Wanene kuongezewa marupurupu

Wanene kuongezewa marupurupu

Nungwi.
Nashukuru mkuu ni wachache sana ktk dunia hii wako tayari kueleza ukweli wa mambo ulivyo, nakushukuru nasema asante kwa kufafanuzi wako.
Nilikuwa sijui kama sitakiwi kumshambulia Zitto kwa kanuni mlizojiwekea huko bwana Nungwi.

kulikuwa kuna vitu sivielewi siku za nyuma, mfano mzuri KLH News International ni redio ya kimataifa, ilipotokea Papa ameghafirika na kutoa kauli iliyowaudhi watu wa imani nyingine, habari hii iliandikwa na kuzungumzwa na vyombo vyote vya habari isipokuwa Mwanakijiji tu. kule kwenye redio yake kulikuwa na mchangiaji wake maarufu kama yeye anavyochangia JF, huyu mtu alikuwa akijulikana kama Kingwendu, alihoji sana na kutoa comment kwa mwanakijiji atolee tamko kauli ya Papa. jibu alilokuwa akitoa kuwa muda muafaka wa kulizungumza lile jambo haujafika, na sasa ni zaidi ya muda mrefu umepita ndio imetoka. siku hizi simuoni tena Kingwendu nadhani amejua kuwa redio ile iko kwenye crusade. na hapa tunaambiwa muda wa Zitto kuja kutoa tamko bado.

Nungwi ufunuo wako ni sawa na kitabu cha Padri Sivalon aliyeweka wazi mbinu chafu za kuwahujumu raia huru wa Tanzania, sababu ni waislamu. jambo hilo linataka moyo wa dhati.

kwa nukta zako Nungwi jee ni sababu hizo hizo zinazopelekea Ridhwani Kikwete kusakamwa na hawa jamaa kisa ni Mswahili?

kumekuwa na kelele nyingi za yeye kuchukua fomu tena huko Bagamoyo, sijui ingekuwaje kama angechukua Lumumba.

kelele hizi hatukuzisikia kwa Mkapa kumpa udaktari shemeji yake kwa jina la DR.Maro, wakati kanuni za kidaktari zinakataza mtu kutibiwa na ndugu yake,

kuna kumuonea huruma ndugu yako. na imagine Rais Mkapa kapata jipu sehemu za siri, DR.Maro anapata mtihani mkubwa kwani anamtibia shemeji yake sehemu ambazo anatakiwa kuziona dada yake tu.Kinyume kabisa na utaratibu wa kazi.

Hatukuwahi kusikia Mwanakjj na kambi yake kuhoji hali hii, wao wako na Ridhwan tu.

kuna mpiga picha Freddy Maro ambaye naye ni shemeji yake Mkapa. kitendo cha kuwaweka mashemeji zake Ikulu kina athari nyingi moja wapo kukosekana uwajibikaji kazini
.
mfano Maura Mwingira ambaye ndiye bosi wa Freddy Maro hana ubavu wa kumuwajibisha Freddy Maro. anajua huyu tusimguze kwani mzee anapata utulivu toka kwa dada yake,
anaogopa kupata matatizo ananyamaza tu.

Mambo haya angefanya JK tungeambiwa ni uswahili na thread nyingi tu zingefunguliwa na Tanzania Njema kusema tizama hawa waswahili ni watu wa ovyo ovyo hawana mipango hata taratibu za kazi hawazijui, karundika mashemeji Ikulu.

lakini kwa vile kafanya BENJAMIN na ANNE wana majina ya kizungu, hatukuwahi kusikia Tanzania Njema na kundi lao kuhoji. leo wanalalamika na fomu ya Ccm tena kupitia bagamoyo.

Nungwi ushauri wako wa kubadili jina nimeuafiki sasa mtanibatiza jina gani? ina maana na FREEMAN alibadili jina baada ya kuona jina lake asilia la MTUHURU limekaa kiuswahili?

Kichuguu.

Nimesikia maneno yako juu ila kipengele E mimi sikukutaja hivyo kuwa una attack watu, tizama vizuri nadhani umejichanganya na Tanzania Njema ambaye nilimquote, Tanzania njema ana utaratibu wa kulitaja jina langu kama ifutavyo (Mswahili+Ditopile) ila huwa haweki alama ya =. kwa jibu lake la leo kumbe anakusudia Mswahili+ JK = watu wa ovyo ovyo.

Nungwi.

Usiwe unapotea sana tunakosa busara zako kwani the more we live, the more we learn.

Zitoo.

Kampe pole mwandani mwenzako mlikuwa mnalala shuka moja leo humjui bi AMINA sababu ana matatizo? umerudi kwenye koloni lako la zamani (bi sent 50).nimemini wewe ni rafiki wa raha tu.haki yako umekuwa kwa taabu sana kwanini urudi ulikotoka? waswahili tunasema shida ya nini kama raha zipo.

Bi senti 50.

huyu Zitto ni laghai amerudi kwako baada ya kumuona AC ana matatizo, ilitakiwa na wewe usome hapo ujue kuwa siku ukiwa na matatizo jamaa anachukua zake hamsini. alikosa msingi wa malezi utotoni usitegee atajifunza ukubwani. bora ujitafutie muuza mawese au MUHA yeyote kuliko kupoteza muda na mtu asiye na huruma kwani anakutosa tu.

kingine umpime isije kuwa tayari yuko kwenye black list tumemsikia kuwa hatagombea 2010 labda anataka kutumia muda huo kutizama afya yake na kupumzika sana.
 
halafu wewe mswahili upo wapi ? nadhani hautakuwa bongo maana sasa hivi jamaa watakuwa wamelala lakini wewe upo tu, duh ! nilidhani upo bongo mzee.. ( simaanishi waliopo bongo wooote waswahili kitabia ) ok, bro
 
Ukisoma kile kitabu
"Nataka Iwe siri"
utasimuliwa kisa kwamba umdhanie ni baba yako mzazi siye.
Siri au ukweli kuhusu baba yako mzazi anaijua mama yako mzazi tu.

Swali?
Dare you ask your mother who is your father??
 
halafu wewe mswahili upo wapi ? nadhani hautakuwa bongo maana sasa hivi jamaa watakuwa wamelala lakini wewe upo tu, duh ! nilidhani upo bongo mzee.. ( simaanishi waliopo bongo wooote waswahili kitabia ) ok, bro
Niko mtaa wa Mafia-Kariakoo.
masikani yangu ni pale Gogo Vivu.sisi watu wa bongo Mzee. mambo yetu ni ovyo ovyo tu. majuu ni kwenu.
 
Ukisoma kile kitabu
"Nataka Iwe siri"
utasimuliwa kisa kwamba umdhanie ni baba yako mzazi siye.
Siri au ukweli kuhusu baba yako mzazi anaijua mama yako mzazi tu.

Swali?
Dare you ask your mother who is your father??

Hayo ni mawazo yake mwandishi si kila kiandikwacho unapaswa kuamini.

katiba ya chadema inasema kuwa chama kitawahudumia watanzania wote bila ubaguzi wa kikabila wala dini. lakini misaada yote inapelekwa kanisani tena kwa mwenyekiti wa Taifa. kanisa la Kilimanjaro.jee tuamini katiba hiyo?

hayo ni maandishi tu si Quran au Biblia.

Policy ya Klh NEWS International ni "KUWA HAPA HAPENDWI MTU WALA HAPENDELEWI MTU, UNASEMWA UKWELI TU".

lakini kwenye vitendo anapendelewa Mbowe na Chadema yake. na Zito kuiba mke wa watu ukweli unapindishwa. Madela unaijua zaidi KLH NEWS wanachosema si wanachotenda nao tuwaamini.au Mwanakjj amesema hapa hachangii tena jee kweli hayupo? Madilu unajua zaidi ukweli wa hili.ndio huko nyuma nikasema sheikh ni yule yule kabadili kanzu tu. au Zitto kweli hayupo hapa? nita kuPM, ujue kusema ni tofauti na uhalisia. sawa na hayo ni maandishi tu mtu kaamua kuuza kitabu chake.kuna vitabu vinasema Ng'ombe ni Mungu navyo unaviamini? kuna zingine zinasema Livingstone aligundua ZIWA Victoria unaviamini?

kikubwa umemiss point.sijasema kuwa Zitto baba yake ni mwingine zaidi ya baba halisi no. nilichosema kuwa baba yake alimnyanyapaa mama yake na kuukimbia ujauzito wa Zitto.kifupi Zitto hamjui baba yake labda ajitoze hivi sasa iwe kama Q-Chief ambaye alikuja kumtungia wimbo wa kumsimanga baba yake.

Madilu-Nilimuomba Bi senti 50 aongee na mheshimiwa mwenzake Zitto nipate ruksa ili nitaje wajihi wa mama zito, lakini hadi sasa BI 50 amekwepa kunipa jibu la ombi langu.ningepata ruksa hiyo ningeweka wajihi wake,ungepata picha kwanini baba yake alikimbia ujauzito wa Zito. angekuwa anamjua baba yake asingetumia jina la BI Kabwe kama surname yake.
 
Jibu swali.
Nimekupa mifano mingi sana hapo juu bado hujalelewa ndugu yangu? anyway tunatofautiana kwenye uelewa. nakushauri labda ukasome Ukraine.

Nakusaidia Zitto msamiati baba ana usikia tu,kuendelea kumsimbulia kuwa baba ana nafasi fulani kwenye family ni kuzidi kumtia simanzi.

Madilu nisaidie swali hili nini maana ya sheikh yule yule ila kanzu mpya?
 
Kweli JF imevamiwa, nakubali. Hata hivyo nungwi angalau katika post yako ya safari kuna vitu nimeviona! Mzee umetumia muda gani kuandika hiyo (kidding!). Kwa utaratibu huu Mzumbe polepole mnaweza kuwafikia Ruaha University!
 
Masatu amenitukana nadhani kutokana na hiyo misconception hapo juu, lakini kwa vile namfahamu nitakutana naye nyumbani tuongee hilo wakati tunakukula ugali wa muhogo na samaki sato. Namshauri tu kuwa kama alinichukia kwa kuwa nilifundisha UDSM aweke chuki hiyo pembeni wakati tunajadili mambo mbalimbali, asiwe na vendetta. Nadhani ni kutokana na chuki hizi ndiyo maana alikuwa anadakia posts zangu kwa kejeli na kuzipa sura tofauti na lengo langu; hata hivyo nitaongea naye zaidi tukienda ziwani.

Mzee wangu Kichuguu,

Awali ya yote niseme tu nakuheshimu SANA. Ijapokuwa sikujui lakini maandishi yako mengi yamejaa hekma na usomi, besides ya hilo kwa makadirio, utakuwa ni mkubwa kiumri zaidi yangu. Kwa kuchanganya hayo mawili na tamaduni zetu za kiafrika nalazimika kukuheshimu tu na nakuhakikishia kuwa sina chuki na wewe.

Lakini nimeshangazwa sana na posting zako za hivi karibuni na matumizi ya misamiati upumbavu, upuuzi nk umekuwa ukiitumia sana kujengea hoja ( kitu ambacho si kawaida yako) Binafsi nilishtushwa na kufadhaishwa sana, baadae nikadhani kuwa labda haya ni matokeo ya kukua kwa lugha ya kiswahili. Niamini ninaposema kuwa nililazimika kuchimba ktk archives zangu kutafuta tape ya Mwalimu Nyerere (mimi ni mfuasi wake mkubwa) alipoongea na waandishi wa habari. Kwa bahati mbaya bado naendelea kuangalia sijakipata kipande ninachokitaka. Mwalimu aliwahi kusema either upumbavu au ujinga au upuuzi (hapo sina uhakika) kuwa sio matusi bali ni vipaji!

Hata hivyo Mzee wangu kichuguu tuchukulie ni tusi, na kama utakumbuka ktk posting yako mwisho umesema hukuniita mimi ni mpuuzi/******** bali hoja/maneno yangu ndio ya kipuuzi/kipumbavu. Sasa kwa msingi huo huo mimi sijakuita wewe ******** bali nimeshambulia hoja/maneno yako kuwa ni ya kipumbavu au kama ilivyosomeka pumbafff. Sasa hapo kama unanitia hatiani kwa kuita hoja/maneno yako kuwani ni ya kipumbavu that is exactly what u did to me mzee.

Umenizidi kunilaumu kuwa "nadakia" posting zako kwa sababu ya chuki. Hapa nimeshindwa kukuelewa kabisa, kama nilivyosema awali mimi sikujui na hunijui, kwanini niwe na chuki na wewe? Kama suala ni mambo ya siasa wewe mwenyewe umethibitisha hapa haupo CCM wala Chadema, na hata hivyo mimi sina ugomvi na mtu wa chama chochote na sina sababu ya kuwa nao. Utaniwia radhi kama unaona "nadakia" sana posting zako mimi huwa nachangia posting nyingi tu sasa kama kwa bahati mbaya nimekuwa nachangia zilezile ambazo unachangia wewe, naomba tu uewelewa hiyo ni coincidence tu na kuanzia sasa nitachukua tahadhali kubwa kuepuka huko "kudakia"

Kwa Masatu binafsi: Katika maisha yangu yote Tanzania, sehemu pekee niliyokaa muda mrefu sana ni pale Sinza ambapo nilikaa karibu miaka kumi, na sehemu niliyofanyia kazi muda mrefu pia ni kufundisha pale UDSM kwa karibu miaka kumi. Kwa hiyo it is very likely kuwa katika posts zangu nitanyofoa mfano kutoka ama Sinza au UDSM. Hiyo isikuumize moyo ndugu yangu, kila mtu na staili yake ya kuandika na kutoa references, wewe jali zaidi mchango wangu kwenye mada na jinsi mfano huo unavyofanya mchango huo uleweke zaidi. Juzijuzi hapa kuna mtu katuambia jinsi alivyoishi na Ridhwani wakati akiwa anasoma pale UDSM and it is acceptable, kila siku Nungwi anatupa mifano ya kutoka Mzumbe University (LSE) na Dr Waryoba, kuna watu waliwahi kutupa mifano wakati wakiwa kwenye mikutano ya CCM Dodoma na kulala nje, wengine walitumia thesis zao, wengine wanatoa mifano kutoka kwenye hafla n.k., it is OK. Hata wewe kama una mfano wako binafsi ambao unaona ni relevant na utasadia mawazo yako kueleweka, utumie tu hakuna atakayekulaumu. Don't go personal kusema kuwa kwa nini huyu jamaa anatumbia alikofanyia kazi au alikokulia. Nyerere katika hotuba zake nyingi alikuwa anatoa mifano yake uzanakini, maarufu ukiwa ni ule wa mfichaficha maradhi na wa kung'atuka; huwezi kusema huo ni "upumbavu"

Mzee nikuhakikishie kuwa sio tu hainiumi kuwa wewe ulikuwa mwalimu Mlimani, bali mimi naona fahari kuona tuna wasomi wa calibre yako humo na the fact kuwa unafanya kazi nje ya nchi na ktk taifa kubwa kabisa dunia ni sawa na kupeperusha bendera ya Tanzania huko kama ambavyo tunajivunia kuwa na akina Kitila, Moshi, Nungwi????.nk. Kubwa hapa ni kuwa umetoa ufafanunuzi mzuri kuwa kusema ulikuwa mwalimu chuo kikuu ni staili yako ya uandishi, thats OK lets move on. Who knows? twaweza kukutana huko huko unyamwezini au katika kugombea mapanki kule ziwani Victoria.

Kwa kumalizia naseme tu kuwa ni kweli kwa kiasi fulani mada hii imekuwa na some personal attacks, kwenye hili na hasa tunapojadili viongozi wetu kupiga mstari baina ya mambo binafsi na ya public inakuwa taabu kidogo, hivyo hapa na pale mtu anaweza kuvuka mstari, inapotekea hivyo turekebishane tusameheane tuende mbele.

Binadamu tuna mapungufu mengi tu, tusikifike mahala tukawa kama kondoo wasio na mchungaji, sote ni watu wazima na baadhi yetu kidogo tumefuta ujinga, tunapopingana kimtazamo, sera nk tusi jump na conclude kuwa "katumwa" "unadakia" "mamluki" "chuki" "kejeli" nk
 
Ha ha ha haaaa!!!!

Hiki ndicho kinawasubiri CCM siku moja. Ukiwaburuza watu sana kuna siku
watasimama na kusema HAPANA.

Yanayoendelea hapa yaachiwe na wana JF waseme mpaka wachoke. Matokeo yake tutajifunza na baadhi ya uozo utasafishwa.

Jitihada za kutaka kuwazuia wana JF wasimwulize maswali magumu magumu mbunge Zitto ndio zimeleta haya mapinduzi. Watu walikuwa wanahisi CHADEMA inapendelewa hapa, sasa hili la Zitto ndilo limethibitisha na naona wamechoka na wameanza kusema wawezavyo.

Mheshimiwa Zitto, wale waliokushauri njia za kuingilia JF, walikosea sana. Binafsi naona ungekuja straight na kujibu maswali ya wana JF kadri uwezavyo na kwa ukweli unaoujua. Ungechukua tano zako sasa tungelikuwa tunakusubiri kusikia mapambano yako kwenye budget. Lakini baada ya kukosea
kwenye hili, unafikiri kuna watu watakuwa na muda wa kujadili umesema nini kwenye budget?

Kila unapotimia mwezi toka ulipoahidi kwamba utakuja kujibu maswali ya wana JF, tutakuwa tunakukumbusha ili usije ukasahau.

Ndugu yangu Kichuguu, jitahidi kutulia kabla ya kuandika ili kuzuia kuomba samahani nyingi. Ukishaoomba samahani kama mara kumi, basi zinakuwa hazina maana tena. Kumbuka maandishi yako kwamba kichuguu ni nyumba ya .... Sasa mbona ghafla unaanza kuwabagua baadhi ya wapangaji wako kwenye kichuguu?

