Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

Mateja juzi kachambwaje na kitale? Mmh mwanaume mbea yule, si ulisikia alivyo post picha za msanii kule insta?
niliona mwehu yule kamtoa stanbakora na demu badala ya kuposgi mv bukoba
 
hhhahwhaaaaa binamu bas we joseph shalua
au luqman maloto etii eeehh

MMh binamu naona unawajua fika wambea wenzetu wa mujini, na yule bukos mpiga picha unamjua? JAmaa mbea ,ana piki pik yake ukimpigia simu ata uwe kibaha kama kuna umbea anakuja yan yule kibok, inabid shigongo awape tuzo kwa kwel
 
MMh binamu naona unawajua fika wambea wenzetu wa mujini, na yule bukos mpiga picha unamjua? JAmaa mbea ,ana piki pik yake ukimpigia simu ata uwe kibaha kama kuna umbea anakuja yan yule kibok, inabid shigongo awape tuzo kwa kwel
richard bukos nomaa kweli...
mi siwapendi kwa kweli!!
 
Hapana aiseh. Kwa tuzo mtaniita na roho mbaya binamu, hakustahili kabisa, riyama anatia huruma

We humpendi wema inajulikana lakini jua tu hizo ni tuzo za watu ungewahamasisha watu wawapigie kura hao unaohisi wanastahili, kura za watu ndo zimempa ushindi wema,
 
We humpendi wema inajulikana lakini jua tu hizo ni tuzo za watu ungewahamasisha watu wawapigie kura hao unaohisi wanastahili, kura za watu ndo zimempa ushindi wema,

Jamani team mama ubaya mwisho instagram, nenden kwa dogie masta kule mkamsifie malaya mwenzenu, asiye na elimu wala kazi zaidi ya kuhangaika na wanaume za watu mxiuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom