Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

Mkuu! BBC ni kituo cha habari ambacho kipo nje ya Tanzania na Africa, lakini wana ofisi zao hapa Tanzania muda mrefu sana, tena kwa taarifa yako, ofisi kama majengo yao binafsi zilizinduliwa mwaka jana na katibu mkuu mstaafu wa AU, Salim Ahmed Salim. Ukibisha hapa nitakushangaa sana.

Daah zinc ndugu yangu kuna mambo mengine ni bora kukaa kimya tu kuliko kujifanya unajua kumbe unachemka!

ok tufanye bbc wana ofisi bongo lakini salim kikeke kachukua tuzo na vipindi vyake vinarushwa kutokea London uingereza ambako ni nje ya nchi sijui kama ume nipata?

Na dongote huyo huyo ana ishi bongo na muziki wake unachezwa sana bongo lakini wimbo wake kafanyia video nje ya nchi.

Nani alistahili kuwepo kwenye mtanange?

wake up son!!
 
Last edited by a moderator:
Wameona diamond hana mpinzani mkuu so wameamua kumbebabeba kiba wakidhani ndo atakuwa mpinzani wa diamond

Wizkid nadhani ulimuweka ww labda" alikuwepo Sarkodie tu ambaye yupo tena mwaka huu huyu pia ashawahi kuchukua hii tuzo. Ye ndo anabahat na tuzo hizi ni best Rapper in africa. Toofan, Mafikizolo, Tiwa savage, Davido ndo walikua na diamond last year

Nimepiga sana sana just like 20 times mana zilikua kura kichaa zile unapiiga tu uwezavyo ukipata bando.

We hujui kitu tulia. Kama unafatiliza tuzo za BET ni ngumu kwa msanii kutoka african best act kuchaguliwa mara 2 mfululizo" angalia ambao diamond alichaguliwa nao last year kama kuna hata mmoja yupo tena. Lakn kwan wameshuka hapana. Bt unaweza ukarud kuchaguliwa tena by next year kama alivyorudi WizKid au Sarkodie ambao waliwahi kuchukua huko nyuma.

Hivi kibaya kinapendwa? Kichwa unafugia nywele tu.

Yani wamezingua kinoma. Eti Nani kama Mama ndo video bora. Hv wanajua video bora. #Xo ya Joh ndio video yenye viwango inapigwa na Tv stations kibao kubwa africa. Wema kabaki wema wa Instagram tu kazi hamna. Papasa sijui papasi sijawahi hata kukisikiliza icho kipindi. Wamechemsha

Sio tuzo za kujaza ukumbi mkuu ni tuzo za wasanii wanaopendwa mashabiki wa diamond wanafiki wote wanampenda kwa maneno tuu ndio maana kura zake hazijatosha

mmefanya hii kitu au?@nifah
 

Attachments

  • 1432372050044.jpg
    1432372050044.jpg
    30.3 KB · Views: 204
na hii jeee
 

Attachments

  • 1432372586848.jpg
    1432372586848.jpg
    32.2 KB · Views: 178
  • 1432372598373.jpg
    1432372598373.jpg
    43.9 KB · Views: 175
  • 1432372609029.jpg
    1432372609029.jpg
    49.6 KB · Views: 172
Matumbo punguza ushabiki, hakuna category ya muigizaji bora wa kike bali muigizaji anayependwa zaidi wa kike, watanzania tumieni akili kuchambua mambo.

hahaaaaaas leo leo
Hivi nyie kila tuzo zimekuwa mbaya kwenu, Tuzo za watu hazifai, KTMA hazifai, BET hazifai hahahhaha basi tunawashauri anzisheni tuzo zenu ili mpeane huko kwenu kama tuzo za H baba

hhhhahaaaaa
Team daimond mmepanick nini???

Muwe mnapiga kura

Kupokeleqa na utitiri wa watu hakusaidii kama hampigi kura

Hata mjaze uwanja wa taifa kama hampigi kura haina maana
km hv
Muulize Boss wako Diamond alikuwa anampendea nini Wema? Na followers wa Wema wanampendea nini? Hivi mpaka mashabiki wake wameanzisha Team Wema bado unamuona hana influence kwa watu anaofanana nao akili?

Hilo suala ndo mnalijua mwaka huu baaada ya msanii wa kimataifa kukosa tuzo?