Mwanakijiji, ukiona kuna jambo kunaweza kuwa na aina fulani ya conflict of interest au unaweza kuwa biased, jitahidi usiweke mdomo wako hapo. Kuna jamaa yangu ndivyo alivyowahi kunishauri. Mara zote ukiwa biased basi reasoning hupotea hapo hapo.

Mswahili, nafikiri ulikuwepo kule business times. Data za ndugu yetu Mzee ES wakati mwingine alikuwa anachukia mpaka anatukana. Tulikuwa tunasema jamaa ana data kweli kweli. Sasa iweje leo pamoja na kushusha data zako jamaa hata hawataki kukusifia pale ulipotoa data ambazo wengi wetu tulikuwa hatuzijui? Badala yake wanakimbilia kwenye matusi tu.

Idumu JF, maendeleo yanakuja pale kunapokuwa na mapambano ya mawazo. Je mnataka stability hapa JF au mnataka change. Mara zote maendeleo ya haraka hutokana na change. Status quo ya hap JF inabidi ibadilike na vijana
wanaoitikisa JF sasa ni sehemu ya hiyo change.
 
duh kaazi kweli kweli,
yaani huu mpambano wa fikra na mitazamo pamoja
na mikakati inayotumiwa katika mpambano huu
umenifunza mengi sana. asanteni wote.
 
Wakuu.

Habari za masiku? Nimeufuatilia huu mjadala kuna mambo muhimu tunaweza kujifunza kwa mustakabali wa Taifa.

Mswahili amekuwa akiandamwa, kwa sababu ya jina lake Mswahili na angekuja na jina Joseph au Smith tungesema anatoa data.

kuna wengi wamesema Mswahili mdini na mkabila, lakini hapa wanajadiliwa waislam watupu Zitto,Amina na Mpakanjia uzuri zaidi kati yao hakuna mchagga.sioni mkristu wala mchaga. tumwambie Mswahili unawashambulia waislamu wenzako. sisi hatufanyi hivyo.

hapa mnamuonea Mswahili, kuna hoja hazijapata majibu sahihi kuna sehemu bi senti 50 anasema Zitto Kabwe alikosa scholarship, ndio akaenda chuo kikuu cha Dar. na Kitila anasema walimshauri afanye hivyo. badala ya bi senti kuja na jibu sahihi anakuja kumkejili Mswahili kwa mambo ya Mwnkjj. hili linaonesha ukwepaji wa hoja.

Zitto Kabwe ndiye aliyevuruga mjadala huu, kwa kurudi kwenye forum kupitia mlango wa uani huku akijua watu wanamsubiri kama mpira wa kona.

Haikuwa busara kuendelea kumtetea Zito huku tukijua ananuka kashfa nzito.

Mswahili ameonesha hana beef na Zitto isipokuwa kwa kuona watu wanamfagilia mhalifu, ukipitia michango ya Zitto kabla ya sakati hili,sioni sehemu ambapo wamekwaruzana na Mswahili.

Mwanakijiji nae amekuwa kikwazo kingine, kila mada ya Chadema lazima achangie positively. utafikiri ana mkataba nao, hili wana JF wanalifumbia macho angekuwa Nungwi mngesikia kelele. kutetea uovu si jambo la kufurahia kwa sababu yeyote itakayotolewa.

Mswahili pamoja na kuwa jina lake hamlipendi, amekuwa neutral kama mmefuatilia mada ya Ditopile alivyodai yeye. hajachangia chochote kumsuport Dito na kwa vile wote ni waswahili wangesaidiana, Mswahili aliweza kuvumilia, ni sawa na Mwanakjj kuweza kuvumilia kuona mada ya Chadema au wanafunzi Ukraine imesomwa na watu elfu 20 na asichangie. ni jambo ambalo haliwezeni lazima atakuwa Bias tu. jamani tunajuana humu tuache unazi.

Kichuguu.

Matusi uliyomwaga humu ni uthibitisho wa ujinga wa wasomi wa Udsm, huwezi kumwambia mwenzako kuwa ********. kila siku mnakesha kumtukana Dr.Warioba wa Mzumbe University, hajawahi kuwaambieni kuwa ni wajinga. ana busara,hekima na uvumilivu mkubwa ambao nyie mnaojifanya malecturer wa Udsm, mmejaa jazba, matusi na upendeleo wa wazi kumsaidia Zito Kabwe sababu alisoma chuo kikuu cha Dar-es-salaam, mjadala huu umenisaidia kujua kuwa Udsm inakula makapi ya Zanzibar University, mtu aliyefukuzwa Zanzibar University watu wa Udsm wamempokea kwa mikono miwili hili ni jambo la aibu sana.

Tanzania Njema au niseme Tanzania Daima.

Historia aliyoitoa Mswahili kuwahujumu waswahili kupitia chuo kikuu cha Dar-es-salaam haina shaka ndani yake. kumekuwa kunapikwa migomo na majungu kila ajapo kiongozi Mswahili.

Kazi ya Dr.DAU inaonekana,labda kwa vile wewe unajibu lako kuwa waswahili ni watu wa ovyo ovyo ndio sababu kuu ya kumpiga vita huyo bwana.

kulikuwa na mada ya Nssf na Mengi ulikuwa wapi TN? hii ni kuonesha chuki zako za wazi kama ambavyo amekuwa akipigwa vita Dr.Warioba. jamani na Dau naye kwa vile Dr. ndio mnamchukia? huyu Dau ni mtu wa UDSM, msimchukie na amelitoa mbali shirika hili,jifunzeni utaratibu wa kusifia pale wanapostahili.DR.Dau hongera kuiongoza Timu yetu ya Taifa kuifunga Burkina Fasso, umeacha shughuli zako uko na vijana bega kwa bega.nimeiamini kamati yako ya oparesheni Ushindi.

jamani tuwe wa kweli wa nafsi zetu, kwangu mimi waswahili ni watu waungwana sana na watu wema.

mlianza kuwabagua Wana Mzumbe kuwa ni wababaishaji, sasa mmewavamia waswahili kuwa ni watu ovyo ovyo.

Nani kiziwi humu? kila JK akifanya mabadiliko akiweka waislamu. tutalalamika weeeeeee. hata pale wakristu tunapokuwa wengi bado tunaona hawa waislam hawastahili na ni watu ovyo ovyo tu ni sehemu ya jamii yetu.

kwa muda mrefu JK amekuwa akichagua wakristu sana hivi karibuni toka wakuu wa wilaya, afisa tawala wa mikoa, kundi la mawaziri waliochaguliwa kipindi cha Membe kupewa mambo ya nje, hakuna muislam japo wa dawa aliyechaguliwa.tulilala kwa salama na amani.

tufuatilie makatibu wakuu wamechaguliwa hivi karibuni wote ni wakristu, tabaka gani tunajenga? alipochaguliwa Adadi kuliwaka moto, Mkuu wa usalama wa Taifa ilikuwa balaa. huu si ustarabu ndugu zangu.

Mswahili.

Ushauri wangu kwako. kitendo cha kutumia jina halisi imekuwa tabu kwako. ungejaribu kuiga ulimbukeni wa Udsm, kujipa majina ya kizungu kama DR.Augustine Moshi, au John Walker hapo ungepata heshima kubwa kama Es.

Ulichokisema hapa nakupongeza sana kijana wangu.usiwaogope ndio tabia yao hawa walijaribu kumfuatafuata DR.warioba na kuanzisha mada za uongo na majungu juu yake leo wamenyamaza, nilipambana nao kwa nguvu zote walipotaka kuharibu jina la kiona mbali au tochi ya Taifa letu.

Ukisikia Dau analalamikiwa sababu pale kuna msomi toka chuo kikuu cha Mzumbe kama naibu waziri wa wizara ya Dau, kwao wao lengo ni kumchafua DR.Nchimbi. huyu chizi Bi senti 50, muulize DR.Nchimbi wamemtaja mara ngapi humu?na amewahi kuwajibu? au wanataka bakora yake? aliyelikoroga Zito lakini wao wamekazana na DR.Nchimbi tu.

Mswahili.

Wewe mtu matata sana, nakuuliza jee Mwanakijiji alifanikiwa kushughulikiwa na mzee Mkono?

WanaJF.

Mada hapa ni Zitto msilete matusi, graduate wa Udsm kavunja nyumba ya watu hiyo ndio kesi iliyopo hapa. msijaribu kupindisha topic au muelekeo wa mada hii.


Kaka Nungwi,

Sometimes ukiona hoja nzito unajinyamazia tu kwani kujibu kunaweza kusaidia ile hoja kuwa kubwa zaidi kuliko ilivyo. Response yako kuhusu hoja yangu imeweza kuthibitisha kuwa UDSM ni THA UNIVERSITY and will remain that way for many years to come.

