Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

eti nyie mlipiga kura au yanawatoka tu hapa
mmxiiiiiuuuuuuuuuuuu kwendeni huko
mineno mingi kura hampigi
hovyooooooooo
 
Mnalalamika ila mlipigia kura huyo daimond au huyo riyama?
 
Matumbo punguza ushabiki, hakuna category ya muigizaji bora wa kike bali muigizaji anayependwa zaidi wa kike, watanzania tumieni akili kuchambua mambo.

category inasema muigizaji anayependwa na watu kwa mwaka 2014??!!.. kama una akili kidogo tu itabidi uelewe kuwa huyo Muigizaji lazima awe ameigiza kwa mwaka huo husika...

je wema ameigiza movie gani??
 
category inasema muigizaji anayependwa na watu kwa mwaka 2014??!!.. kama una akili kidogo tu itabidi uelewe kuwa huyo Muigizaji lazima awe ameigiza kwa mwaka huo husika...

je wema ameigiza movie gani??

Ebu nisaidie aiseh, hawa wana akili nzur kwel? AU walitaka wafuraishe watu tu
 
Mimi naongea facts.. Mwigizaji anapendwa vipi bila kuwa na movie? Ebu tueleze amependwa baada ya kucheza movie gani 2014?.. Acheni hizi fitina kama hamziwezi mtaumbuka tu siku moja.

Natafakr apa mpaka ubongo unauma, why wampe tuzo wema? Kwa filamu ipi labda?
 
Natafakr apa mpaka ubongo unauma, why wampe tuzo wema? Kwa filamu ipi labda?

Hahahaaha ndugu fanya kujisumbua kidogo nenda kwen vibanda vya filam za kukodisha utapataaaa hahahah! Unafikir waandaaji ni mamburula kama wwwe mpaka wamweke kwenye category huku hakuna movie aliyorelease 2014????? Na ulikuwa wapi kukomplain wakat tuzo zimetangazwa? Hahahhahaahahah leo tulieni tu
 
Wema anapendwa bwana hata kama hana movie nyingi ila mvuto kwa watu anao hata kama watu wake hawana akili lakini wanampenda na niwengi kwa hilo ni sawa kabisa apewe tuzo jaman kha mbona tunakua hvo hata kama mnamchukia mtu siyo ivo jaman
 
Kutuonyesha kuwa Wema anapendwa kuliko Riyama huu ni utani wa karne.!!
 
tulia na ushabiki mandaz wako kwan apo ulipo unasheherekea nn?

Wewe hujioni ulivyo shabiki hamira? Kazi ku exaggerate mambo tu.
Unataka ujue ninachosherehekea....hakuna cha zaidi ya King Kiba kuchukua tuzo.Kura zangu hazijakwenda bure, kwanini nisisherehekee?
Eti Kiba ajitokeze aseme kua hakustahili! Pole sana! Na bado, maumivu yakizidi kunywa hamira upasuke!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom