Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 4,200
- 8,879
Mkuu ni pisi haswaKama ni kweli basi ninaokota dodo chini ya mpera
Mkuu ni pisi haswaKama ni kweli basi ninaokota dodo chini ya mpera
Iiih mbona kama nitaingia na mimi kwenye hii ligiNi Brenda Rupia
Kijana analetea mizaha mashangazi 😹😹
Hakika ana kazi🤣 sijui ashike lipi aache lipi https://www.jamiiforums.com/threads/barua-ya-wazi-kwa-binti-wa-zamani.2452447/Mods ambae yupo shift leo kazini kwake kuna kazi
Anakwambia kote huko alikuwa anafanya mizaaHakika ana kazi🤣 sijui ashike lipi aache lipi https://www.jamiiforums.com/threads/barua-ya-wazi-kwa-binti-wa-zamani.2452447/
Sema nimeelewa mbinu yake .. unapiga kotekote yaaniAnakwambia kote huko alikuwa anafanya mizaa
Kutongoza humu kunahitaji Moyo haswa.Aiseee nikikumbuka mwaka 2012 nilimtongoza mwanamama Fulani humu JF kule PM tena nikamwandikia na nyimbo Fulani hivi ya mahaba akanilima Block Hadi Leo nimekosa hamu ya kumpenda mwanamama wa humu😀😀
Mi sio mtabiri ila kituo kinachofata ni ephen kuletewa mzaha..!! 😹Hakika ana kazi🤣 sijui ashike lipi aache lipi https://www.jamiiforums.com/threads/barua-ya-wazi-kwa-binti-wa-zamani.2452447/
Inabidi uwe una chukua muda kwanza kama mimi nimekaa miaka 6 Natafuta kujua vyema crush wanguAiseee nikikumbuka mwaka 2012 nilimtongoza mwanamama Fulani humu JF kule PM tena nikamwandikia na nyimbo Fulani hivi ya mahaba akanilima Block Hadi Leo nimekosa hamu ya kumpenda mwanamama wa humu😀😀
Mimi tushagombana leo. Kuanzia sasa hatujuaniMi sio mtabiri ila kituo kinachofata ni ephen kuletewa mzaha..!! 😹
Kutongoza humu kunahitaji Moyo haswaAiseee nikikumbuka mwaka 2012 nilimtongoza mwanamama Fulani humu JF kule PM tena nikamwandikia na nyimbo Fulani hivi ya mahaba akanilima Block Hadi Leo nimekosa hamu ya kumpenda mwanamama wa humu😀😀
Ukaamini huyo crush Hana mtu?Inabidi uwe una chukua muda kwanza kama mimi nimekaa miaka 6 Natafuta kujua vyema crush wangu
Itapolipukia ndio huko huko kitaelewekaSema nimeelewa mbinu yake .. unapiga kotekote yaani