gwankaja Kwani kipi umewahi kuona nasifia au natoa pongezi kikawa akifai? Tuanzie hapo kwanza mpaka ushangaeNi ww mkuu [emoji38][emoji38]...
Au kuna mtu kahack acc yako?
gwankaja Kwani kipi umewahi kuona nasifia au natoa pongezi kikawa akifai? Tuanzie hapo kwanza mpaka ushangaeNi ww mkuu [emoji38][emoji38]...
Au kuna mtu kahack acc yako?
Don Clericuzio Hapa naona umeingia choo Cha kike yaani leo hii voda aende WcB amuache diamond akampe ubalozi Rayvanny au mboso kweli?Diamond anawabania kivip?ikiwa Kuna wakati anakaa Hadi mwaka bila hata kutoa ngoma imradi tu hawapromote wasanii wake kingine Ni kwamba company ndio inayopanga msanii yupi anatufaa kwa ajili ya kupromote bidhaa yao na wanakuwa na reasons zao binafsi sio Diamond ndio anapanga mzee
Kwahiyo Kama hawana ndio diamond anawabania? Ngojea nikupe mfano Leo hii tigo anaenda pale king's music anaweza akamuacha Alikiba akampa ubalozi beka flavour?Unaweza kuniorodheshea endorsements walizonazo wasanii wa WCB ukiacha Diamond?
Hio ya ubalozi angeangalia namna ya kuwapatia na wasanii wake mtu kama ray kukosa ubalozi sio fresh na mbaya ubalozi ni wa dai ila kama analazimisha na wenzie wamtangazie mfano zuchu na pepsi
Kwahiyo Kama hawana ndio diamond anawabania? Ngojea nikupe mfano Leo hii tigo anaenda pale king's music anaweza akamuacha Alikiba akampa ubalozi beka flavour?
Mimi ni mpenzi mkubwa sana wa DP lakini niuseme ukweli tu kwa hii nyimbo KAKURUPUKA na ni lazima ATULIZANE ili nyimbo yake itakayofuata iweze kukonga nyoyo za wapenzi wake na hata wasiokuwa wapenzi wake.
Sawa dogo amabokoSawa kigoma toy.
Hatuna uhusiano wowoteJikite kwenye kumshabikia Diamond na usipoteze nguvu na muda wako kumuombea mabaya Harmonize aliyeamua kwenda kujitegemea tena baada ya kumlipa Diamond million 600 ili awe huru.
Nauliza tena, innocent dependent na wewe mna mahusiano gani?
Bilnass anajitegemea lakini Rayvanny yupo chini ya Wasafi ni ngumu company ikamuacha Diamond mwenye label na jina kubwa na potential ikamfuata Rayvanny labda Rayvanny alitegemee ndio inawezekana.Hili ujue kuhusu industry ya indorsement vizuri ukimtoa Diamond msanii anayefuata na kuwa na indorsement nyingi Ni Hamisa mobetto unataka kuniambia hamisa ana jina kubwa kuliko Alikiba?hata shilole kamzidi kiba kwa endorsement.Inno mwaka gani huo domo alikaa mwaka bila kutoa wimbo?
Inawezekana sana tu kwa voda kumruka domo na kumpa ray tatizo mkataba unafikia kwa boss hivyo hata kama wameweka kiwango kidogo cha pesa anakubali hivyo hivyo bila kumfikiria mhusika.
Mtu kama billnas anapata ubalozi ila ray toka lebo inayoitwa kubwa tanzania anakosa hata kaubalozi ka pipi.
Blackpink is pure talent....yule rapper wao ni world class na lead singer ni level za beyonce
Nyimbo gani ya hovyo..?audio yenye viewers600k+ in one day,trending number 1,au uhovyo gani huo unaouzungumzia,AMABOKO HIT SONG.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshe mie, jaman tunazungumzia [emoji184] wee unachanganya na Alikiba, hebu soma vizuri hyo post uelewe , sasa kwahiyo Alikiba kutoa nyimbo isiyo kiki ndio ruhusa ya platinumz kutoa nyimbo ya hovyo na matusi? Unashangaza sana lol
Acha uhongo ni id 2 tofauti sawaWeee hujui kuwa n mtu m1 ila Id 2 tofauti.? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio mtu mmojaNi m2 m1 huyooh.
Unaijua kuwa rayvanny alikuwa ambassador wa COCA-COLA..??Diamond kazi yake ni muziki, hao walio chini yake nao kazi yao ni huo huo muziki, kwa namna moja yeye kama bosi hawezi kuruhusu hao madogo wawe juu yake.
Ndiyo maana hata endorsements zote hata zile ndogo anazichukua yeye.
Kwani kutafuta views si ndo ngoma kubamba au unatokaga bush.Hamna mziki sasa hivi, wamebaki wanatafuta views tu YouTube huku wakiwaokota mashabiki wao wapumbavu waliojazana nchini kuunga mkono mziki wa kipumbavu.
Huwez kuelewa nn kinazungumziwa, wee hebu nenda huko u2be ukawe unaview, na ndio hicho [emoji184] anachofanya anatoa hit ili apate views huko unakosemea, na sio aimbe wimbo ambao ni mzuri kwa jamii. Ukweli lazima usemwee tyuuh aaahNyimbo gani ya hovyo..?audio yenye viewers600k+ in one day,trending number 1,au uhovyo gani huo unaouzungumzia,AMABOKO HIT SONG.
Bilnass anajitegemea lakini Rayvanny yupo chini ya Wasafi ni ngumu company ikamuacha Diamond mwenye label na jina kubwa na potential ikamfuata Rayvanny labda Rayvanny alitegemee ndio inawezekana.Hili ujue kuhusu industry ya indorsement vizuri ukimtoa Diamond msanii anayefuata na kuwa na indorsement nyingi Ni Hamisa mobetto unataka kuniambia hamisa ana jina kubwa kuliko Alikiba?hata shilole kamzidi kiba kwa endorsement.
Rayvanny COCA-COLAUnaweza kuniorodheshea endorsements walizonazo wasanii wa WCB ukiacha Diamond?
Ndyo n id 2 tofaut ila mtu n mmoja.Acha uhongo ni id 2 tofauti sawa
Mwaka wa 2018 alikaa bila kutoa ngoma ndo akaja na the one.Inno mwaka gani huo domo alikaa mwaka bila kutoa wimbo?
Inawezekana sana tu kwa voda kumruka domo na kumpa ray tatizo mkataba unafikia kwa boss hivyo hata kama wameweka kiwango kidogo cha pesa anakubali hivyo hivyo bila kumfikiria mhusika.
Mtu kama billnas anapata ubalozi ila ray toka lebo inayoitwa kubwa tanzania anakosa hata kaubalozi ka pipi.