Waraka wa mwisho kwa Binti kiziwi

Waraka wa mwisho kwa Binti kiziwi

de Gunner ushauri wangu jaribu kucontrol hisia zako kwenye huu uzi wako mzito

Huyu unaye mtongoza ni very smart sasq usije ukaharibu mapema kabisa

Kila la kheri
Toka Nile ban mfululizo sijawahi kuwa emotional tena. Nitaendana na watu wachonganishi kwa namna iliyo bora kabisa lanlbda mods wafanye kunionea tu

This time najua namna bora ya kucheza huu mchezo vyema kabisa.
 
Mzee kwani si wamekukatalia kuwatag tag wahusika na hawapendi hio tabia ya kuanzishiwq uzi? Heshimu maamuzi ya mtu.
Kutag mtu sio kosa. Kosa nikumtukana na kumwambia lugha chafu zingatia hiko
Ila we jamaa una kipaji, ile nyimbo umeimba sana, na video ni kali sana... akikataa jua uchawi upo..
View attachment 3671902
Usinifananishe na Takataka mkuu.

Yaani kwa level niliyopo jf hata diamond mwenyewe akasome kabisa.
 
we gunner lakini si umezuiliwa na binti kiziwi kwenye ule uzi wako mwingine usimuanzishie uzi? sasa kwanini umeamua kumkera mdada wa watu kwa makusudi kabisa, si uheshimu maamuzi ya mtu
Nilishawaambia apokee ombi langu toka tuko kwenye ule uzi na nilimwambia sifanyi mzaha wa aina yoyote. Huu sio mzaha kabisa. Na yeye analifahamu hilo
 
Nilishawaambia apokee ombi langu toka tuko kwenye ule uzi na nilimwambia sifanyi mzaha wa aina yoyote. Huu sio mzaha kabisa. Na yeye analifahamu hilo
lakini kakukatalia ungemuelewa au ungetafuta njia nyingine ya kumueleza kwamba upo serious na sio lazima ufungue uzi brooo, haya mambo yashapitwa na wakati ujue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom