Waraka wa mwisho kwa Binti kiziwi

Waraka wa mwisho kwa Binti kiziwi

Screenshot_20260916-173830.png
Screenshot_20260916-174042.png


de Gunner binti kiziwi mwenyewe huyoo 😅😅
 
Mkuu, kwani utaratibu huujui wa kuposa?

Mimi na Wazee wenzangu tuna miezi 8 sasa hatujapata kazi ya kupeleka posa mahali

Tafadhali tutume tukaione familia ya binti kiziwi
Ndugu ni naweka rasmi nia yangu kwenu wazee mnipee binti yenu,

Tumetokea kuivana na ni muda wa kuweka nia yangu kwenu ili mniruhusu kuweza kumshauri binti yenu anikubalie niweze kuleta posa na mahali kwenu.

Nakuagiza wewe kiongozi wao uende ukai one familia na uwaeleze nia yangu thabiti kwake mwanamke smart huyu
 
Ndugu ni naweka rasmi nia yangu kwenu wazee mnipee binti yenu,

Tumetokea kuivana na ni muda wa kuweka nia yangu kwenu ili mniruhusu kuweza kumshauri binti yenu anikubalie niweze kuleta posa na mahali kwenu.

Nakuagiza wewe kiongozi wao uende ukai one familia na uwaeleze nia yangu thabiti kwake mwanamke smart huyu
Andaa pesa kiasi cha 500,000 Wazee twende tukapige hodi Singida

Kama wataridhia posa yetu, huyo mrembo utamwoa tu

Labda awe ameshawahiwa
 
Andaa pesa kiasi cha 500,000 Wazee twende tukapige hodi Singida

Kama wataridhia posa yetu, huyo mrembo utamwoa tu

Labda awe ameshawahiwa
Msiwe na hofu ya aina yoyote wazee wangu

Fanyeni mkaione familia na niko nawafanyia mpango niwapeleke sehemu maalumu na mtaagiza kila mnachokitaka na huko ndiko nitaendana kuwapa pesa mgao na kufanya mkakati kazi wa kuweza kufanikisha jambo hili zuri.

Ni naamini mna elewa ninaposema tutakutana, nataka usije kuandika mate na kalamu ipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom