Wasichana huwa tunaoverlook

Wasichana huwa tunaoverlook

we Dada nawe UKAWA wewe nawapendajeee.maana humu Team girls wao ni kushikilia msimamo tu hatakama hawako saw a.ila ujiandae watakuandamajeeee
 
Wengi wetu tunavyojadili mjadala huu, ni dhahiri kuwa tunatamani baadhi ya mambo yabaki mioyoni mwetu badala ya kuwekwa hadharanii.

Kwa mfano ukianzisha mjadala wa weusi vs weupe, utajikuta unashambuliwa kama umeua ingawa mitaani kwetu tumeshajizoesha, kwa mfano utamsikia mtu anasema "Leila amejifungua katoto kazuri, keupee" au utawasikia mademu wawili wakipiga umbea "lile libaba la jana, limenipigia...akasemaje ?..sijapokea apeleke ujinga, nipeleke wapi ule mkaa" mifano yote hii miwili inasema kuwa tuna yetu yaliyo moyoni ambayo tunaona ni dhambi kuyageuza mjadala.

Ingawa wengi mnamshambulia mleta uzi, bado naunga mkono hoja ya kuchukua tahadhari ingawa matokeo tumuachie Muumba...mfano kama Mwanaume ni mweusi na sura hujajaliwa, basi fanya hima uoe binti maji ya kunde hivi ili walau KUneutralize bana....cheki watoto wa Prof Philemoni....kina Maria.....
 
we Dada nawe UKAWA wewe nawapendajeee.maana humu Team girls wao ni kushikilia msimamo tu hatakama hawako saw a.ila ujiandae watakuandamajeeee

Mkuu wewe ni me au ke? Samahani lakini
 
Unapochunguza vigezo hivyo ni vizuri ukajiangalia na wewe upoje....af ukiolewa na baba mzuri una uhakika wa sura za watoto wako zitakuwaje???
Umenikumbusha kuna siku mwalimu alitoa mfano kama huo darasani...... Alisema kuna kijana alikuwa na machaguo mawili ya kuoa. Chaguo la kwanza mdada alikuwa sura ndo vile tena ila kichwani yuko fit vibaya mno. Mwingine alikuwa mashallah ila kichwani ziro....kijana yeye alikuwa sura ya hivyohivyo tu ila kichwani yuko fit. Akapiga calculation za kibinadamu akasema ntaoa huyu mzuri mtoto akizaliwa atachukua sura ya mama na akili atachukua ya kwangu (as if yeye ndo anaumba na kugawa vipawa) Akaoa ila mtoto alipozaliwa matokeo yakawa tofauti...akili ya mama sura ya baba.
Wakati mwingine tuwe tunaacha nature iamue sio kila kitu ni cha ku-calculate.

Uwiiiii mkuu utaua mbavu hahahaaa
 
Dada mwanaume hasifiwi sura!Pinda cheki chombo alicho nacho!Mcheki handsome Wasira bibie wake!

mi napenda mwanaume anaejitambua tu basii hata awe kama pinda haijalishi mradi awe na sifa zingine zote za kiume
 
mi napenda mwanaume anaejitambua tu basii hata awe kama pinda haijalishi mradi awe na sifa zingine zote za kiume

Yani huyu mizengo pinda angekuwa anasoma hizi komenti zenu sijui angekuwa anajisikiaje maana ameshakuwa case study nchi hii kuwa ni mtu mwenye sura mbaya.tusimkosoe muumba jamani.
 
Wengi wetu tunavyojadili mjadala huu, ni dhahiri kuwa tunatamani baadhi ya mambo yabaki mioyoni mwetu badala ya kuwekwa hadharanii.

Kwa mfano ukianzisha mjadala wa weusi vs weupe, utajikuta unashambuliwa kama umeua ingawa mitaani kwetu tumeshajizoesha, kwa mfano utamsikia mtu anasema "Leila amejifungua katoto kazuri, keupee" au utawasikia mademu wawili wakipiga umbea "lile libaba la jana, limenipigia...akasemaje ?..sijapokea apeleke ujinga, nipeleke wapi ule mkaa" mifano yote hii miwili inasema kuwa tuna yetu yaliyo moyoni ambayo tunaona ni dhambi kuyageuza mjadala.

Ingawa wengi mnamshambulia mleta uzi, bado naunga mkono hoja ya kuchukua tahadhari ingawa matokeo tumuachie Muumba...mfano kama Mwanaume ni mweusi na sura hujajaliwa, basi fanya hima uoe binti maji ya kunde hivi ili walau KUneutralize bana....cheki watoto wa Prof Philemoni....kina Maria.....

Mpendwa mjombaangu RIP aliniusia akaniambia " Anko jitahidi oa mwanamke mzuri na mrembo hata kama ana tabia mbaya, kwakuwa tabia inarekebishika....!!!" Hakutaka kumalizia huko kwingine ila nilimsoma
 
Back
Top Bottom