Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,520
- 2,059
FACTSasa mbona kipind nitarejea hakua mbal kama alivyo sasa? That means matusi yanalipa..[emoji3][emoji3]
FACTSasa mbona kipind nitarejea hakua mbal kama alivyo sasa? That means matusi yanalipa..[emoji3][emoji3]
shida yangu ni moja hakuna wasanii wengine wanaocopy kama yeye kwahiyo ni sawa na kusema kuwa anatukana lakini hakuna mwenye matusi mengi kumzidi..alikiba ametoa nyimbo mara ya mwisho lini na je ilikiki vipi hiyo dodo??huwezi kusema mtoto wangu anafeli mtiani alafu mkoa mzima yeye ndo wa kwanza..ndomaana kuna mwingne akipata 80 anakwambia nimefeli wkati boya mmoja akipata 25 anasema Mungu asante naongelea mathematics hapaHuyo Domokaya alishaacha kuimba 2018, saivi anatafuta tyuuh views u2be baaas, hakuna chochote cha maana n matus tyuuh khaaaaah
yaani tumsemeje lakini akitoa hata matusi nchi nzima wanaupenda..utafanya nn..unashindana ww na watu 60milionHonestly huu wimbo ni utopolo, wajipange watoe hits sio kukurupuka [emoji375]
Unamfahamu innocent dependent ?Hakuna WCB die hard fan Kama wewe,sema ni team kibamia ,WCB hatunaga kuikana CHAMA sawa.
AhaaaaahUnamfahamu innocent dependent ?
Ahaaaaah harmonize...?ambaye hata kwa mboso haingii ndo waendane nae...?
Kwa sasa domo anakimbizana na views za you tube ila angejua anajiharibia soko asingefanya hivyo,anakurupuka sana,hapo soon nadhan mwezi ujao anatoa collabo na zuchu. Kuna grup la wadada korea(blackpink sijui nimepatia jina) wanatoa nyimbo baada ya kukaa kimya kwa muda na wimbo una ujumbe mzuri na ndani ya masaa 24 wana views milion 82 you tube
note mkuu" ikifika 2025 utawasikia wcb walikuwa na nyimbo nzur 2020 kurud chiniHizi comments hata ukiangalia post za mwaka 2012 zilikua hivihivi....[emoji3][emoji3]
HamnaID yako ina uhusiano wowote na ID ya innocent dependent?
Au ni mambo ya two in one 🤣🤣Ahaaaaah
HAKUNA MPENZI MKUBWA(die hard fan wa WCB) anayeenda against chama la wana,so wewe ni timu AJUZA /KIBAMIA usijipendekeze WCB NGUVU MOJA NA AMABOKO HIT SONG,perodit.Mimi ni mpenzi mkubwa sana wa DP lakini niuseme ukweli tu kwa hii nyimbo KAKURUPUKA na ni lazima ATULIZANE ili nyimbo yake itakayofuata iweze kukonga nyoyo za wapenzi wake na hata wasiokuwa wapenzi wake.
FACT WCB INAWAPA TABU SANAnote mkuu" ikifika 2025 utawasikia wcb walikuwa na nyimbo nzur 2020 kurud chini
Hamna
Mshamba hawezi elewa so hii ngoma ya wakubwa DIAMOND BABA LAOOOOOO.Die hard fan wa diamond sijaelewa kabisa ulichokiandika..[emoji41]
HapanaAu ni mambo ya two in one [emoji1787][emoji1787]
Jikite kwenye kumshabikia Diamond na usipoteze nguvu na muda wako kumuombea mabaya Harmonize aliyeamua kwenda kujitegemea tena baada ya kumlipa Diamond million 600 ili awe huru.Harmonize bila wasafi ni mweupe Sana zaidi ya kiwango Cha SGR,mda utaongea subiri.
Neno la kabila langu, mikono maana yakeAMABOKO HIT SONG
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshe mie, jaman tunazungumzia [emoji184] wee unachanganya na Alikiba, hebu soma vizuri hyo post uelewe , sasa kwahiyo Alikiba kutoa nyimbo isiyo kiki ndio ruhusa ya platinumz kutoa nyimbo ya hovyo na matusi? Unashangaza sana lolshida yangu ni moja hakuna wasanii wengine wanaocopy kama yeye kwahiyo ni sawa na kusema kuwa anatukana lakini hakuna mwenye matusi mengi kumzidi..alikiba ametoa nyimbo mara ya mwisho lini na je ilikiki vipi hiyo dodo??huwezi kusema mtoto wangu anafeli mtiani alafu mkoa mzima yeye ndo wa kwanza..ndomaana kuna mwingne akipata 80 anakwambia nimefeli wkati boya mmoja akipata 25 anasema Mungu asante naongelea mathematics hapa