Kusema kuwa mimi nina chuki na Dr DAu ni uzandiki wa hali ya juu kwani mimi sio tu nammuja Dr DAU lakini kwangu ni kaka na ninamwamini sana na hivi sasa najiandaa kumuunga mkono katika moja ya juhudi zake kama ile ya kuanzisha MOROGORO UNIVERSITY>

Na kama suala la uchafu wa Manji nimefanya mengi ninayoamini mazuri kwake katika maeneo platform ambazo naamini zina tija na hiyo issue na kutoniona katika ile mijadala humu NSSF ni kwa sababu niligundua kuwa wengi mliokuwa mkidhani mnamtetea Dr DAU, mlikuwa hamna ujuvi wa kutosha kuhusu yeye binafsi na issue yenyewe kwa undani wake na zaidi utetezi wenu ulionyesha wazi kuwa wengi mnafanya hivyo kwa kuwa mnajinasabisha naye kwa uswahili ama uislamu wenu kitu kilichonipelekea niamini kuwa mnaharibu zaidi ya kujenga. Na busara ninazofundishwa na wakubwa wangu ziliniambia kuwa ni heri nikakaa pembeni.

Kuhus suala la Dr Warioba na wasomi wenzake wa Phd za longdistance ama online. Kaka nimeanza kukijua chuo cha Mzumbe tangia natambaa. Udogo wangu nilikuwa sikosi Mzumbe kila mara kuanzia kwenda kula ubwabwa wa maulid, graduation, kuwatembelea ndugu na jamaa zangu wengi waliokuwa wakisoma pale, na hata baadaye kufanya shughuli za kielimu na utafiti hapo. Wajomba zangu wawili wamesomesha hapo tena enzi za 1960s and 70's na wakati nasoma mlimani nilikuwa natumia kazi zao na mitihani ya wanafunzi wao enzi zile kusoma masuala ya siasa na uchumi.

Wakati Dr Warioba anakumbwa na kasheshe mbalimbali zilizomlazimisha kuboost M.A yake to Phd nilikuwa katika mazingira hayo ya Mzumbe kaka. Hata ile hadithi ya house girl kugeuzwa my waifu nilikuwa mazingira hayo kaka.

Hivyo kaka, I know both MZUMBE na UDSM lakini ukweli niliamua kutoingia humo kwa sababu zangu binafsi. Lakini hata hivyo kaka, nina uhakika ukiweka ushabiki wako pembeni utang'amua ukweli wa wazi kuwa hata kama Degree za online ama corespondance zinakubalika kujifaragua nazo kisiasa tunafanya makosa kuruhusu kutumia elimu hiyo kufundishia katika taasisi yoyote ya kielimu haswa katika level ya chuo kikuu....

All in all, MSWAHILI anaharibu..........


Tanzanianjema
 
Mswahili, nafikiri ulikuwepo kule business times. Data za ndugu yetu Mzee ES wakati mwingine alikuwa anachukia mpaka anatukana. Tulikuwa tunasema jamaa ana data kweli kweli. Sasa iweje leo pamoja na kushusha data zako jamaa hata hawataki kukusifia pale ulipotoa data ambazo wengi wetu tulikuwa hatuzijui? Badala yake wanakimbilia kwenye matusi tu


Kufananisha data za Mzee ES na za mswahili ni kumtusi Mzee ES. Tatizo la Mzee Es ni hasira na sometimes kugeukageuka lakini nyingi zina ukweli na kasoro chache na zaidi hazitegemei vyanzo vya habari anavyotumia Kaka Mswahili na Mzee Es huwa na staha kitu ambacho nilitegemea malezi ya kiswahili yangemfundisha ndugu yetu huyu....talking about matusi...please kaka mtanzania kuwa mkweli nani anaporomosha matusi hapa....

Tanzanianjema
 
Kaka Nungwi,

Sometimes ukiona hoja nzito unajinyamazia tu kwani kujibu kunaweza kusaidia ile hoja kuwa kubwa zaidi kuliko ilivyo. Response yako kuhusu hoja yangu imeweza kuthibitisha kuwa UDSM ni THA UNIVERSITY and will remain that way for many years to come.

Kusema kuwa mimi nina chuki na Dr DAu ni uzandiki wa hali ya juu kwani mimi sio tu nammuja Dr DAU lakini kwangu ni kaka na ninamwamini sana na hivi sasa najiandaa kumuunga mkono katika moja ya juhudi zake kama ile ya kuanzisha MOROGORO UNIVERSITY>

Na kama suala la uchafu wa Manji nimefanya mengi ninayoamini mazuri kwake katika maeneo platform ambazo naamini zina tija na hiyo issue na kutoniona katika ile mijadala humu NSSF ni kwa sababu niligundua kuwa wengi mliokuwa mkidhani mnamtetea Dr DAU, mlikuwa hamna ujuvi wa kutosha kuhusu yeye binafsi na issue yenyewe kwa undani wake na zaidi utetezi wenu ulionyesha wazi kuwa wengi mnafanya hivyo kwa kuwa mnajinasabisha naye kwa uswahili ama uislamu wenu kitu kilichonipelekea niamini kuwa mnaharibu zaidi ya kujenga. Na busara ninazofundishwa na wakubwa wangu ziliniambia kuwa ni heri nikakaa pembeni.

Kuhus suala la Dr Warioba na wasomi wenzake wa Phd za longdistance ama online. Kaka nimeanza kukijua chuo cha Mzumbe tangia natambaa. Udogo wangu nilikuwa sikosi Mzumbe kila mara kuanzia kwenda kula ubwabwa wa maulid, graduation, kuwatembelea ndugu na jamaa zangu wengi waliokuwa wakisoma pale, na hata baadaye kufanya shughuli za kielimu na utafiti hapo. Wajomba zangu wawili wamesomesha hapo tena enzi za 1960s and 70's na wakati nasoma mlimani nilikuwa natumia kazi zao na mitihani ya wanafunzi wao enzi zile kusoma masuala ya siasa na uchumi.

Wakati Dr Warioba anakumbwa na kasheshe mbalimbali zilizomlazimisha kuboost M.A yake to Phd nilikuwa katika mazingira hayo ya Mzumbe kaka. Hata ile hadithi ya house girl kugeuzwa my waifu nilikuwa mazingira hayo kaka.

Hivyo kaka, I know both MZUMBE na UDSM lakini ukweli niliamua kutoingia humo kwa sababu zangu binafsi. Lakini hata hivyo kaka, nina uhakika ukiweka ushabiki wako pembeni utang'amua ukweli wa wazi kuwa hata kama Degree za online ama corespondance zinakubalika kujifaragua nazo kisiasa tunafanya makosa kuruhusu kutumia elimu hiyo kufundishia katika taasisi yoyote ya kielimu haswa katika level ya chuo kikuu....

All in all, MSWAHILI anaharibu..........


Tanzanianjema

Tanzania njema nakubali mimi naharibu, na Zitto anafanya nini? anakwiba wake za watu, amemuharibu muhonga, mama yake t..... wa kimataifa.

Zitto kafungua NGO ya kitapeli Kigoma anamemuweka mbele mzazi wake kama mwenyekiti,yaani anatumia advantage ya maumbile (physical appearence) mama yake ili wafadhili wasaidie NGO yake(wapatwe na huzuni).

jee anatofauti gani na wagogo tunaowaona pale posta wakiwatumia watoto wao kujinufaisha wao? hivi akitokea mtu wa kumponya mama Zitto,kweli Zitto atakubali? atajua duu mtaji ndio umekwisha. mtu mshenzi anachukua wake za watu na anamfanya mama yake mradi jee anatengeneza? mie umesema nina haribu.

Unafiki wako Tanzania njema.

umesema unamuheshimu Dr.Dau na umefika hapo ulipo kwa baadhi ya juhudi zake na ni kaka yako , nakubali sana.

ilikuwaje ukaunganisha jina langu na lake kwenye post yako huko nyuma? kwa tafsiri yako umesema kuwa, mswahili ni mtu ovyo ovyo au waislamu wasio na mipango ni watu ambao hawatakiwi wapuuzi hawana maana.

sasa kwa mtu unayedai ni kaka yako na unamuheshimu leo kuja kumuunganisha na jina unaloliona la kiovyo ovyo na kipuuzi ni heshima hiyo?

umeandia Mswahili+DR.Dau, sawa na mimi niandike Bastard+ Zitto halafu mbeleni niseme namuheshimu Zitto utanielewa?

au unatumia ile kanuni ya Zitto kabwe kujifanya anamuheshimu mama yake huku akitumia maumbile ya mama yake kutafutia ufadhili NGO yake.huo kwangu mimi ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu.

tena umempinga Tanzania kwa kunifananisha na Es , ukasema ni kumshushia heshima mzee Es, kwani mswahili hadhi yangu ni ndogo sana kwenye jamii nakubali.
jee huyu unayedai kaka yako(Dau) unamlinganisha na mimi mtu wa ovyo ovyo ambaye mtu wa mbali kama Es ambaye si ndugu yako, umeshindwa kunifananisha nae ukilalama kuwa ni kumvunjia heshima. kweli unamuheshimu au una mdhihaki? unaweza kumtaja Mbowe +Mswahili? nadhani bora ungeweka Zitto+Tanzania Njema= sheikh yule yule ila kanzu mpya.ingeleta heshima kuliko kumfananisha kaka yako na mimi mtu wa ovyo.

