Waraka wa mwisho kwa Binti kiziwi

Waraka wa mwisho kwa Binti kiziwi

Aiseee nikikumbuka mwaka 2012 nilimtongoza mwanamama Fulani humu JF kule PM tena nikamwandikia na nyimbo Fulani hivi ya mahaba akanilima Block Hadi Leo nimekosa hamu ya kumpenda mwanamama wa humu😀😀
Kwamba ukiimba wimbo wa westlife ama🤣🤣 🤣 🤣 🤣 aisee kwamba ulikua gani kabisa?? 😂 🙌
 
"Ma Mony" hiyo mitaa ipo Dom na Moro ila kwa Moro ina wababe kwelikweli..

Ntakukaribisha Kwa Chambo ngoja kiota kizibwe Elnino na la Utosi tuu.
😹😹😹 Mitaa ya Moro hiyo..!!
Wa kishua huyo, watoto wa kihonda au sio?

Mi wa uswazi mwenzio nipo zangu sabasaba..!! Twende Florida tukacheze live band na wajukuu wa chief Kingalu..!! 😹
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom