Wanene kuongezewa marupurupu

Wanene kuongezewa marupurupu

mswahili umejitahidi kweli this time. Endelea kujitahidi utafanikiwa najua ilikuwa vigumu kuandika maneno yote yale.
 
Iko wapi msg ya Bi Senti 50 ambayo thread title inaonyehsa kuwa ameituma hivi punde? Ni matatizo ya kiufundi ama bado inafanyiwa editing? Mkimaliza tutupieni kilichobaki please...

Tanzanianjema
 
Inaelekea thread hii haiongezeki tena. Sioni posts mbili zilizowekwa hivi karibuni ingawa zionekana kwenye index.

Doh! post yangu imeingia ingawaje imerukia kuwa post ya 407 kutoka post ya 400, kwa hiyo posts kama sita hivi hazikuingia
 
Admin,

Hii thread imefungwa? maana baadhi ya posting zinapotea!

au ndio matatizo ya kiufund kama wiki iliyopita?
 
nataja wafutao ABDALLAH anafanya phd Birmingham university U.K na ni lecturer IFM, Fatma Khalfan ni Lecturer wa sheria baada ya kushinda scholarship ya jumuia ya madola na hizo nafasi zilikuwa 2 kwa nchi nzima amefanya masters yake Warwick university U.K kati ya vyuo mahiri duniani kwenye fani ya sheria, Mariam Karama huyu ameshinda zawadi kwa kufanya vizuri master yake U,K na amepata CPA. hao ilikuwa umalize nao Znz kama ni mapungufu uliyosema wenzako wamepita na kufanya vizuri, wapo wengi ila nakuonesha kuwa Zitto ni muongo.ama kweli mchagua jembe si mkulima.

Mswahili,

nakuvulia kofia, wewe Mswahili kiboko. katika hao uliwataja mmoja namfahamu (Fatma Khalfani) huyu dada ni moto wa kuotea mbali yupo pale Zan U.

hizi data zote unazipata wapi wewe? unatisha mzee
 
suala zuri sana, tunahitaji maelezo au kulikoni?

kuna watu watajenga hoja kuwa admin unalako jambo
 
mswahili......

duh mkuuu unatisha kwa data,mie mkuu naomba nikwambie yafuatayo....uliyosema yanatosha mkuu,mie naamini ww ni muislamu,na huyu mheshimiwa ZITTO na yy nimewahi kusikia kuwa ni muislam,mswahili turejee ktk maundisho yetu ya dini"ukimstiri muislam mwenzako na ww mungu atakustiri........mswahili,hapa sina nia ya kumtetea zitto,mie simjui huyu jamaa b4 lkn kaka uloyasema yanatosha,hata kama yy alimkashifu sana AC yes alifanya kosa,yaishe mshikaji nakuomba hilo,issue za kuongelea masuala ya mama ni vitu sensitive sana,unajua mama anauma sana nakuomba MUUNGWANA MSWAHILI.........MSALIE MTUME MUHAMMAD (S.A.W).
 
mswahili......

duh mkuuu unatisha kwa data,mie mkuu naomba nikwambie yafuatayo....uliyosema yanatosha mkuu,mie naamini ww ni muislamu,na huyu mheshimiwa ZITTO na yy nimewahi kusikia kuwa ni muislam,mswahili turejee ktk maundisho yetu ya dini"ukimstiri muislam mwenzako na ww mungu atakustiri........mswahili,hapa sina nia ya kumtetea zitto,mie simjui huyu jamaa b4 lkn kaka uloyasema yanatosha,hata kama yy alimkashifu sana AC yes alifanya kosa,yaishe mshikaji nakuomba hilo,issue za kuongelea masuala ya mama ni vitu sensitive sana,unajua mama anauma sana nakuomba MUUNGWANA MSWAHILI.........MSALIE MTUME MUHAMMAD (S.A.W).



Labda wewe atakusiliza ingawa i realy doubt ndugu yangu. Nimejaribu sana njia hiyo lakini ndio kwanza....hivyo ndio nikaamua kuanza kudiconstruct tuhuma/kashfa/uzushi/na juhudi zake nyingineza lakini nadhani natwanga maji tu hapa.....Haya kaka mswahili mwenye kujua mengi uwanja wako, tukana, kashifu, zusha, lipua, bwabwaja na fanya ufanyalo halafu baadae uwalaumu kina Flaviana kwa immorality......uwanja wako!!

Tanzanianjema
 
Mswahili tatizo lako unachanganya mambo kweli, mara watu wa bara Dar si kwao, na kuna wenyewe, mara ni nyinyi watu wa pwani ndio wenye kuistahili Dar zaidi n.k Hivi ukipewa nafasi ya kuwatimua watu wa bara kutoka pwani utashindwa kujizuia kaka?
 
Tanzania njema kumuunganisha Dau kwenye jina langu ni katika mfulilizo huo huo nilioutaja hapo juu.sikushangai kisa mswahili hasitahili kwanini usimuulize Mkapa ndio aliyekuwepo wakati hiyo issue?.

Jamani mmekaribishwa mjini bado mnaona wenye mji hawastahiki na kuwapiga vijembe kiasi hiki? mnataka wahame mji? wake zao ndio hivi mnawachukulia (mpakanjia) bado hamkinai?.

Mambo haya yanazidi kututanabaisha kuwa kadri utakavyowaweka karibu hawa watu na kuwafanyia ihsani wao hawana shukrani wala kheri.

Mswahili kumbe rangi yako wewe ndiyo hiyo? Kumbe siyo tu una tatizo na wachagga bali unatatizo na watu wa "kuja". Kumbe tatizo lako siyo kwamba kuna watu wamefanya jambo fulani bali tatizo lako ni kuwa waliofanya hivyo ni watu wa kutoka nje ya "mji"? Kaka una matatizo! Na wale wachache wa bara waliofanikiwa huko pwani ni kutokana na 'ihsani". Sasa kama hutaki watu wa bara pwani si useme tu ili yaishe?
 
Mswahili,

Kaka hizi data za nguvu. Nakushauri pumzika na tunza zilizobaki kwani
kijana Zitto basi hajasema ukweli wake wote.

Wanasema Zanzibar University ilikuwa bomu, sasa hao wakali wamesomaje?

Hii ndio faida ya JF, kuondoa UONGO na kufagia pembeni UNAFIKI.
 
Admin,

Hii thread imefungwa? maana baadhi ya posting zinapotea!

au ndio matatizo ya kiufund kama wiki iliyopita?


Wow!

Niliwambia mapema tu kuwa nilikuwa nafanya updates. Indexing kama alivyosema kichuguu ilikuwa inachukua nafasi yake. Naamini vitu viko OK. Aidha nimepunguza storage ya PM zenu na kuwawekea 75 msgs per member hivyo wenye kuwa na more than 50 PMs jaribuni kuzidownload na kuzitunza. Kuna option hiyo na inaweza kutumika any time
 
Rangi za Bendera ya CHADEMA

NYEUSI
Rangi hii inawakilisha WATU WA TANZANIA. Hii ni rangi ya wazawa asili wa nchi yetu. Ni rangi ambayo inabeba pia falsafa ya NGUVU YA UMMA.

BLUU ISIYOKOZA (LIGHT BLUE)
Hii ni rangi ya asili ya CHADEMA. Ni rangi ambayo inawasilisha HAKI. Lakini pia rangi hiyo inawakilisha BAHARI kama ishara ya maliasili/raslimaji na Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar.

NYEUPE
Rangi nyeupe inawasilisha UKWELI, UWAZI na AMANI.[/SIZE] Huu ni msingi muhimu wa CHADEMA. CHADEMA ni chama ambacho kitasimamia [B]uadilifu[/B] kwa njia ya demokrasia.

NYEKUNDU
Rangi nyekundu inawakilisha MASHUJAA. CHADEMA inathamini historia ya nchi yetu ambayo inawasilisha kumbukumbu ya mashujaa waliotupitisha katika michakato ya mbalimbali ya demokrasia na maendeleo ikiwemo harakati

Mhe Zitto,

Wakati mlipozindua kwa mbwembwe bendera yenu mpya mlitu hubiria kuwa rangi nyeupe anaashiria Ukweli na Uwazi. Sasa kulikoni siku zinayoyoma hatujapata majibu ya utata ule? Badala yake Mh unaibuka kinyemela (kama kawaida yako off late) kutumia window ya ushindi wa Stars!

Naona sasa huu uadilifu wa rangi nyeupe ktk bendera yenu unapita ktk majaribio makubwa na naanza kuamini sasa kumbe rangi nyeupe inawakilisha usanii na ujanja ujanja tu
 
Mzee Mswahili,

Mukulu weka vitu mwanangu, lete vitu vya goba na Pugu ninakuamini mjomba, lete vitu mwanangu!

Mzee Masatu,

"Ukweli, Uwazi, na Amani" duh! I like it, sounds good na very clear, tatizo ni lile lile la CCM, na sisi Waa-Afrika wote kwa ujumla nalo ni matendo!
 
Mzee Mswahili,

Mukulu weka vitu mwanangu, lete vitu vya goba na Pugu ninakuamini mjomba, lete vitu mwanangu!

Mzee Masatu,

"Ukweli, Uwazi, na Amani" duh! I like it, sounds good na very clear, tatizo ni lile lile la CCM, na sisi Waa-Afrika wote kwa ujumla nalo ni matendo!

Mzee kumkoma nyani giladi M-makonde kasema.... naona unapotea sana siku hizi mkulu kulikoni?
 
Zito amekuwa bingwa wa kuendekeza ngono na ukweli unamsuta hataki kufanya kile ambacho ni cha busara, KUOMBA MSAMAHA. Haya mambo yangekwisha siku nyingi lakini kwa sababu anafikiria tutasahau. Amejipotezea heshima yeye mwenyewe binafsi na chama chake.

Hawezi tena kutuletea hoja hapa bila kuiangalia vizuri kwani tumekwisha mpiga darubini na kumumulika.
 
Eeh bwana nipo, ila natafuta data, mzee wangu lakini nipo siendi kokote mpaka kieleweke, tujue nani mchawi wetu bongo CCM, au upinzani?

Au wote hawafai, na labda wote wanafaaaa!
 
Wakuu.

Mswahili hawezekani ana data na hoja nzito. namuomba aache kwa heshima ya mheshimiwa Zito na Chama cha Chadema, kadri anavyoandika yanaibuka mapya na mazito zaidi.

Bi senti 50.

Humtakii mema Zito au unaona raha kuona mheshimiwa anavyochafuliwa na Mswahili, unazidi kumchochea Mswahili na wote JF tunajua kuwa kuongea waswahili ni jadi yao.

wewe ni mwanamke usiingie sana kwa Mswahili, atakuja kukuvunjia heshima yako. nakushauri nenda kwenye kitchen party kuendelea kukaa hapa ni kumvua nguo mama Zito na mheshimiwa. unajua Mswahili hajulikani na watu lakini Zito tunamjua na mada hii inathibitisha kuwa Mswahili anamjua sana Zitto hii ni hatari kwa Zitto.nakushauri nenda jikoni. humtakii mema Zitto au uko timu moja na Mswahili.

Tanzania Njema.

Nakuomba hili swala uliache, wenye akili wamejua na kuliacha, unamuona Mnyika na Mkumbo hapa? kila mnachoandika Mswahili anapangua kwa hoja za uhakika.
Nimekosa mbavu kwa kusikia kuwa Zito aliacha chuo na kukimbilia Midahalo Udsm, hiyo si hoja na kama midahalo angeenda Mzumbe. miezi michache iliyopita kwa bahati walishindana Zanzibar University na chuo kikuu cha Dar-es-salaam kwenye huo mdahalo Udsm waliburuzwa wakawa kama jibwa koko.

Nakushauri acha mara moja kujibizana na Mswahili kwa manufaa ya Zitto na Mzazi wake, mtatupa wakati mgumu siku tukimuona Mama Zitto huku tukikumbuka mjadala huu.

Mswahili.
Najua unaongea maneno ya maana sana kuanzia ubaguzi wa dini yenu hapa nchini, nakuunga mkono ni sawa na South Africa kipindi cha ubaguzi walikuwepo wazungu wenye moyo mwema kwa weusi, mimi napinga ubaguzi na hii tabia ya kuwabeza waislam, mkurugenzi mkuu aliyechaguliwa ambaye alizushiwa kuwa hakusoma ni wa usalama wa Taifa, na huyu jamaa ana masters ya uhakika. aliyeondoka ni kidato cha sita APSON, hakukuwa na maneno kuwa APSON hajasoma.

Mfano mwingine wa dhahiri ni wa mkurugenzi mkuu wa TVT bwana Tido Mhando ni kidato cha nne hana elimu ya kutosha, hatuonekani kulalamika lakini angekuwa muislam ingekuwa taabu. utamaduni huu tuuondowe.

Mswahili.
Naomba utusikilize ndugu yetu, sasa inatosha muache Zitto apumue, labda kaomba radhi kwa Mpakanjia huko chemba.
 
Ukweli na Uwazi = Mheshimiwa Zitto

Ha ha ha ha !!!! on his own terms

Wadanganyika bwana kwa kudanganya na kudanganywa ndio wenyewe
 
Back
Top Bottom