Sakata la Nssf kuhusisha waislam si mahala pake jee sheikh Khalifa hamisi ni padri? huyo ndio alikuwa kwenye mstari wa mbele akiwa na Mzee Mengi kumpinga Manji na upande wa manji kulikuwa na sheikh Basaleh. sikuona Dau kuhusika na waislamu labda wewe umeamua tu kumtoa Dau kafara (kaka yako) kama ambavyo Zitto Kabwe, anayefurahi kumuona mama yake yuko hali ile ili mambo yake yawe muswanu kwa wajerumani.

Wewe Tanzania Njema mnafiki.

ukiendelea nitatoa zile PM unazonitumia za kinafiki ili wanabodi wakujue wewe mnafiki kiasi gani. tena kanzu hii uliyovaa inakufaaa sana wachache tunaokujua kama umebadilisha kanzu.

Wanabodi.

Mada hii inabadilishiwa mbinu kila siku baada ya wana chadema kushindwa hoja na mzinzi wao.

1-tulileta fact kuwa Zitto kafukuzwa chuo Zanzibar wakajichanganya mmoja anasema alinyimwa scholarship,Mkumbo naye anasema kulikuwa Zanzibar university hakuna debate nyingi.

kweli mtu kashamaliza mwaka ataacha chuo kuhamia kingine akaanze upya mwaka wa kwanza sababu tu kule anakotoka hakuna midahalo mingi?

jamani huu ni uongo,ina maana chadema hawajui thamani ya muda? na kama kule alitumia scholarship ya mwaka wa kwanza haoni kama ameharibu pesa za watu?
mtu ukipewa scholarships huwa kwa kipindi chote cha masomo, mfano mkumbo phd yako unapewa scholarships kila mwaka au inakuwa kwa kipindi chote cha masomo kama miaka minne? naamini kama alipewa scholarship mwaka wa mwanzo basi chuo kilikuwa na wajibu wa kumaliza nae miaka yote mitatu ndio utaratibu wa dunia nzima. au kuleta hoja kuwa hakuna debate club sio hoja angesema hakuna walimu atleast tungeelewa. na kama mijadala( debate) angekwenda Mzumbe ambao ndio mabingwa wa debate kwa mujibu wa Nungwi.
Kichuguu akaleta hoja lemavu (samahani Zitto zijalenga kwako nimekosa neno mbadala ndio nitatumia neno hilo)kuwa Udsm hawapokei waliofukuzwa,jibu Zitto alianza upya haku mention kama alisoma ZNZ.alidanganya kuwa ni form six tu.

2-Baada ya kushindwa kutetea hoja zao au kupinga tulizowapa. wakaja na hoja ya kuleta matusi alikuja nayo Bi senti 50, Tukayajibu matusi kutokana na maandishi yao na kupitia interview ya Mwanakjj na JK.wakakwama, kichuguu akaja naye na Pumbafuuu,tukamvumilia.

3-Option ya sasa ni kuja na udini hii ameiweka wazi Kichuguu kule kwenye silencing MP, na Tanzania Njema kaiweka juu.lengo kutugombanisha waTanzania. mimi nina marafiki zangu humu si waislam lakini tunakubaliana na kupeana hoja mbali mbali kwa heshima.

mimi humu nawajadili Zitto-muislam,AMINA-Chifupa-muislam,Mpakanjia-muislam na Muhonga nae muislam, hakuna mkristu wala mchaga kati ya hao hili Nungwi amelisema alimsahau Muhonga.

sasa huo udini uko wapi? Inajulikana nyinyi nguvu zenu si Zitto bali kutetea reputation ya chama chenu. jamani kama siasa mmeshindwa fanyeni shughuli nyingine.

sijui option ya nne itakuwa nini?
 
TanzaniaNjema,

Usinibandikie mdomoni mwangu maneno ambayo mimi sijayasema. Mimi nimtusi Mzee ES kwasababu zipi? Mimi nilitumia mfano wa mzee ES kuonyesha UNAFIKI ambao nauona hapa JF.

Kwa wengine hoja ni hoja tu au tusi ni tusi tu bila kujali limetolewa nani.

Mswahili kaongea mengi na kuna mengi mimi hata siwezi kuyarudia maana kwa mimi ni too personal lakini pia kuna mambo ya maana kayaongea, na ndio hayo nilisema angalau mungekubali kuna mambo ambayo ni UNAFIKI, na Mswahili kasaidia kuyafumua. Haitoshi kukanusha haraka haraka badala yake kuna haja ya kuyaangalia kwa mapena zaidi.

Vinginevyo mjadala uendelee....
 
Kaka mswahili, ninaacha shughuli zabgu nyingina muhimu kwangu binafsi ili nikujibu hoja na shutuma zako moja baada ya nyingine, kwa faida yako na faida ya watanzania wenzangu humu ndani,

1. Zitto kafungua NGO ya kitapeli Kigoma anamemuweka mbele mzazi wake kama mwenyekiti,yaani anatumia advantage ya maumbile (physical appearence) mama yake ili wafadhili wasaidie NGO yake(wapatwe na huzuni).

Kaka huu ndio ninaoita uzandiki. Sikatai uhusika wa Zitto katika kuanzishwa kwa ile NGOs lakini ni makosa kumshutumu Zitto kuwa amemtumia mama yake. Alichokifanya Zitto ambacho nategemea hata wewe unapaswa kufanya ni kutumia ujuzi wake alioupata kutokana na sacrifices ambazo mama yake alitoa kumfikisha hapo alipo, kumsaida mama yake na watu wengine kuanzisha na hata kuendeleza hiyo NGO. Lakini hiyo haiwezi kuwa ushahidi wa kum-demonize Zitto na mama yake.

2. ilikuwaje ukaunganisha jina langu na lake kwenye post yako huko nyuma? kwa tafsiri yako umesema kuwa, mswahili ni mtu ovyo ovyo au waislamu wasio na mipango ni watu ambao hawatakiwi wapuuzi hawana maana.

Kaka nadhani nilikuwa wazi kuhusu hilo kuwa nilifanya ili kukuchokonoa lakini vilevile kukuonyesha kuwa una mapungufu Fulani. Sijasema kuwa wewe ni hovyohovyo bali nilisema kuwa unavyobehave hapa unasaidia kuhalalisha prejudice za watu ambao wanapenda kunasabisha USWAHILI na tabia hovyohovyo na bahati mbaya mara nyingi katika jamii yetu tunapenda kujumuisha waswahili na waislam na uswahili na uislam.


3. tena umempinga Tanzania kwa kunifananisha na Es , ukasema ni kumshushia heshima mzee Es, kwani mswahili hadhi yangu ni ndogo sana kwenye jamii nakubali.

Kaka sijasema kuwa haddi yako ni ndogo kaka. Najitahidi sana kuepuka tabia ya kukejeli binadamu wenzangu (kama ufanyavyo wewe na mama Zitto) isipokuwa nilikuwa natofautisha aina ya michango yako hapa na michango ya Mzee Es. Kama unavyojua pale nionapo Mzee Es anakosea huwa sikosi kumkosoa kama nifanyavyo kwako hapa lakini huwa najitahidi kuwa ukusoaji wangu uwe unalenga kujenga zaidi ya kubomoa. Na hiyo ndio principle ninayojitahidi kuijenga katika maisha yangu kaka.

4. Sakata la Nssf kuhusisha waislam si mahala pake jee sheikh Khalifa hamisi ni padri? huyo ndio alikuwa kwenye mstari wa mbele akiwa na Mzee Mengi kumpinga Manji na upande wa manji kulikuwa na sheikh Basaleh. sikuona Dau kuhusika na waislamu labda wewe umeamua tu kumtoa Dau kafara (kaka yako) kama ambavyo Zitto Kabwe, anayefurahi kumuona mama yake yuko hali ile ili mambo yake yawe muswanu kwa wajerumani.

Kaka please sio mimi niliyemtoa kafara Dr DAU ila michango kama yako katika ule mjadala ndio kwa maoni yangu imekuwa ikihalalisha prejudice zilizotuzunguka katika jamii yetu kwa kila mtu kujiona yeye ndiye mstaarabu na wengine ni hovyohovyo. Kaka I was born, raised, grow up and up to know I am surviving in that dreadful environment so I know how painful and destructive it is for our country kaka. But siamini kama approach yako inajenga bali naona inazidi kubomoa. Na katika mjadala ule nadhani kuwa ilimbomoa Dr DAU zaidi ya kumjenga. Huhitaji kuwa political psychologist kugundua hilo. Na kama wajerumani wametambua umuhimu wa Zitto katika siasa zetu na za afrika kwa ujumla sio kwa sababu ya maumbile ya mama yake bali kwa sabau ya sacrifice alizotoa mama yake kumjenga Zitto na hawa wengine kumuona na kutoa michango yao pia.