Wewe kilaza hapa tunazungumzia tuzo, kama unataka kuzungumzia mapenzi ya watu wasubiri wenzio muanzishe uzi.. Ushaniona ata siku moja umu najadili mapenzi ya yoyote? Mwanaume unakuja hapa na hoja ya Diamond alimpendea nini Wema!

Kama ni tuzo aliwekwa kama muigizaji, na alipigiwa kura kama muigizaji.. Ndio maana nikauliza 2014 alicheza movie gani akapendwa?

Wengi wanaolalamika hata kula hawakupiga
km hv

Ooh yaan ww et bet wamechaguliwa wakenya tu ww unafatilia bet wapi we ongelea mambo ya Ktma bet nyamaza sasa ngoja nikuambie kwny bet kuna mtz anaitwa Millen magese anatuzo yke ya international global good award recipient huyu millen ndo yule happiness magese aliwahi kuwa miss Tanzania so sio Kenya tu hata tz tupo tena yeye ana haja ya kupigiwa kura iyo tuzo ipo tayari kwajili yke
poleeeeeeeeeee
 
Wema ameigiza movies gani hadi apendwe au ni tuzo za mtu anaeandikwa sana na Shigongo.

Hivi leo ukiitisha show kati ya kiba na Diamond mkoa wowote Tanzania nani atajaza ukumbi.

hizi tuzo ndio zinazomfanya Diamond zaidi kuwa juu na ajitume zaidi.

Juzi Diamond kafunika London wakati wengine hupigia show kwenye sebule za wabongo huko majuu

Jana kapokelewa kama Mfalme Mwanza, na Bado Mond atazidi kuwacharaza bakora tu
hizi tuzo zinaitwa tuzo za watu
nakuhakikishia kama utafanya show ya bure KIBA anajaza kuliko PLATINUM
avarage joes wengi ni wafuasi wa KIBA, platinum anaweza kumzidi KIBA ikiwa show ni ya bei ghali tu not otherwise

uswazi KIBA anauzika zaidi ya PLATINUM
 
Hivi Wema kaigiza filamu zipi mwakahuu na mwakajana?

Waseng* sana hao, sijui wanawaza kupitia makalio, yani tumefikia stage mbaya sana, kwa mtindo huu tutaendelea kuua vipaji, eti muigizaji dah riyama wa watu kasota ata tuzo hapat dah inauma
 
Hakuna tuzo hapo ni ujanja ujanja.. Tangu walipozitoa video za Mdogo Mdogo na Ntampata Wapi eti kwa kigezo zimefanyiwa South Africa nikazitoa maana hizi tuzo... Kama unakataa kuishindanisha video kwa kuwa imefanyiwa nje ya nchi, inakuwaje unamshindanisha Mtangazaji anaefanyia kazi yake kituo cha nje ya nchi na wa ndani ??.

Eti papaso ndio kipindi kinachopendwa duh.. Mtu ajawai kucheza movie ata moja ndani ya mwaka 2014 ila anakuwa muigizaji bora wa kike mwaka 2014.

WOnders shall never end
 
Hao watu ni gani ? coz kisiasa watu a.k.a wanainchi a.k.a wabongo tumegawanyika kwenye makundi mawili...wanainchi wa kawaida na wasio wa kawaida.

Na hizi tuzo si ndio zile Vanesa alishinda mwaka jana, kama mtangazaji ili hali watu tisa kati ya kumi wanamtambua yeye kama mwanamuziki na hawajui anatangaza kipindi gani na kwenye redio gani.
 
Blandina chagula au maarufu kama Johari, ndiye msanii wa kike pekee aliyeleta changamoto kwenye tasnia ya filamu nchini, mwanzon kabisa mwa mwaka 2000, alifanikiwa kuliteka soko la filamu nchini na kiwateka mashabiki zake pamoja na kujizolea umaarufu ndani na nje ya nchi, ila mpaka LEO sikumbuki kama huyu msanii aliwahi kupata tuzo ata ya u undergroung.

Ni vizuri mkawaonea watu huruma jinsi walivyojitolea maisha yao yote kwenye sanaa, mnawavunja moyo sana, yani apa natamani ata kulia,nimeumia sana yani, hali inatisha sana kwa kweli kuona jasho la mtu mwingine linaliwa na mwingine
 
Ukiwa mtanzania inatakiwa ifike kipindi ujifanye kama mjinga ilicku ipite tu pongezi zinzenda kwa bosi kazi kafanya secretary wajalibu kukumbuka michango ya watu pole Johari
 
Mie naona nilipitwa wema muvi gani aliigiza mwaka 2014?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom