Waambie waturudishe Pugu/Nyerere Road bana.i! basi jamani, tunafahamu kwmb hili kabila letu limejaa ukarimu na upendo. ndy maana mkikutana ni vicheko tu. Tuchongeni lugha ya bhose.
Tangu uhuru makabila haya yamepigwa chini na makabila madogo madogo!Maendeleo ya mikoa yao yako chini sana,ingawa natural resources nyingi zinatoka huko.Kisiasa tangu akina James Mapalala,Kasanga Tumbo,
Chief Fundikira na Chief Makwaia wapigwe chini na Nyerere ,mikoa hiyo haina uwakilishi kabisa katika maamuzi ya serikali.
Ukiangalia mafisadi wengi wanatoka makabila madogo madogo!Wapinzani wa serikali pia ni kutoka makabila madogo.Mpaka haya makabila yaibuke ,yaseme enough is enough,ufisadi na stupidity ya nchi yetu utaendelea milele.Tujadili!!!!!!!!!!!!!!!!
i! basi jamani, tunafahamu kwmb hili kabila letu limejaa ukarimu na upendo. ndy maana mkikutana ni vicheko tu. Tuchongeni lugha ya bhose.
Itabidi watu wakamfufue Mwanamalundi, kwikwi!.Mwanamasala kiongozi gani wa kisukuma sasa hivi anayeweza kuongoza nchi kwa mkono wa chuma?
Mwanamasala kiongozi gani wa kisukuma sasa hivi anayeweza kuongoza nchi kwa mkono wa chuma?
Nalibona ahenaha yagaluka kubiza Ng'wanza, Shinyanga na Nhobola.
sijasikia Nyalali na Bomani kwenye large scale corruptin
Sina cha kuongeza Mkuu! Wabeja sana!Wewe unataka kutupa sifa mbaya Wasukuma. Katika makabila yote major nadhani tunaongoza kwa kuwa waadilifu.
Lekaga nkoi....
Witoji ziii!!! Bubange---- malejaga nhango.Guku ulimhola ahene?
Wabeja kolomba. Ule nsukuma wahe mweli nolo keya?Sina cha kuongeza Mkuu! Wabeja sana!
Witoji ziii!!! Bubange---- malejaga nhango.
ng'wanamasala ate na masala gete!