Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

Mimi naongea facts.. Mwigizaji anapendwa vipi bila kuwa na movie? Ebu tueleze amependwa baada ya kucheza movie gani 2014?.. Acheni hizi fitina kama hamziwezi mtaumbuka tu siku moja.

Hili nalo Bongo 5 wanapaswa kuliangalia uwezi ukampa mtu tunzo ya muigizaji anayependwa wakati hana kazi sokoni! Walipaswa kuweka masharti ni lazima mmpendekezwa awe na kazi sokoni ndio ingekuwa fair!
 
Last edited by a moderator:
Kipindi anachotangaza Salim Kikeke kinataalishwa, kinazalishwa na kurushwa uingereza, huku tunapokea tu. Video za Diamond za Mdogo Mdogo na Ntampata Wapi zimefanyika na kuzalishwa South Africa ila zinachezwa na kuwa requested huku ..

Kikeke kila kitu chake kinafanyika nje ya nchi akaingizwa kwenye mchakato na watangazaji wa huku.

Diamond video zake zimefanyika nje ya nchi wakakataa kuziingiza kwenye mchakato eti sababu zimefanyika nje ya nchi.

We uoni kuna kitu akijakaa sawa hapa? Mtu akihisi wanamuhujumu anakosea hapa?

Kumbuka na mwana nayo haipo imefanyika south au ndo team mond...
 
Hivi wewe unajielewa kweli? Hizi tuzo zimeanza kuwa mbaya na mapungufu mwaka huu au sio? Mwaka jana kipindi mnabeba ilikuwa inshanlah tu.

Ngoja tu watasema mpaka Mungu hayupo fair anambeba kiba maaana hawa jamaa miti inateeleza hawana pakushika...Bosi wao kashanyoosha mikono..😸
 
Nadhani wameruhusu line moja ya sim kupiga kura nyingi zaidi ili waongeze mapato. Yaani walikuwa kibiashara zaidi ila kama lengo lilikuwa nibkumpata msanii anaekubaliki zaidi mtu mmoja angepewa nafasi moja tu.

Hukuliona hili tangu mwaka jana...
 
BET East AFrica nzima wameteuliwa Wakenya tu, sasa sijui Billionare wa Tandale anapanda au anashuka?

Happines Magese kashapata tuzo yake ya BET, jipange tena au kama vp tuliza kipago
 
Wema ameigiza movies gani hadi apendwe au ni tuzo za mtu anaeandikwa sana na Shigongo.

Hivi leo ukiitisha show kati ya kiba na Diamond mkoa wowote Tanzania nani atajaza ukumbi.

hizi tuzo ndio zinazomfanya Diamond zaidi kuwa juu na ajitume zaidi.

Juzi Diamond kafunika London wakati wengine hupigia show kwenye sebule za wabongo huko majuu

Jana kapokelewa kama Mfalme Mwanza, na Bado Mond atazidi kuwacharaza bakora tu


Namkubali sana yule dogo

Anajituma.....anakomaa na maisha....

Yaani kwa sasa Its ALL against ONE
 
Eti video bora nani kama mama" hizi si tuzo za watu ni tuzo zao. #Xo ya Joh Makini ndio video bore nan kama mama ni nyimbo nzuri video mbovu
 
Djaro Arungu!!!??? mmmh!!! haya bana

PAPASO!!!?
 
Hizi tuzo Ni kwa wanaopendwa sio bora!!

hata visivyo bora vinapendwa!!

Hata timu za Yanga Na simba zinapendwa ila sio bora
 
Hakuna tuzo hapo ni ujanja ujanja.. Tangu walipozitoa video za Mdogo Mdogo na Ntampata Wapi eti kwa kigezo zimefanyiwa South Africa nikazitoa maana hizi tuzo... Kama unakataa kuishindanisha video kwa kuwa imefanyiwa nje ya nchi, inakuwaje unamshindanisha Mtangazaji anaefanyia kazi yake kituo cha nje ya nchi na wa ndani ??.

Eti papaso ndio kipindi kinachopendwa duh.. Mtu ajawai kucheza movie ata moja ndani ya mwaka 2014 ila anakuwa muigizaji bora wa kike mwaka 2014.

Yani wamezingua kinoma. Eti Nani kama Mama ndo video bora. Hv wanajua video bora. #Xo ya Joh ndio video yenye viwango inapigwa na Tv stations kibao kubwa africa. Wema kabaki wema wa Instagram tu kazi hamna. Papasa sijui papasi sijawahi hata kukisikiliza icho kipindi. Wamechemsha
 
Kweli hapa kuna makosa yamefanyika maana kama ni kigezo cha nje hata Salim kike na kipindi chake hakiku stahili kuwepo kama walivyo fanya kwa video ya mdogo mdogo!

Lakini hizi tuzo zina dosari kubwa moja ambayo ni mtu mmoja kupiga kura zaidi ya mara moja au atakavyo...hii inaweza isilete uhalisia wa tunzo maana kumbe mtu anaweza akatenga laki tatu ili kujipigia kura tuu mwenyewe!

Hili wanapaswa kuli rekebisha na wanatakiwa kuhakikisha mtu mmoja anapiga kura moja lakini si atakavyo!
Mimi nilifikiri kura za watu ndio zina hamua mshindi kumbe anaweza piga kura zaidi ya moja ambayo haileti tafsiri halisi ya tuzo za watu!

Labda kama wana fanya biashara lakini kinyume na hapo wanatakiwa kujirekebisha..

Watu waache kupotosha ukweli. Mbona hata video ya mwana haipo ila sisi hatujaongea.?
 
Wema ameigiza movies gani hadi apendwe au ni tuzo za mtu anaeandikwa sana na Shigongo.

Hivi leo ukiitisha show kati ya kiba na Diamond mkoa wowote Tanzania nani atajaza ukumbi.

hizi tuzo ndio zinazomfanya Diamond zaidi kuwa juu na ajitume zaidi.

Juzi Diamond kafunika London wakati wengine hupigia show kwenye sebule za wabongo huko majuu

Jana kapokelewa kama Mfalme Mwanza, na Bado Mond atazidi kuwacharaza bakora tu

Sio tuzo za kujaza ukumbi mkuu ni tuzo za wasanii wanaopendwa mashabiki wa diamond wanafiki wote wanampenda kwa maneno tuu ndio maana kura zake hazijatosha
 
Ooh yaan ww et bet wamechaguliwa wakenya tu ww unafatilia bet wapi we ongelea mambo ya Ktma bet nyamaza sasa ngoja nikuambie kwny bet kuna mtz anaitwa Millen magese anatuzo yke ya international global good award recipient huyu millen ndo yule happiness magese aliwahi kuwa miss Tanzania so sio Kenya tu hata tz tupo tena yeye ana haja ya kupigiwa kura iyo tuzo ipo tayari kwajili yke

Billionare Dangote yupo kwenye BET? Na ni kwa nini hayupo? Hii ni tafsiri yake yake anapanda au anashuka? Punguza povu na mimate yako.
 
Hakuna tuzo hapo ni ujanja ujanja.. Tangu walipozitoa video za Mdogo Mdogo na Ntampata Wapi eti kwa kigezo zimefanyiwa South Africa nikazitoa maana hizi tuzo... Kama unakataa kuishindanisha video kwa kuwa imefanyiwa nje ya nchi, inakuwaje unamshindanisha Mtangazaji anaefanyia kazi yake kituo cha nje ya nchi na wa ndani ??.

Eti papaso ndio kipindi kinachopendwa duh.. Mtu ajawai kucheza movie ata moja ndani ya mwaka 2014 ila anakuwa muigizaji bora wa

Kuweni na uvumilivu uongo sio mzuri, bado kivumbi cha tuzo za KTMA si ndio mtalazwa kabisa.
 
Hapana si kweli eti vdieo ya mdogo mdogo na ntampata wapi inetolewa kwa sababu zimefanyika nje ya nchi, huo ni upotoshaji mkubwa sana,

Kama ni hivyo basi inakuwaje ommy dimpoz achukue tuzo ya video bora kwa wimbo wa Wanjera ambayo ineshutiwa southAfrica na Godfather!

Watu waache kupotosha ukweli.

Dimpoz ameshinda kwa video ya nani kama Mama na Chrian Bella..
 
Wema ameigiza movies gani hadi apendwe au ni tuzo za mtu anaeandikwa sana na Shigongo.

Hivi leo ukiitisha show kati ya kiba na Diamond mkoa wowote Tanzania nani atajaza ukumbi.

hizi tuzo ndio zinazomfanya Diamond zaidi kuwa juu na ajitume zaidi.

Juzi Diamond kafunika London wakati wengine hupigia show kwenye sebule za wabongo huko majuu

Jana kapokelewa kama Mfalme Mwanza, na Bado Mond atazidi kuwacharaza bakora tu

Yani wamezingua kinoma. Eti Nani kama Mama ndo video bora. Hv wanajua video bora. #Xo ya Joh ndio video yenye viwango inapigwa na Tv stations kibao kubwa africa. Wema kabaki wema wa Instagram tu kazi hamna. Papasa sijui papasi sijawahi hata kukisikiliza icho kipindi. Wamechemsha
Kura ulipiga?siyo unalalamika tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom