DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 20,903
- 54,162
Kupitai Rais Magufuli hatimaye Chama, Serikali na Nchi imetulia na inafuata maadili.
Hongera JPM kwa hili
Piga kelele kwa ccm yake
Kuongoza vizuri huko kwiiyo
Kupitai Rais Magufuli hatimaye Chama, Serikali na Nchi imetulia na inafuata maadili.
Hongera JPM kwa hili
Kupitai Rais Magufuli hatimaye Chama, Serikali na Nchi imetulia na inafuata maadili.
Hongera JPM kwa hili
Una maslahi binafsi na madaraka yake, hivyo hizi ngonjera ni sehemu ya mrejesho wa mlo wako.
Usimjadili mleta ngonjera bali ngonjera yenyewe.Una maslahi binafsi na madaraka yake, hivyo hizi ngonjera ni sehemu ya mrejesho wa mlo wako.
Nilikuwemo JF kabla ya PolePole Kujiunga Rasmi CCM. Rejea kwenye hoja fikirishi.Nimetoka kumsikiliza chakubanga akihojiwa Azam - UTV. Anasema wameimarisha sana matumizi ya mitandao ya kijamii kwa ajili ya kampeni.
Naamini hata posho yenu itakuwa si buku saba tena. Nawapa kongole jingalao na wenzako wote kwa kuhamia kwenye uchumi wa kipato cha "lower - middle".
LUMUMBA wana mihemko isiuojulikana inatoka wapi, Wanasema mgombea wao anakubalika lakini wanaogopa Asipambanishwe na mtu yeyote.Hivi kuna sheria yoyote inayomlazimisha kila mtu kusifia mtu anapofanya jambo zuri? Me nadhani wananchi wangeachwa waamue kwenye sanduku la kura kwa uhuru kabisa bila mizengwe ndio itafahamika.
Mlivyokuwa MAZEZETA, huchelewi kuwaza sababu LIBYA kuna Mafuta Tanzania na TZ kuna gesi.Usifananishe Libya na Tanzania tumia akili kufikiri.
Usimjadili mleta ngonjera bali ngonjera yenyewe.
Wewe si uende kwenye majukwaa yenu ya viuno huko !
Ndio nini?
Ongezeko la umri liendane na kukua kwa akili na mwili.Unaweza kuongezeka umri, ukafikisha hata miaka 65 lakini ukawa "bichwa-maji",and that's you literally.
Uko kwa mume wa dada ako umelala seblen una type ujinga
Wewe si uende kwenye majukwaa yenu ya viuno huko !
Hivi huyo Lisu mbona anatembea kama crab nina wasi wasi hata akili yake inatembea hivyo hivyo
Wapo wapi akina kamuzu Banda, Robert mugabe, Elbashiri, chiluba, Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, mabutu, Abacha, idd Amin Dada? hakuna mabaya yasiyo na mwisho na mwisho wa ubaya ni Aibu kubwa.
Kumbe chai ya baridi inalevya hiviKuna tatizo la kufikiri kwa kutumia akili za kawaida ndani ya vyama vya upinzani hapa Tanzania. Sababu kwa akili za kawaida tu unaweza kupata uthubutu upi wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama Cha Mapinduzi kina misingi imara na thabiti ambayo kimekuwa kikiisimamia tokea kuanzishwa kwake. Na moja ya misingi ni usawa na haki kwa wote. Kwa ujumla kwa CCM binadamu wote ni sawa.
Mwaka 2015 alipopewa ridhaa ya kuwa mgombea wa CCM ni dhahiri kuwa CCM ilimpa kazi ya kutekeleza mambo muhimu kwa watanzania.
JPM ametekeleza mambo makubwa kwa muda mfupi na hii ni kwa sababu anaongoza kwa kufuata misingi ya CCM.
Aliahidi atajenga SGR kipande cha kwanza Dar to Moro kitakamilika hivi karibuni. Aliahidi kujenga JNHPP na ametekeleza na mradi huu ukikamilika utakuwa na manufaa kwa watanzania wote. Aliaahidi kuimarisha sekta ya afya na elimu na yote watanzania wameshuhudia nini kimefanyika.
Kwa ujumla Tanzania ina rais mchapa kazi ambae akiahidi kitu kwa manufaa ya watanzania lazima atekeleze.
Sasa vyama vya upinzani kama Chadema ambavyo hata kuongoza majimbo na kata ni tatizo inakuwaje wanathubutu kuchukua fomu na kutaka kuweka mgombea wa kupambana na rais kama Magufuli?
Chama kama Chadema ambacho hakiwezi kusimamia ruzuku ya ya mil 360, kitaweza vipi kuwa na rais ambae atawatekelezea maendekeo watanzania?