5. ukiendelea nitatoa zile PM unazonitumia za kinafiki ili wanabodi wakujue wewe mnafiki kiasi gani. tena kanzu hii uliyovaa inakufaaa sana wachache tunaokujua kama umebadilisha kanzu.

Kaka kama kuna vitu ambavyo siviogopi ni kutoa mawazo yangu. Na kama nilivyosema hapo nyuma mimi siamini tabia ya kujifichaficha lakini ktumia jina la Tanzanianjema ambalo kwangu ni zaidi ya codename tu ni kuheshimu protocola za JF. Nilikutumia PM nikiamini wewe kama mswahili bado una hekima, stara na ustaarabu wa kutambua nini maana ya uungwana lakini nasikitika kuwa unachofanya nini tofauti na fikira zangu. Kama unajisikia kutowa hizo PM ambazo nilikutumia mwanzoni na kama protocol za JF zinaruhusu kutowa toa kaka. Lakini ukumbuke kutoa mlolongo mzima ikiwemo response zako. Na kama utashindwa na administrator wataruhusu mimi niko tayari kukusadia kuzitoa.


6. 1-tulileta fact kuwa Zitto kafukuzwa chuo Zanzibar wakajichanganya mmoja anasema alinyimwa scholarship, Mkumbo naye anasema kulikuwa Zanzibar university hakuna debate nyingi. Kweli mtu kashamaliza mwaka ataacha chuo kuhamia kingine akaanze upya mwaka wa kwanza sababu tu kule anakotoka hakuna midahalo mingi?. Jamani huu ni uongo,ina maana chadema hawajui thamani ya muda? na kama kule alitumia scholarship ya mwaka wa kwanza haoni kama ameharibu pesa za watu?

Kaka i wish kulikoa na anything to call facts. Lakini hivi kweli unaweza kuhoji uamuzi wa mtu kuhamia UDSM hata baada ya mwaka mmoja kutoka katika Zanzibar University kule Tunguu. Ina maana wewe hujui mapungufu makubwa ya kiutendaji yaliyopo pale Tunguu haswa kutokana na ule mkono wa wale wafadhili wake. Ina maana hujui matatizo ya scholarship za wale jamaa wa kutoka Sudan katika chuo hiki? Hivi kweli kwa dhati kabisa unaweza kulinganisha debate za UDSM na Zanzibar University? Ina maana kama mwanao atataka kufanya hivyo kuhama Zanzibar Univeristy kwenda UDSM utamkataza? Kati ya kupoteza muda na kufuata wingi wa maarifa nini kipaumbelea kwako? Unataka kila mtu akimbilie kupata “bora degree” na sio degree bora halafu kesho uje lalamika kuhusu utendaji wa watu ambao hawakuwa na guts za kutumia muda na fedha nyingi ili mradi wapate elimu iliyobora na yenye kuongeza maarifa kuliko “just a degree”? Si wewe ndiye uliyemrecognise Kitila “kumshauri” Mbowe kwenda kukaa darasani? Hapo ulikuwa hauoni suala la kupoteza muda na fedha? Ama ni huu urithi tuliochiwa na wakoloni wa “DEVIDE AND RULE” ndio ilikupelekea kurecognise huwo “mchango” wa Kitila


7. Kichuguu akaleta hoja lemavu (samahani Zitto zijalenga kwako nimekosa neno mbadala ndio nitatumia neno hilo)kuwa Udsm hawapokei waliofukuzwa, jibu Zitto alianza upya haku mention kama alisoma ZNZ. alidanganya kuwa ni form six tu.

Kaka mswahili jaribu kutafuta data kwanza kabla ya kutoa hoja. UDSM haipokea mtu aliyekuwa discontinued kutoka chuo kingine ama hata palepale mpaka huyo mtu atimize miaka miwili baada ya kuwa discontinued. Na kama suala la kufukuzwa mbona Zitto ana shahada ya umahiri wa kufukuzwa na sio mlimani tu na hata katika elimu yake ya sekondari. Na wewe ukiwa kama jamaa yake ama ulikuwa na mahusiano ya kifamilia naye hapo nyuma ulipaswa kujua kuwa mara zote hizi Zitto amefukuzwa kutokana ama na misimamo yake ama nafasi yake kama kiongozi kusimamia kile anachoamini ni haki za waezake.

8. Option ya sasa ni kuja na udini hii ameiweka wazi Kichuguu kule kwenye silencing MP, na Tanzania Njema kaiweka juu.lengo kutugombanisha waTanzania. mimi nina marafiki zangu humu si waislam lakini tunakubaliana na kupeana hoja mbali mbali kwa heshima.

Kaka lengo langu sio kuwagombanisha watanzania bali kuwa tayari kutambua mapungufu yetu na kwako wewe kutambua mapungufu yako katika uchangiaji wako humu. Uchangiaji ambao naamini kuwa mara nyingi umekuwa sio mzuri kwa jamii yetu. Ni muhimu kucritisize mambo lakini tunapanswa kuwa responsible na criticism zetu na tuwe tunalenga kujenga na sio kubomoa jamii yetu. Zaidi mimi naamini umuhimu wa self criticism na ndio maana nilitolea mifano hiyo nikijua kuwa utaweza kuitumia kujiangalia wewe mwenyewe na kutambua mapungufu yako badala ya kujaribu kutumia mapungufu yaw engine kujipa moyo kuwa wewe uko safi. Kuhusu Dr DAU kama nilivyowahi kusema hapo mwanzoni naamini kuwa yeye binafsi hana hatia na kuna ushahidi wa kimaandishi ni jinsi gani aliyokuwa akipinga ule uozo wa Manji na juhudi zipi alizochukua hadi ile safari yake kule…..ambako aliishia kuvunjwa moyo namtu aliyemtegemea kuzui huo unyang’au

9. sasa huo udini uko wapi? Inajulikana nyinyi nguvu zenu si Zitto bali kutetea reputation ya chama chenu. jamani kama siasa mmeshindwa fanyeni shughuli nyingine.

Kaka jitahidi kujipusha na hii sumu mbaya kuwa kila mtu anayekosoa matendo ya chama tawala ama anamtetea mtu tunatakiwa na wenye nchi kumuojna kama “mpinzani” basi naye mpinzani. Hiyo ni sumu kali ya kisiasa katika jamii yetu ambayo kwa maoni yangu ni moja ya sababu za zinazodumaza ujenzi wa demokrasia makini katika nchi yetu. Nilishaweka wazi kuwa Zitto ni mtu wangu wa karibu sana na nathamini mchango wake katika kujenga upinzani makini lakini sio kuwa nafunga macho pale ambapo naona yeye binafsi anaharibu ama wao kama taasisi wanaharibu. Lakini hilo halinifanyi mimi kuwa mwana CHADEMA, changanua hoja zangu lakini usikimbile kunihusihsa na makundi ambayo mimi sina mahusiano nayo. Labda kama unataka kusema kila mtu aliye na muono tofauti na ule wa “Tanzania ni CCM na CCM ni Tanzania” ni mwana CHADEMA.

Asalam Aleykum kaka….

Tanzanianjema
 
TanzaniaNjema,

Usinibandikie mdomoni mwangu maneno ambayo mimi sijayasema. Mimi nimtusi Mzee ES kwasababu zipi? Mimi nilitumia mfano wa mzee ES kuonyesha UNAFIKI ambao nauona hapa JF.....

Kaka samahani kama nimekuelewa vibaya.....

Tanzanianjema
 
Tunaendelea kumsubiri Mheshimiwa Zitto, Mzee Mswahili na Mtanzania, Masatu heshima mbele kwa kusimamia heshima ya forum,

Forum mbele, wanachama baadaye!
 
Kaka mswahili, ninaacha shughuli zabgu nyingina muhimu kwangu binafsi ili nikujibu hoja na shutuma zako moja baada ya nyingine, kwa faida yako na faida ya watanzania wenzangu humu ndani,

1. Zitto kafungua NGO ya kitapeli Kigoma anamemuweka mbele mzazi wake kama mwenyekiti,yaani anatumia advantage ya maumbile (physical appearence) mama yake ili wafadhili wasaidie NGO yake(wapatwe na huzuni).

Kaka huu ndio ninaoita uzandiki. Sikatai uhusika wa Zitto katika kuanzishwa kwa ile NGOs lakini ni makosa kumshutumu Zitto kuwa amemtumia mama yake. Alichokifanya Zitto ambacho nategemea hata wewe unapaswa kufanya ni kutumia ujuzi wake alioupata kutokana na sacrifices ambazo mama yake alitoa kumfikisha hapo alipo, kumsaida mama yake na watu wengine kuanzisha na hata kuendeleza hiyo NGO. Lakini hiyo haiwezi kuwa ushahidi wa kum-demonize Zitto na mama yake.

2. ilikuwaje ukaunganisha jina langu na lake kwenye post yako huko nyuma? kwa tafsiri yako umesema kuwa, mswahili ni mtu ovyo ovyo au waislamu wasio na mipango ni watu ambao hawatakiwi wapuuzi hawana maana.

Kaka nadhani nilikuwa wazi kuhusu hilo kuwa nilifanya ili kukuchokonoa lakini vilevile kukuonyesha kuwa una mapungufu Fulani. Sijasema kuwa wewe ni hovyohovyo bali nilisema kuwa unavyobehave hapa unasaidia kuhalalisha prejudice za watu ambao wanapenda kunasabisha USWAHILI na tabia hovyohovyo na bahati mbaya mara nyingi katika jamii yetu tunapenda kujumuisha waswahili na waislam na uswahili na uislam.


3. tena umempinga Tanzania kwa kunifananisha na Es , ukasema ni kumshushia heshima mzee Es, kwani mswahili hadhi yangu ni ndogo sana kwenye jamii nakubali.

Kaka sijasema kuwa haddi yako ni ndogo kaka. Najitahidi sana kuepuka tabia ya kukejeli binadamu wenzangu (kama ufanyavyo wewe na mama Zitto) isipokuwa nilikuwa natofautisha aina ya michango yako hapa na michango ya Mzee Es. Kama unavyojua pale nionapo Mzee Es anakosea huwa sikosi kumkosoa kama nifanyavyo kwako hapa lakini huwa najitahidi kuwa ukusoaji wangu uwe unalenga kujenga zaidi ya kubomoa. Na hiyo ndio principle ninayojitahidi kuijenga katika maisha yangu kaka.

4. Sakata la Nssf kuhusisha waislam si mahala pake jee sheikh Khalifa hamisi ni padri? huyo ndio alikuwa kwenye mstari wa mbele akiwa na Mzee Mengi kumpinga Manji na upande wa manji kulikuwa na sheikh Basaleh. sikuona Dau kuhusika na waislamu labda wewe umeamua tu kumtoa Dau kafara (kaka yako) kama ambavyo Zitto Kabwe, anayefurahi kumuona mama yake yuko hali ile ili mambo yake yawe muswanu kwa wajerumani.

Kaka please sio mimi niliyemtoa kafara Dr DAU ila michango kama yako katika ule mjadala ndio kwa maoni yangu imekuwa ikihalalisha prejudice zilizotuzunguka katika jamii yetu kwa kila mtu kujiona yeye ndiye mstaarabu na wengine ni hovyohovyo. Kaka I was born, raised, grow up and up to know I am surviving in that dreadful environment so I know how painful and destructive it is for our country kaka. But siamini kama approach yako inajenga bali naona inazidi kubomoa. Na katika mjadala ule nadhani kuwa ilimbomoa Dr DAU zaidi ya kumjenga. Huhitaji kuwa political psychologist kugundua hilo. Na kama wajerumani wametambua umuhimu wa Zitto katika siasa zetu na za afrika kwa ujumla sio kwa sababu ya maumbile ya mama yake bali kwa sabau ya sacrifice alizotoa mama yake kumjenga Zitto na hawa wengine kumuona na kutoa michango yao pia.


5. ukiendelea nitatoa zile PM unazonitumia za kinafiki ili wanabodi wakujue wewe mnafiki kiasi gani. tena kanzu hii uliyovaa inakufaaa sana wachache tunaokujua kama umebadilisha kanzu.

Kaka kama kuna vitu ambavyo siviogopi ni kutoa mawazo yangu. Na kama nilivyosema hapo nyuma mimi siamini tabia ya kujifichaficha lakini ktumia jina la Tanzanianjema ambalo kwangu ni zaidi ya codename tu ni kuheshimu protocola za JF. Nilikutumia PM nikiamini wewe kama mswahili bado una hekima, stara na ustaarabu wa kutambua nini maana ya uungwana lakini nasikitika kuwa unachofanya nini tofauti na fikira zangu. Kama unajisikia kutowa hizo PM ambazo nilikutumia mwanzoni na kama protocol za JF zinaruhusu kutowa toa kaka. Lakini ukumbuke kutoa mlolongo mzima ikiwemo response zako. Na kama utashindwa na administrator wataruhusu mimi niko tayari kukusadia kuzitoa.


6. 1-tulileta fact kuwa Zitto kafukuzwa chuo Zanzibar wakajichanganya mmoja anasema alinyimwa scholarship, Mkumbo naye anasema kulikuwa Zanzibar university hakuna debate nyingi. Kweli mtu kashamaliza mwaka ataacha chuo kuhamia kingine akaanze upya mwaka wa kwanza sababu tu kule anakotoka hakuna midahalo mingi?. Jamani huu ni uongo,ina maana chadema hawajui thamani ya muda? na kama kule alitumia scholarship ya mwaka wa kwanza haoni kama ameharibu pesa za watu?

Kaka i wish kulikoa na anything to call facts. Lakini hivi kweli unaweza kuhoji uamuzi wa mtu kuhamia UDSM hata baada ya mwaka mmoja kutoka katika Zanzibar University kule Tunguu. Ina maana wewe hujui mapungufu makubwa ya kiutendaji yaliyopo pale Tunguu haswa kutokana na ule mkono wa wale wafadhili wake. Ina maana hujui matatizo ya scholarship za wale jamaa wa kutoka Sudan katika chuo hiki? Hivi kweli kwa dhati kabisa unaweza kulinganisha debate za UDSM na Zanzibar University? Ina maana kama mwanao atataka kufanya hivyo kuhama Zanzibar Univeristy kwenda UDSM utamkataza? Kati ya kupoteza muda na kufuata wingi wa maarifa nini kipaumbelea kwako? Unataka kila mtu akimbilie kupata “bora degree” na sio degree bora halafu kesho uje lalamika kuhusu utendaji wa watu ambao hawakuwa na guts za kutumia muda na fedha nyingi ili mradi wapate elimu iliyobora na yenye kuongeza maarifa kuliko “just a degree”? Si wewe ndiye uliyemrecognise Kitila “kumshauri” Mbowe kwenda kukaa darasani? Hapo ulikuwa hauoni suala la kupoteza muda na fedha? Ama ni huu urithi tuliochiwa na wakoloni wa “DEVIDE AND RULE” ndio ilikupelekea kurecognise huwo “mchango” wa Kitila


7. Kichuguu akaleta hoja lemavu (samahani Zitto zijalenga kwako nimekosa neno mbadala ndio nitatumia neno hilo)kuwa Udsm hawapokei waliofukuzwa, jibu Zitto alianza upya haku mention kama alisoma ZNZ. alidanganya kuwa ni form six tu.

Kaka mswahili jaribu kutafuta data kwanza kabla ya kutoa hoja. UDSM haipokea mtu aliyekuwa discontinued kutoka chuo kingine ama hata palepale mpaka huyo mtu atimize miaka miwili baada ya kuwa discontinued. Na kama suala la kufukuzwa mbona Zitto ana shahada ya umahiri wa kufukuzwa na sio mlimani tu na hata katika elimu yake ya sekondari. Na wewe ukiwa kama jamaa yake ama ulikuwa na mahusiano ya kifamilia naye hapo nyuma ulipaswa kujua kuwa mara zote hizi Zitto amefukuzwa kutokana ama na misimamo yake ama nafasi yake kama kiongozi kusimamia kile anachoamini ni haki za waezake.

8. Option ya sasa ni kuja na udini hii ameiweka wazi Kichuguu kule kwenye silencing MP, na Tanzania Njema kaiweka juu.lengo kutugombanisha waTanzania. mimi nina marafiki zangu humu si waislam lakini tunakubaliana na kupeana hoja mbali mbali kwa heshima.

Kaka lengo langu sio kuwagombanisha watanzania bali kuwa tayari kutambua mapungufu yetu na kwako wewe kutambua mapungufu yako katika uchangiaji wako humu. Uchangiaji ambao naamini kuwa mara nyingi umekuwa sio mzuri kwa jamii yetu. Ni muhimu kucritisize mambo lakini tunapanswa kuwa responsible na criticism zetu na tuwe tunalenga kujenga na sio kubomoa jamii yetu. Zaidi mimi naamini umuhimu wa self criticism na ndio maana nilitolea mifano hiyo nikijua kuwa utaweza kuitumia kujiangalia wewe mwenyewe na kutambua mapungufu yako badala ya kujaribu kutumia mapungufu yaw engine kujipa moyo kuwa wewe uko safi. Kuhusu Dr DAU kama nilivyowahi kusema hapo mwanzoni naamini kuwa yeye binafsi hana hatia na kuna ushahidi wa kimaandishi ni jinsi gani aliyokuwa akipinga ule uozo wa Manji na juhudi zipi alizochukua hadi ile safari yake kule…..ambako aliishia kuvunjwa moyo namtu aliyemtegemea kuzui huo unyang’au

9. sasa huo udini uko wapi? Inajulikana nyinyi nguvu zenu si Zitto bali kutetea reputation ya chama chenu. jamani kama siasa mmeshindwa fanyeni shughuli nyingine.

