kwa mujibu wa ephen una tako kubwa,hilo umenizidi na kutokana na maoni ya wachangaiji humu wewe ni kiande,mentally disturbed maybe..hivyo viwili umenizidi,.kingine kipi mkali..Uchati na nani wewe?
Yaani nichati na mtu niliyem mzidi kila kitu?
ulipokosea ni wew kumuanzishia uzi wakati amekuzuia usimuanzishie uzi, na alikusisitiza kabisaSioni nilipokosea
Kwa umakini alio kuwa anadhani unao binti kiziwi sasa aje ajionee kiande ni mimi au wewe unaye toa shombo na maneno machafu hadharanikwa mujibu wa ephen una tako kubwa,hilo umenizidi na kutokana na maoni ya wachangaiji humu wewe ni kiande,mentally disturbed maybe..hivyo viwili umenizidi,.kingine kipi mkali..
You have a ball knowledge no wonder you understand the game 😂😂Itapolipukia ndio huko huko kitaeleweka
Si ajabu huyu akichomoa atapigwa sound mwingine kwamba hawa wengine wote haikuwa serious
ok am soreeeKwa nini anizuie na hisia ni zangu? Mbona unaongea kitu kisicho kuwepo?
umeanzisha uzi hili viande tushindane aje ajionee nani Kiande zaidi??Kwa umakini alio kuwa anadhani unao binti kiziwi sasa aje ajionee kiande ni mimi au wewe unaye toa shombo na maneno machafu hadharani
Mishangazi ikimkazia atakufikia tu.... El Nino inawatoa pangoni moja moja.Mimi tushagombana leo. Kuanzia sasa hatujuani
sawa gunner kila lenye kheri ila sio kila mtu atapendezwa na hisia zako, we unataka kuwafanya hata wale walokua karibu yako mbali na kusemwa wakukimbie,, sio vizuri wala niniHuwezi kuzuia hisia za mtu. Na huo ndio ukweli Mchungu. Mimi ninampenda na yeye analitambua hilo
Just for fun mkuu😂😂We jamaa😂😂🤣
Kama alikuwa wangu na ana mapenzi ya dhati binti kiziwi Kamwe hawezi kuiacha. We've been together kwenye mada mbali mbali since day onesawa gunner kila lenye kheri ila sio kila mtu atapendezwa na hisia zako, we unataka kuwafanya hata wale walokua karibu yako mbali na kusemwa wakukimbie,, sio vizuri wala nini
sawaKama alikuwa wangu na ana mapenzi ya dhati binti kiziwi Kamwe hawezi kuiacha. We've been together kwenye mada mbali mbali since day one