Wasafi kama wanaishiwa hivi...

Wasafi kama wanaishiwa hivi...

Sorry,
Ni maoni yangu binafsi. Huu wimbo walioutoa rayvanny na diamond wakuitwa amaboko it's very ordinary song na Kwa wale wanaofahamu mambo ya midundo (beats) watakubaliana nami kwamba huu wimbo beat yake ni kama ya previous song na hata mahadhi yake (genre) ni kama ya nyimbo zilizopita.
Wasafi bila Harmonise ni weupe sana. Muda utaongea nyie subirini
 
Mi nimeacha kumsikiliza diamond,maana siku hizi haimbi ila anatukana tu
Mara embu chutama kama inazama,
Mara nikipekenya pekenya nisiwahi nichelewe...
Mara naipitisha kwa chini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mara weka mate nyuma niteleze.

Binafsi naona kaacha mziki tangu alivyoimba nitarejea.
Yeah kaacha,but ndomana mnamuongelea
 
Kidogo kidogo naona kama ni kweli hivi....

Mimi kila wakitoa wimbo nilikuwa najiambia "labda huu ni intro tuu wakijiandaa kutoa dude kaliii", lkn wapi. Naona wimbo hadi wimbo graph inazidi kuporomoka tuu.

Nadhani kuna mahali mambo si shwari.
Unforgetable
Lakini ndo wanongoza kwa stream sawa dogo
 
Nimekuwa mshabiki mkubwa sana wa wcb Ila kiukweli sikuhizi wanatoa nyimbo mbovu sana, diamond aliacha kutoa nyimbo zinazoelewa 2018 kurudi chini
Hakuna WCB die hard fan Kama wewe,sema ni team kibamia ,WCB hatunaga kuikana CHAMA sawa.
 
Kwa sasa domo anakimbizana na views za you tube ila angejua anajiharibia soko asingefanya hivyo,anakurupuka sana,hapo soon nadhan mwezi ujao anatoa collabo na zuchu. Kuna grup la wadada korea(blackpink sijui nimepatia jina) wanatoa nyimbo baada ya kukaa kimya kwa muda na wimbo una ujumbe mzuri na ndani ya masaa 24 wana views milion 82 you tube
Blackpink is pure talent....yule rapper wao ni world class na lead singer ni level za beyonce
 
Trending sio tatizoo hiii nii kutokana na attention ya watu kujuaa mond atataoaa wimboo gani sahiv na lazmaa watu wakaangalieee ,,sasaa hatuwezii kutoa maoni pasipo kusikilizaaa.....
Kwa wanaoelewa Sana'a vizur watakuambia tuu hakuna lolote palee wimbo utabebwa na videooo
Kwani Kuna msanii DIAMOND peke ake,basi tutaona na video maana simmesha sikiliza..?na je wasanii wengi siwanatoa nyimbo mbona hamtaki kujua wametoa Nini Hadi zifike trending,TULIENI DAWA IWAINGIE AMABOKO HIT SONG.
 
Kwa sasa domo anakimbizana na views za you tube ila angejua anajiharibia soko asingefanya hivyo,anakurupuka sana,hapo soon nadhan mwezi ujao anatoa collabo na zuchu. Kuna grup la wadada korea(blackpink sijui nimepatia jina) wanatoa nyimbo baada ya kukaa kimya kwa muda na wimbo una ujumbe mzuri na ndani ya masaa 24 wana views milion 82 you tube
Sasa unafananisha wasanii hata ambao hawajulikanai na ZUCHU kweli..!!!???come on dada DIAMOND awezi kujiaribia maana I brand kubwa sawa dogo TULIA DAWA IKUINGIE.
 
Huyo Domokaya alishaacha kuimba 2018, saivi anatafuta tyuuh views u2be baaas, hakuna chochote cha maana n matus tyuuh khaaaaah
Kwani wasanii wengine si watafute wamekatazwa,TULIA DAWA IWAINGIE MADOGO,WCB CHAMA KUBWA.
 
Mi nimeacha kumsikiliza diamond,maana siku hizi haimbi ila anatukana tu
Mara embu chutama kama inazama,
Mara nikipekenya pekenya nisiwahi nichelewe...
Mara naipitisha kwa chini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mara weka mate nyuma niteleze.

Binafsi naona kaacha mziki tangu alivyoimba nitarejea.
Sasa mbona kipind nitarejea hakua mbal kama alivyo sasa? That means matusi yanalipa..[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom