Wasafi kama wanaishiwa hivi...

Wasafi kama wanaishiwa hivi...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshe mie, jaman tunazungumzia [emoji184] wee unachanganya na Alikiba, hebu soma vizuri hyo post uelewe , sasa kwahiyo Alikiba kutoa nyimbo isiyo kiki ndio ruhusa ya platinumz kutoa nyimbo ya hovyo na matusi? Unashangaza sana lol
ndomaana nikasema kuwa swala la kwanza hapa ujue kitu kimoja kuwa huyo unayesema anaimba matusi ndo anaongoza kwa kusikilizwa na watu wengi ndugu yangu..sasa hata kama utabisha na kuchukia swala ni moja tu kuwa anapendwa..ni sawa na pale ligi ya uingereza alipochukua Leicester city sio kumaanisha timu kubwa hazipo ila zilikuwa dhoooofu bin hali
 
Ni ww mkuu [emoji38][emoji38]...
Au kuna mtu kahack acc yako?
lazima ni yeye tu sio buree..swali langu ni kwamba hizo nyimbo nzuri wanaoimba mbona hawatuwaoni...watu wanachanganya Enzi za kina king kiki na Enzi hizi...
 
wimbo alioimba bibi kudude yalaiti hatausikilize leo utaupenda vizuri tu lakini nyimbo za siku hizi wiki mbili tu chali...lakini sasa kwa huohuo wiki mbili chali bado zinaongoza kwa kupendwa sana na kutoa mpunga mrefu sana..hata kama hupendi lakini ukweli ndo huoo..ukiwauliza watoto katika 10 kuwa wanagapi wanampenda dai 9 watampenda na mmoja atakuwa upande mwingne
 
ndomaana nikasema kuwa swala la kwanza hapa ujue kitu kimoja kuwa huyo unayesema anaimba matusi ndo anaongoza kwa kusikilizwa na watu wengi ndugu yangu..sasa hata kama utabisha na kuchukia swala ni moja tu kuwa anapendwa..ni sawa na pale ligi ya uingereza alipochukua Leicester city sio kumaanisha timu kubwa hazipo ila zilikuwa dhoooofu bin hali
Poleeeeeh hicho ulichokiandika hata hakilet maana, tofauti kabisaaah
 
wimbo alioimba bibi kudude yalaiti hatausikilize leo utaupenda vizuri tu lakini nyimbo za siku hizi wiki mbili tu chali...lakini sasa kwa huohuo wiki mbili chali bado zinaongoza kwa kupendwa sana na kutoa mpunga mrefu sana..hata kama hupendi lakini ukweli ndo huoo..ukiwauliza watoto katika 10 kuwa wanagapi wanampenda dai 9 watampenda na mmoja atakuwa upande mwingne
Nenda Kule ukasikilize hapa ni AMABOKO HIT SONG OF THE YEAR.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom