balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,700
- 15,436
Nenda Fast bureau de change Kariakoo barabara ya Msimbaz opposite na kituo cha polisi MsimbazHabari za asubuhi wana jukwaa, poleni na mfungo wa Ramadhani na Kwaresma, naomba msaada wa kufahamishwa wapi pa kubadilishia fedha za kigeni kwa hapa Dar.
Asanteni😊🙏
Ka vipi nenda mliman City.Ila kariakoo wanachukua hadi DirhamNipo mbezi mkuu
Bank wanabagua wanachukua most popular kama used ,uero na poundNgoja nikajaribu CRDB
Hakuna maswaliSawa japo nasikia wana maswali mengi
Kitu gani cha muhimu niende nachoHakuna maswali
Huko mbali duh!Nenda Fast bureau de change Kariakoo barabara ya Msimbaz opposite na kituo cha polisi Msimbaz
Hizo ndiyo ninazo sasaBank wanabagua wanachukua most popular kama used ,uero na pound
Kaziriport kwenye kituo chochote cha polisi kilicho karibu nawe ili aliyepoteza atafute apeweDah! Jamani nimeokota dollar2 😁😁😁
Nenda Tandale kwa Bibi NyauHabari za asubuhi wana jukwaa, poleni na mfungo wa Ramadhani na Kwaresma, naomba msaada wa kufahamishwa wapi pa kubadilishia fedha za kigeni kwa hapa Dar.
Asanteni😊🙏
kitambulisho cha NIDAKitu gani cha muhimu niende nacho
nenda NMB,CRDB au NBC ila wanapunja.Fast bureau de change kariakoo wako poaHizo ndiyo ninazo sasa
Huko siyo kweli mkuuNenda Tandale kwa Bibi Nyau
Kama wanapunja sasa hapo, ngoja niende nijuenenda NMB,CRDB au NBC ila wanapunja.Fast bureau de change kariakoo wako poa
Sawa mkuukitambulisho cha NIDA
Nenda tuSawa mkuu
Black market ipo ila sio mara mbili ya bei ya forexKuna nchi nimewahi kuishi wao kule bei ya Dollar na Euro kwa black markets (zipo nyingi na ni open) ni mara mbili ya ile official rate, sijajua kama Tanzania tunaweza kuwa na mazingira hayo.
Rate ya bank na maduka ya kuchange nyingi kwa dola n 2580-2630 ila black market 2650-2700Nimeipata mtandaoni, hiyo inaweza kuwa rate ya kununua Mkuu, nilikuwa namzingua tu.
Hivi rate ni kama ngapi saiv huko?
Nimekupata Mkuu, sio mbaya sana.Rate ya bank na maduka ya kuchange nyingi kwa dola n 2580-2630 ila black market 2650-2700
Juu ya 2700 ni mara chache sanaNimekupata Mkuu, sio mbaya sana.
Naona hao jamaa hiyo biashara huwalipa sana kama fedha inabadilishwa sana nchini kwa sababu wao kuuza hapo si inaweza kuwa kati ya 2,800 hadi 3,000.