Zitto
Former MP Kigoma Urban
- Mar 2, 2007
- 1,562
- 10,890
Poa mkuu..nitaifanyia kazi. Cha ajabu kilichostua wengi hapa..mpaka tukaamua kufanya research ni kwamba mwalimu alikuwa categoriacal kwamba waziri muhusika atapeleka sheria bungeni baadaye, meanwhile kodi ianze kulipwa mara moja! The moral of the story ni kwamba mwalimu alijua kabisa kwamba hakuna kodi inayolipwa bila baraka za bunge kwa hiyo alichokuwa anakifanya ilikuwa kinyume cha sheria. ..lakini aliamua kuignore. ....
Kichuguu hata kama ni local tax lazima iwe sanctioned/iwe na baraka za sheria mama. Kwa mfano hizi kodi za halmashauri na nyinginezo ni kanuni (au sheria ndogo ndogo zinazobarikiwa na mheshimiwa Mizengo Pinda) sio sheria as ACT....... Tukiwa objective swala linabakia kwamba katika hizi nchi zetu ni rahisi kwa viongozi kuignore sheria zilizopo na kutuswaga tuu....as we have seen and continue seeing........
waziri wa fedha alipeleka muswada bungeni ie income tax act, wabunge wakakataa. mwalimu akasema kodi ilipwe bila sheria (au kwa sheria iliyokataliwa). akaliita bunge, akawaambia msipopitisha sheria hii ninavunja bunge tunaenda katika uchaguzi. alitoa kitisho hiki miaka michache baada ya halmashauri kuu ya TANU kuwafukuza uanachama na kisha ubunge wabunge 7,akina mwakitwange na choga. wabunge wakajua uchaguzi ukiitishwa chama hakitawapitisha kuwa wagombea. Hivyo wakalegalize muswada wa mwalimu. Sheria hii ilitumika toka 1973 mpaka 2004.