Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,338
Kutuonyesha kuwa Wema anapendwa kuliko Riyama huu ni utani wa karne.!!
Hahahahaha thread umeijaza wewe! Kila dakika una neno jipya!
Tulia wewe, japo dawa chungu inywe hivyohivyo.
Kutuonyesha kuwa Wema anapendwa kuliko Riyama huu ni utani wa karne.!!
Kutuonyesha kuwa Wema anapendwa kuliko Riyama huu ni utani wa karne.!!
Hahahahahaa, maneno ya mkosaji haya.Inaumaje?
Lakini nyie si wakiintaneshino jamani? Tuzo local zinawaumia nini?
Yaan wangerekebisha tuzo ingekua inapigwa mara moja tu ,,unadhan naumia wala
idawa kachanganyikiwa....hahahahaRiyama wampenda wewe siyo siyeeee hahahaha! Usimsingizie riyama bana sema tu una chuki na wema, hizi kelele mbona hukupiga wakat majina ya washindani yalivyokuwa released?? Hahaha halafu wewe unaweza kuwa ni mmoja wa washindani ila umekosa tuzo hahahahah!!
nifah kwani wewe ulipiga mara mia ngapi hizo kura.?Wewe hujioni ulivyo shabiki hamira? Kazi ku exaggerate mambo tu.
Unataka ujue ninachosherehekea....hakuna cha zaidi ya King Kiba kuchukua tuzo.Kura zangu hazijakwenda bure,kwanini nisisherehekee?
Eti Kiba ajitokeze aseme kua hakustahili! Pole sana! Na bado, maumivu yakizidi kunywa hamira upasuke!
Hizo tuzo bora zifutwee tu tuzo gan za kupiga unajirudiaaa mara miaa
simple tu, na nyie mnepiga mara mia mia....
Nilimpa Kiba kura yangu, na anastahili alichopata!!
Kwanini hamkusema haya wakati wa mchakato wa kuanza kupiga kura?
Yaan wangerekebisha tuzo ingekua inapigwa mara moja tu ,,unadhan naumia wala
Hata nyie timu yake mngempigia hata hivo hivo Mpaka zifike million moja asiye kubali kushindwa si mshindani. Mnyonge mnyongeni lakini haji yake mpeni. Wenu akishinda ni sawa mwingine ni kosa loh.Hata last year zilifanyika hizo tuzo mbona hawakulia lia. Kuna kitu bana.
Nilikua sifaham lakin kiba anastahili pia tuzo ,kuna huyu Ray kigosi hakustahili kabisaa
binamu ile sapraiz imekaribia just wait...!!
halafu tuzo muwe mnapiga kura
Naiogopa hio suprise nisijezimiaa mie,halaf si unajua huku sipatikani kivile siku hizii
just wait....!!!
Mkuu! BBC ni kituo cha habari ambacho kipo nje ya Tanzania na Africa, lakini wana ofisi zao hapa Tanzania muda mrefu sana, tena kwa taarifa yako, ofisi kama majengo yao binafsi zilizinduliwa mwaka jana na katibu mkuu mstaafu wa AU, Salim Ahmed Salim. Ukibisha hapa nitakushangaa sana.
Hizi ni tuzo za huruma, baada ya kuona watu wao hawana pa kutokea.Hhhhaaaaa jamani idawa kiba acha abebe tuzo jamanii na ktma atabeba tu iki asivunjike moyo jamanii
Mimi nimekosoa upigaji wa kura wa kujirudia sijasema aliepewa tuzo hajastahili