Kaka jitahidi kujipusha na hii sumu mbaya kuwa kila mtu anayekosoa matendo ya chama tawala ama anamtetea mtu tunatakiwa na wenye nchi kumuojna kama “mpinzani” basi naye mpinzani. Hiyo ni sumu kali ya kisiasa katika jamii yetu ambayo kwa maoni yangu ni moja ya sababu za zinazodumaza ujenzi wa demokrasia makini katika nchi yetu. Nilishaweka wazi kuwa Zitto ni mtu wangu wa karibu sana na nathamini mchango wake katika kujenga upinzani makini lakini sio kuwa nafunga macho pale ambapo naona yeye binafsi anaharibu ama wao kama taasisi wanaharibu. Lakini hilo halinifanyi mimi kuwa mwana CHADEMA, changanua hoja zangu lakini usikimbile kunihusihsa na makundi ambayo mimi sina mahusiano nayo. Labda kama unataka kusema kila mtu aliye na muono tofauti na ule wa “Tanzania ni CCM na CCM ni Tanzania” ni mwana CHADEMA.

Asalam Aleykum kaka….

Tanzanianjema

Tanzania Njema.

Imebidi nije kukujibu kwanza kabla ya kwenda kulipa kiporo kwa mkuu wako kule kwenye Taifa stars.

1.Kuhusu NGO ya Zitto Kabwe umejaribu kudanganya umma kama unavyozidi kutuvuruga, suala la zitto kuwa na NGO si tatizo aweke wazi, lakini wanakuja wafadhili huweki wazi, kwao unawaambia hapa kuna mama mmoja ana hali fulani ana NGO yake na wenzake, nimeifuatilia naona wako makini naomba muwasaidie huo ndio ulaghai au utapeli, wale wanasaidia wakijua wanasaidia watu baki kwa recommendation ya Mbunge Zitto.

kumbe wanamsaidia mama Zitto na Zito mwenyewe.Anamtumia Mama yake kama chambo cha kupata misaada ya NGO yake.Mheshimiwa umewahi kusikia Celtel au BP wanaanzisha mashindano na kuweka bayana mtu mwenye ndugu kwenye shirika hili asishiriki.

2. Unasema kuna prejudice za watu ambao wanapenda kunasabisha uswahili na tabia ovyo ovyo na bahati mbaya mara nyingi tunapenda kujumuisha waswahili na waislamu au uswahili na uislam,maneno yako hayana mantiki unafanya nini huko au unapoteza pesa za watu tu?

naomba nikuulize Tanzania Njema watu kama Charles Hilal, Rupia. Isack sepetu, Jaji Augustino Ramadhan, Tido Mhando, Charles Boniface, Peter Tino,stephen Nemes Masajage,Kingunge Ngombare,professor Penina Mlama n.k si waswahili?ni waswahili zaidi ya Zitto kabwe au Shaibu Akwilombe,na tafsiri hiyo uliyoitoa hapo juu kuwa uswahili ni uislam sijaiona kwenye kamusi yeyote ya kiswahili labda iwe Zito katoa kamusi yake ambayo mimi sijaiona.

3- unasema nina tabia ya ajabu ya kukejeli watu kama mama ziito. Mimi sijamkeli mama zitto, nimekuwa nikilalamikia tabia yake chafu ambayo haina mahusiano na maumbile, wewe unasema uko karibu sana na Zito basi utayajua yafuatayo 1992 mwezi may mama huyu alimlaghai mtu alichukua pesa zake akijifanya ni wakala wa tiketi za ndege kesi husika ni tiketi ya kwenda Syria.

kuna kesi nyingine ya huyu mama na Karim Immu mwalimu wa shule ya gongoni Tabora, hii 1993. na buguruni Polisi ndio kwenye mafaili mengi ya huyu mama.

au unataka kutake advantage ya hali yake ili awe anawakosea watu na kutumia kinga ya maumbile yake? tukimwambia awe anasema mnanionea kwa ajili ya maumbile yangu?.

Zitto muulize zaidi yeye hakulelewa na huyu Mama, kwani alimuacha Kigoma na yeye kuja Dar kufanya ujanja wake. kusingizia kuwa mama huyu aliteseka sana kumlea Zitto, sio kweli labda matezo ya kubeba ujauzito. malezi mengine hakumlea, alikuwa kama kuku wa kienyeji mara mama mkubwa bi Kabwe, mara kwa bibi, mara kwa kina Lihei hayo ndio malezi ya Zitto.

4-Es amewahi kuandika thread yenye Maudhui Nyerere na Lucy Lameck, jee Tanzania njema maneno yaliyokuwa mle ni mepesi? hadi jinsi walivyokuwa kwenye faragha aliweka Es, kumbuka aliyeandikwa ni baba yetu wa taifa na adm aliiondoa.mimi sijafika huko. sijawahi kusema Mama Zito anafanya nini kitandani na siwezi. sijui umetumia mizani gani kunihukumu baina yangu na Es.

lakini itakavyokuwa Es ni mtu wangu huwezi kutugombanisha. zaidi sijaja kushindana hapa bali kuweka wazi uovo ndani jamii. nakuomba unifanye wa mwisho katika league table yako kwenye hii forum muhimu kwangu watu wajue nini kinaendelea.

5- umedai nilimbomoa DR.DAU,naomba ujue mimi sina mkataba nae hapa wa kumjenga. na mimi kama mswahili sina uwezo wa kumjenga mtu, nadhani kama yeye au yeyote si msomi na mchapa kazi asitegee mswahili atamjenga, mtu anajijenga kwa utendaji wake si michango ya mswahili au Tanzania njema humu. na umezidi kusema kuwa naboa jamii jeee Zito na tabia zake chafu anajenga jamii?na kama nilimboa Dau kwani Kittlya,Mbowe na Zitto nawajenga? ndugu Tn huo si ndio upendeleo? samahani siko hapa kumfanyia mtu kazi.

6-unasema unaomba ruksa kwa Adm ili uweke PM. SWALI Zitto aliomba ruhusa kwa mfanya kazi wake nakuweka mkataba wao wa kazi na mshahara hapa jambo forum? kuwa anamlipa laki tano. yaani hana hata siri za kazi au sheria za kazi. mkataba wa wao wawili kaja kuuweka hapa wa nini? unasema protocol haziruhusu. kwenye mshahara wa msaidizi ziliruhusu? tuache kudanganyana.

7- umesema Zanzibar University kulikuwa na mapungufu ya utendaji. hii ni sababu ya tatu ya wewe kwenda Udsm, swali ulipokuwa unaendaa Znz ulikuwa hujui position ya chuo hadi ulipoenda kwenye mdahalo? jee tukuamini wewe, Kitila au Bi sent 50 ambao nao walikuja na sababu tofauti?. unasema huwezi kulinganisha Znz university na Udsm. mimi nakulinganisha na wanafunzi uliOkuwa nao intake moja Znz university.

nataja wafutao ABDALLAH anafanya phd Birmingham university U.K na ni lecturer IFM, Fatma Khalfan ni Lecturer wa sheria baada ya kushinda scholarship ya jumuia ya madola na hizo nafasi zilikuwa 2 kwa nchi nzima amefanya masters yake Warwick university U.K kati ya vyuo mahiri duniani kwenye fani ya sheria, Mariam Karama huyu ameshinda zawadi kwa kufanya vizuri master yake U,K na amepata CPA. hao ilikuwa umalize nao Znz kama ni mapungufu uliyosema wenzako wamepita na kufanya vizuri, wapo wengi ila nakuonesha kuwa Zitto ni muongo.ama kweli mchagua jembe si mkulima.

chuo ulichofanya Ujerumani hakina thamani yeyote na huwezi kujilinganisha na hao niliowataja hapo juu.tena Zitto ulipokuwa Ujerumani ulikuwa unasaidiwa na binti Lwamo. huko siendi kwa sasa ila nakuonesha kuwa nakujua kama shilingi.

na kusema Udsm kuna midahalo (debate) jee kuna digrii ya debate?

Unajigamba kuwa ulikuwa ukisimamishwa shule nyingi tu, hiyo ni kuonesha kuwa makuzi yako ya utoto yaliathiri hadi tabia yako shuleni, pole si sifa njema hii.

8.Hapa umefanya U-TURN na kusema kuwa Dau hauhusiki hata chembe na kashfa ya Manji,jee ni nani aliyeka post huko nyuma na kuuliza vipi kaka Dau na mamilioni yaliyopotea NSSF? juzi umepost maelezo hayo,leo unasema maneno mengine kabisa au ni kuchanganyikiwa na ugoni? mizimu ya Mpakanjia imeanza kukupotezea kumbukumbu?

9- umesema niwe tayari kukubali mapungufu yangu. jee Zitto yuko tayari kuja kueleza mapungufu yake? au kazi yako kuoneshea wenzio vidole tu?

10- umemalizia kwa kunihusia nisikimbilie kukuhusisha na makundi ambayo huna mahusiano nayo. vipi uliwahusisha waislam na uswahili wangu? vipi ulimuhusisha unaye dai kaka yako Dau na mswahili? vipi ulihusisha jina langu na uovyo ovyo? na ukasema si kila anayepinga pinga au kukosoa ni mpinzani, jee mbona umsema kila mswahili ni muislam? acha hizo tupo macho tunawamulika!
 
Back
Top Bottom