Wasafi kama wanaishiwa hivi...

Wasafi kama wanaishiwa hivi...

Kukujibu ni kujipotezea muda. Unakurupuka sana mkuu. Si ulisema hajatoa wimbo 2018 sasa huu wa views 50mil si unahesabika kama sio wimbo ama. Jipange kijana
Kwani huo Nani kasema umetoka huo mwaka dogo kasome article ndo uje hapa jamvini.
 
KWANZA KABISA

Mkuu, ninaomba utambue kuwa kuna aina kadhaa za nyimbo.

kuna wimbo wa kuelimisha, wimbo kama huu hutoa mafunzo mbalimbali juu ya yanayoendelea katika jamii, mfano starehe Ferooz

kuna wimbo wa Kufurahisha/kuburudisha huu ni wimbo ambao hauna maudhui ya kutoa fundisho ila ni inaburudisha hadhira, mfano kanyaga ya mond,nyegezi nk

kuna wimbo wa masikitiko, huu ni wimbo unaotokana na jambo fulani la kusikitisha kwa mfano ule wa Mond na Mjomba kuhusu yale mabom ya mbagala

Mkuu, ninaomba anza kutambua aina ya wimbo huo kabla ya kuutolea maoni mabaya,

halaf wasanii wengi wanadesturi ya kutarget Hadhira wao, yaan wanatoa wimbo huu ili kusudi wakiwa kwenye show ndyo wimbo wa amsha amsha ya mashabiki pale jukwaani.

Mkuu, ninaamini sijakukera.
 
Huwafahamu wewe mkuu ila wao wimbo ndani ya masaa matano wana views 50million. Zuchu wako anakua na views 200 napo mpaka mtukane kiba na konde weee ndo zinaanza kupanda na kugota kwenye 1 mill
unaanzaje kufananisha bongo na Korea ??????
 
Google wameniambia alikurupuka na jibebe,sikomi aiseee hadi umeisahau
Hiyo Google ya mbao au??? sikomi ilitoka mwishoni mwa mwaka 2017 na jibebe aliitoa mwezi wa nane mwishoni 2018 yani alikaa kipindi kirefu bila kutoa wimbo. Huoni hapo unakaribia mwaka mzima????
 
Bibi yangu alishawahi nambia siku moja.... Chochote kiendacho juu kwa kasi hurudi na kushuka chini kwa kasi pia....

WCB na shughuli zao hazijakaa kimziki kwa asilimia zote.... Wapo kigenge genge sana..... Yaani kwa maneno mengine wanatumia hila nyingi sana katika kutrend na kushika namba. Hii ni kitu mbaya sana katika industry ya mziki....

Siku hizi hadi ubunifu umeshashuka kiasi kwamba genre zote ndani ya bongoflavour hazipo vema tena wasanii wanaimba style moja hakuna ubunifu bali ushabiki tu na kushindana kitoto.

Hakuna raggae wala ragga, hakuna R&B tena kuna watu wanaimba imba tu the last BONGO Flavored R&B niliisikia ni ya dogo m'moja anaitwa sijui Heri music sina uhakika ila nyimbo kwenye chorus ina maneno "twende sawa ni mambo che che che sawa sawa, ni mambo cheeeeche eee sawa" ila na ya akina makamua ya "Natamani kumuona kwa mara nyingine tena" na hata leo zikipigwa unatikisa kichwa kwa utamu.... Ila sasa hivi ni takataka tupu hakuna mziki.... Alikiba amekalia tu kale kamlio kake kama kuku sijui utasiki eeeyooo.... Basi upuuzi mtupu....
 
Ni google hio hio uliyotumia.Team domo bana huo mwaka angalieni collabo alizotoa nyie wenyewe huwa mnasema ni zake
Hiyo Google ya mbao au??? sikomi ilitoka mwishoni mwa mwaka 2017 na jibebe aliitoa mwezi wa nane mwishoni 2018 yani alikaa kipindi kirefu bila kutoa wimbo. Huoni hapo unakaribia mwaka mzima????
 
Kwan kuna tatizo gani mkuu?mbona huwa mnampambanisha na akina chris brown
angalia ni wangapi kule wana uwezo wa access smart phones ukilinganisha na huku. Ungeniambia kenya au Uganda kidogo ungeeleweka.
 
Eti kenya uganda aiseee misukule bana. Mnapojishindanisha na akina wizkid,burnboy ,davido etc huwa hamkumbuki hivi visingizio vyenu
angalia ni wangapi kule wana uwezo wa access smart phones ukilinganisha na huku. Ungeniambia kenya au Uganda kidogo ungeeleweka.
 
Kweli kabisa. Dai ni msanii mzuri ila MAPUNGUFU YAKE yanammaliza. Mapungufu hayo(maisha binafsi) ni mzigo alioubeba pa kuutua hakuna. Views za you tube ndo faraja pekee kwake.

Mapenzi yanamchanganya mno,ukiangalia kwake mambo yanafeli ila kwa ndugu zake mambo murua,wao wanajenga familia zao ila kwake hawataki ajenge wanawaza mali zake tu. Huu ni mzigo.

Muda wa kutunga nyimbo nzuri hana maana siku hizi yupo busy kusuntana na wadada wa mujini nao wameshapata kiki kila anayejifungua anamsingizia mtoto.

Studio yake ndo kila kitu. Na ni fan mkubwa wa Michael Jackson.
Jadili sana mziki wake maisha binafsi yasikuumize kichwa , hakuna aliekamilika chini ya jua
 
Namjibia halafu kumi wengi,wcb ina wasanii wa kueleweka watatu so unajibiwa endorsement tatu tu
Nandy
Kondeboy
Billnas
Hakuna mkuu zaidi ya Diamond , na wewe nakupa swali nitajie angalau wasanii 10 wenye endorsements za kueleweka nje ya WCB?
 
Back
Top Bottom