Mbona unapost picha ya dada angu bila idhini, na nani kakuruhusu kijan?Pambania kombe mzee, mie nitakuwa chawa wako na mpambeee 🙂🙂View attachment 3671927View attachment 3671928
AI🔥🔥🔥 kenyewe kana haiba ya upolee hadi utamu kisogoni View attachment 3671932
Kaka mi takuwa mweka hazinade Gunner pambana mwanangu.. hata michango tutakuchangia mzee baba tupate shemeji wa kwendaaa 🔥🔥View attachment 3671933
I have written my intentions respectfully tooNavomuheshimu.
Nimejisikia vibaya.
Hastahili haya please.🙏
Nakupa huyu 😅😅Kaka mi takuwa mweka hazina
Nipe NAMBA ya hiki kizuri basi, Kuna mambo ya KIKAZI nilitaka nimulize mkuu🙏🙏🙏🙏 nitumie pm si unajua na mke humu
Acha kuleta ngebe kapuku wewebinti kiziwi nipo nae busy ukuView attachment 3671995
Alikukubalije na uso wako huo mkuu au ndo mwanaume kaziAiseee nikikumbuka mwaka 2012 nilimtongoza mwanamama Fulani humu JF kule PM tena nikamwandikia na nyimbo Fulani hivi ya mahaba akanilima Block Hadi Leo nimekosa hamu ya kumpenda mwanamama wa humu😀😀
Nipe NAMBA ya hiki kizuri basi, Kuna mambo ya KIKAZI nilitaka nimulize mkuu🙏🙏🙏🙏 nitumie pm si unajua na mke humu
Stop this please.I have written my intentions respectfully too
I know ni mtu mkubwa sana na ndio maana nimetumia miaka 6 kuweza kufikia hii level ya kuwa nae karibu hapa jamvini na sasa niliamua kuweka wazi nia yangu kwake
Unani halibia ndoa mkuu kausha kausha
Nime mdharirisha nani?Stop this please.
Pm huijui dogo?
Acha kudhalilisha hawa wanawake.
STOP IT!!