwa hawajikubali kabisa na pia kujiamini kwao ni mtihani wa hisabati .

Madhara yake ni makubwa mno , kwa kuwa hakuna kiumbe kitakachoishi milele isipokuwa NENO LA MUNGU PEKEE na vile vile hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho lakini pia tambua hakuna hali ya kudumu hapa duniani na pia historiaa inatabia ya kujirudia siku zote , ukimfanyia mtu wema utalipwa kwa wema , ukimfanyia mtu mabaya utalipwa kwa baya , mkumbukeni Mungu daima lakini tunakumbushwa kuwapenda maadui zetu , dada zangu wanajikuta kuwa sugu wa maisha yao wenyewe na kujikuta wamezalishwa hivyo wanaishia nyumbani kwao na kuolewa inakuwa mtihani kwao , wengine wanapoteza vizazi vyao hivyo uwezo wa kuzaa tenaa unakosekana na kujuta maisha yao yote , wengine wanakuwa wadangaji wakubwa mjini kuolewa imeshindikana hivyo wanabaki hivyo hivyo mpaka kuzeeka kwao, wengine wanageuka kuwa wafanyabiashara ili kujitafutia riziki maana unakuta hana chaguo lingine tena na umri umesoge , kulingana na maisha waliyokuwa wakiishi wanajikuta wameambulia magonjwa au kupoteza heshima na utamu wa mwanamke .

Wapo ambao wanafanikiwa kuolewa lakini pia wanafanikiwa kuolewa na kuachika baada ya mda fulani kwani hawajazoea kuishi maisha ya ndoa hawawezi kuvumilia shida , huwezi kuishia hapo kuna wengine wanageuka kuwa malaya na machangu walikubuhu na kushindikana mjini maana wanageuza miili yao kama ndiyo kitega uchumi chao pekee kilichobakia , madhara yake ni makubwa maana wengine wanaachika zaidi ya mara mbili au mara tatu na kupoteza heshima kwa familia na taifa kwa ujumla , wapo wengi mtaani wanaamua kutafuta mtoto hata mmoja ili asije kufa bila kuacha chata , tatizo lingine ni kwamba wanageuka kuwa mizigo kwa wazazi wao maana wanakuwa wamekata tamaa lakini wengine wanapoteza uaminifu na imani kwa wanaume na ndiyo hawa utawasikia wanaume wote ni mambwa tu , ndiyo hawa utawasikia wanadai wanaume wote ni mang'ombe tu , huwa wanakuwa na lugha chafu kwa wanaume , kuna ambao pia wanaamua kuolewa na wazee waliowazidi umri au wanaaumua kuwa wake wa pili, kunaa wengine wanapambana na kujikwamua kiuchumi ili maisha yaendelee ili wasikose pa kushika.

Siku zote daima maisha yako ni vile unavyoishi , ukileta mzaha maisha yako yatakuwa na kimzaha mzaha , ukishindwa kujisimamia mwenyewe basi hakuna atakaye kusimamia , mafanikio yako ni kipimo cha akili yako , hivyo ulivyo leo ni matokeo ya mienendo yako ni matokeo ya maamuzi yako ambayo iliyachukua miaka 5 au 10 iliyopita , ukishindwa kutambua kwamba kuna kesho basi yako ya baadae yatakuwa ya ovyo sana kumbuka ukipandacho ndicho utakachokivunaa , katika haya maisha kuwa mtu wa kujifunza na kujirekebisha pia , usipende kutaka mafanikio ya haraka haraka maana yana gharama na hutaweza kuikwepa hapo baadae , maisha ni mchakato wa miaka mingi sana mafanikio hayaji ndani usiku mmoja ndugu yangu , tembea na mda bila kusahau umri wako , watumie watu waliokuzunguka kuyafikiq mafanikio yako , ishi kwa amani iwezekanavyo usimuhukumu mtu usiye mjuaa na hata kama unamjua pia huna malmlaka ya kutoa hukumu , usimdhurumu wala kumdhuru mtu yoyote yule , usilipize kisasi kwa chochote kwa mtu yoyote yule maana MUNGU WETU HACHELEWI KUJIBU .
Naomba no yako nkutumie 10k ya supu
 
Back
Top Bottom