cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,762
- 189,181
Weee hujui kuwa n mtu m1 ila Id 2 tofauti.? [emoji23][emoji23][emoji23]Unamfahamu innocent dependent ?
Weee hujui kuwa n mtu m1 ila Id 2 tofauti.? [emoji23][emoji23][emoji23]Unamfahamu innocent dependent ?
Ni m2 m1 huyooh.ID yako ina uhusiano wowote na ID ya innocent dependent?
Numbisa pamoja kwamba una chuki na Diamond lakini umeongea ukweli mtupu mziki hauna Siri kizuri kitajitangaza chenyewe hii ngoma Ni ya ovyo Kuna tofauti Kati ya mbaya na ovyo nimeisikiliza tu intro Wala sijajiangaisha kumaliza nyimbo nimeidelete.Tatizo wasanii wetu Wana mentality ya Kuna ngoma za international na local na kingine wameongeza Kuna mziki wa biashara kumbe ngoma Kali Ni Kali tu Hakuna Cha international Wala mziki wa ndani eti wakitoa ngoma za ovyo Kama hii eti wanasema Ni kwaajili ya international yaani Ni upuuzi upuuzi tu.Diamond Ni msanii mzuri na ana ngoma Kali lakini kutokana na hii mentality ya ovyo ya kusema ngoma za international inapelekea kutoumiza kichwa na kuja na ngoma Kama hii wakati ngoma nzuri anaacha anasema hiyo Ni kwa ajili ya soko la ndani.Mimi ni mpenzi mkubwa sana wa DP lakini niuseme ukweli tu kwa hii nyimbo KAKURUPUKA na ni lazima ATULIZANE ili nyimbo yake itakayofuata iweze kukonga nyoyo za wapenzi wake na hata wasiokuwa wapenzi wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha sana wee m2 khaaaaah,Kwani wasanii wengine si watafute wamekatazwa,TULIA DAWA IWAINGIE MADOGO,WCB CHAMA KUBWA.
Ni m2 m1 huyooh.
Jikite kwenye kumshabikia Diamond na usipoteze nguvu na muda wako kumuombea mabaya Harmonize aliyeamua kwenda kujitegemea tena baada ya kumlipa Diamond million 600 ili awe huru.
Nauliza tena, innocent dependent na wewe mna mahusiano gani?
Ndio maana huwa nasema. DIAMOND si kuwa anawasaidia Wasanii wenzake. Kiufupi hataki wasikikeNadhani wanajaribu kuendana na kasi ya Harmonize.
Numbisa pamoja kwamba una chuki na Diamond lakini umeongea ukweli mtupu mziki hauna Siri kizuri kitajitangaza chenyewe hii ngoma Ni ya ovyo Kuna tofauti Kati ya mbaya na ovyo nimeisikiliza tu intro Wala sijajiangaisha kumaliza nyimbo nimeidelete.Tatizo wasanii wetu Wana mentality ya Kuna ngoma za international na local na kingine wameongeza Kuna mziki wa biashara kumbe ngoma Kali Ni Kali tu Hakuna Cha international Wala mziki wa ndani eti wakitoa ngoma za ovyo Kama hii eti wanasema Ni kwaajili ya international yaani Ni upuuzi upuuzi tu.Diamond Ni msanii mzuri na ana ngoma Kali lakini kutokana na hii mentality ya ovyo ya kusema ngoma za international inapelekea kutoumiza kichwa na kuja na ngoma Kama hii wakati ngoma nzuri anaacha anasema hiyo Ni kwa ajili ya soko la ndani.
Don Clericuzio
Ndio maana huwa nasema. DIAMOND si kuwa anawasaidia Wasanii wenzake. Kiufupi hataki wasikike
Ahsante kwa kunirekebisha, shida mazoea yana tabu.Dogo inabidi ujifunze kuandika kiutu uzima, humu ndani hatuandiki kishule shule.
Ahsante kwa kunirekebisha, shida mazoea yana tabu.
[emoji120][emoji120][emoji120]Naelewa, ila kutofautisha ni muhimu. Ni kama unapotuma SMS, lazima kwa agemate iwe tofauti na ile ya kwenda kwa mzee au mama.
Don Clericuzio Hapa naona umeingia choo Cha kike yaani leo hii voda aende WcB amuache diamond akampe ubalozi Rayvanny au mboso kweli?Diamond anawabania kivip?ikiwa Kuna wakati anakaa Hadi mwaka bila hata kutoa ngoma imradi tu hawapromote wasanii wake kingine Ni kwamba company ndio inayopanga msanii yupi anatufaa kwa ajili ya kupromote bidhaa yao na wanakuwa na reasons zao binafsi sio Diamond ndio anapanga mzeeDiamond kazi yake ni muziki, hao walio chini yake nao kazi yao ni huo huo muziki, kwa namna moja yeye kama bosi hawezi kuruhusu hao madogo wawe juu yake.
Ndiyo maana hata endorsements zote hata zile ndogo anazichukua yeye.
Ni ww mkuu [emoji38][emoji38]...
Au kuna mtu kahack acc yako?
Diamond kazi yake ni muziki, hao walio chini yake nao kazi yao ni huo huo muziki, kwa namna moja yeye kama bosi hawezi kuruhusu hao madogo wawe juu yake.
Ndiyo maana hata endorsements zote hata zile ndogo anazichukua yeye.
Don Clericuzio Hapa naona umeingia choo Cha kike yaani leo hii voda aende WcB amuache diamond akampe ubalozi Rayvanny au mboso kweli?Diamond anawabania kivip?ikiwa Kuna wakati anakaa Hadi mwaka bila hata kutoa ngoma imradi tu hawapromote wasanii wake kingine Ni kwamba company ndio inayopanga msanii yupi anatufaa kwa ajili ya kupromote bidhaa yao na wanakuwa na reasons zao binafsi sio Diamond ndio anapanga mzee