Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 20,411
- 62,409
Mkuu, kwani utaratibu huujui wa kuposa?
Mimi na Wazee wenzangu tuna miezi 8 sasa hatujapata kazi ya kupeleka posa mahali
Tafadhali tutume tukaione familia ya binti kiziwi tukupekekee posa kwa niaba 🤗
Mimi na Wazee wenzangu tuna miezi 8 sasa hatujapata kazi ya kupeleka posa mahali
Tafadhali tutume tukaione familia ya binti kiziwi tukupekekee posa kwa niaba 🤗