Waraka wa mwisho kwa Binti kiziwi

Waraka wa mwisho kwa Binti kiziwi

Acha kuleta ngebe kapuku wewe
20260916_200833.jpg
 
Nime mdharirisha nani?

Mbona umeanza kunipa kazi kitu sijafanya?

PM haiko wazi na nilisha mweka wazi kuwa ninampenda na nitamwanzishia uzi..

Na unayosema mdharirisha wanawake unakosea my lovely sister

Mapenzi hayaingiliwi so niseme tu kila la heri.
 
😹😹😹 Kwahiyo she’s rise ulikuwa unamletea mzaha na kujimaliza kote kule??
Chiwawa mi sikuamini naona unataka kumshushia heshima mate wangu..!!

binti kiziwi mate harusi tunayo au tumuitie ngoma nzito kutoka chamwino aje na wenzie wa mji mpya watusaidie kumtoa wenge?? 😹
"Ma Mony" hiyo mitaa ipo Dom na Moro ila kwa Moro ina wababe kwelikweli..

Ntakukaribisha Kwa Chambo ngoja kiota kizibwe Elnino na la Utosi tuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom