NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Serikali imetukumbuka tumepewa viwanja ndio tuko kwenye foleni hapa ofisi za SHIWATA ilala Bungoni. Kama kuna mwandishi wa HABARI aje anihoji sijawahi kuhojiwa na mwandishi hasa wa TV naomba mjee na raha sana hapa tunatoa laki 1 tu kama ada.
Kama kuna msanii ambaye hajasikia hii habari naomba mumfahamishe.
Kama kuna msanii ambaye hajasikia hii habari naomba mumfahamishe.