NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
- Thread starter
- #41
Hiyo issue ni kweli mie nimeisikia ila dau ulilotaja Nguli naona limepanda kunawatu wamelipa elfu kama 50 tu. Lakini mimi najiuliza kwanini sasa hivi na hizo hela zisije zikaingia kwenye kampeni tukaingizwa mkenge buree.
Inatehgemea na eneo elfu 50 unaishia kupewa CHANIKA
Tutaburn CD mpaka kina Nguli wafulie :confused2:
Ha ha ha ha ha