Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

Sasa ndio utuambie wewe, ulitaka Diamond arudi BET kwa wimbo upi labda kwa mfano? Maana BET wanachoangalia ni msanii yupi anahit na kwa wimbo upi na lazima kuhit huko kuvuke mipaka ya nchi, sasa labda ulitaka ule wimbo wa tarabu na khadija kopa ndio umepeleke BET?

Ofcoz c kwamba nimeona diamond kaonewa kutochaguliwa BET hapana its fine tu mana Sauti soul nyimbo yao Sura yako imehit wamedeserve. Kwangu m naona ni poa tu ziko fair ila anauwezo mkubwa wakurudi tena ndio nichoamini. Hajashuka anazidi kupanda
 
Billionare Dangote yupo kwenye BET? Na ni kwa nini hayupo? Hii ni tafsiri yake yake anapanda au anashuka? Punguza povu na mimate yako.

Kiongozi kwa hiyo we umekaa ukafikiri ukaona msanii asipokua nominated BET ndo kashuka😕. Kinadavido mwaka jana walikua nominated na wakachukua lakini mwaka huu hawajawa nominated kwa hiyo ndo wameshashuka teari:what:?

Magwiji wa muziki wa Africa P square wameshashuka teari🙄
 
Kipindi anachotangaza Salim Kikeke kinataalishwa, kinazalishwa na kurushwa uingereza, huku tunapokea tu. Video za Diamond za Mdogo Mdogo na Ntampata Wapi zimefanyika na kuzalishwa South Africa ila zinachezwa na kuwa requested huku ..

Kikeke kila kitu chake kinafanyika nje ya nchi akaingizwa kwenye mchakato na watangazaji wa huku.

Diamond video zake zimefanyika nje ya nchi wakakataa kuziingiza kwenye mchakato eti sababu zimefanyika nje ya nchi.

We uoni kuna kitu akijakaa sawa hapa? Mtu akihisi wanamuhujumu anakosea hapa?

Uwezo wako wa kufikiri mimi naukubali sana U'a such a GT!!
 
Wengi mnaotokwa na povu hata kura hamkupiga, mlitegemea hao mnaowashabikia watashinda kwa porojo mnazoendekeza kwenye mitandao? Acheni ushamba, kosa hili sitaki lijurudie october tukajiandikishe ktk daftar la kudumu la wapiga kula na tupige kula ili hata tukilaumu tuwe na haki ya kufanya hivyo.
 
Hizi tuzo mfumo wake wa kupiga kura kwamba mtu mmoja anaweza kupiga kura mara zaidi ya moja...
Sasa unaposema kwamba ni tuzo za watu, alafu kwamba mtu mmoja anaweza kupiga kura hata mara mia moja..haireflect kwamba huyu mtu anapendwa na watu wengi zaidi.. kwa msingi huo bhasi matokeo yake haya reflect ukweli kwamba msaniii fulani anapendwa na watu wengi..ila huenda akawa anapendwa na watu wachache ila wamepiga kura mara ningi zaidi....

Kwa msingi huo tuzo za watu hazina validity kwa msingi kwamba ni tuzo ambazo anapigiwa kura msanii, na msanii anaeshinda kwamba ni anapendwa zaidi na watu wengi zaidi...

My TAKE..
Next time waandaaji wanatakiwa waangalie njia nzuri ambayo watu watapiga kura pasipo kurudia ili kupata valid namba ya idadi ya mashabik wanaompenda msanii........

Lastly napenda kuwapongeza wasanii pamoja na watangazaji walio shindaa

Kiba for real

Wema

Kikekeee

Millad ayo

Jdeeee

N.b kwa walio shindwa wajipange upyaa

Kwani huyo aliyepiga mara elfu moja si mtu??? Kwani hao waliokosa walikatazwa kupigiwa mara 1000??? Hahhaha
 
Wema ameigiza movies gani hadi apendwe au ni tuzo za mtu anaeandikwa sana na Shigongo.

Hivi leo ukiitisha show kati ya kiba na Diamond mkoa wowote Tanzania nani atajaza ukumbi.

hizi tuzo ndio zinazomfanya Diamond zaidi kuwa juu na ajitume zaidi.

Juzi Diamond kafunika London wakati wengine hupigia show kwenye sebule za wabongo huko majuu

Jana kapokelewa kama Mfalme Mwanza, na Bado Mond atazidi kuwacharaza bakora tu

Hata yamoto band walijaza UK hahahaha acha usahaulifu bana, na shoo ya mwanza inajumussha wasanii zaidi ya 7 wakiwemo kina chege na barnaba upoo, so usifikir mashabiki wote ni wa domo hahahhahaha kuhusu bodaboda jana ziliandaliwa na waandaaji wa shoo kina jembe hahahhahahaha jamani hata tuzo za MTV, billboard huwa zinalalamikiwa na wakosaji, so kubalini hizi mmekosa, kazeni buti BET, AAAAH nilisahau kuwa nazo hammo.hahahhaha
 
Hahahahahah eti Domo anapendwa na watoto, waambie kina Luca bongo 5 walete data za mchakato wote ulivyokwenda hapa alafu tuone nani ni mshindi wa watu. Subiri baadae Mwanza urudi kuzungumza anapendwa na watoto au dunia nzima.

Hahahhahahaha leo jaman tulieni mjipange kupiga kura
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom